Ni mahubusu wote wanaruhusiwa kula chakula kutoka makwao au ni Sabaya peke yake?

Ni mahubusu wote wanaruhusiwa kula chakula kutoka makwao au ni Sabaya peke yake?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Ndugu wa Sabaya pamoja na marafiki zake na watu wa chama wanajiwekea utaratibu wa kumhudumia mtuhumiwa aliyeko mahabusu kinyume kabisa na taratibu na tunaamini Kuna usawa? Aliyeruhusu mpishano wa misosi kutoka mtaani kwenda Kisongo ni nani?

Aliyeruhusu Sabaya asifungwe pingu toka gerezani hadi mahakamani ni Nani? Kwa Nini amekuwa akipewa treatment tofauti na wenzake? Wanahoji wananchi wanaopewa story za Sabaya na ndugu zake hapa Mahakama ya Arusha.

Minong'ono hii inanikumbusha wakati ule matajiri flani walipokamatwa na simu gereza moja huko DSM. Je, tumerejesha ubaguzi wa kiuchumi na kisiasa gerezani?
 
Mkuu usiangaike Sana mungu yupo, binafsi Sabaya nilisha mkabidhi mikononi bwana, awe gerezani au nje atashughulika nae mpaka kiama, na ilishakua ,iwe wazi tu malipo atayalipa Hapa duniani iwe mvua au jua ,mungu wangu yupo up to date sana
 
Mkuu usiangaike Sana mungu yupo, binafsi Sabaya nilisha mkabidhi mikononi bwana, awe gerezani au nje atashughulika nae mpaka kiama, na ilishakua ,iwe wazi tu malipo atayalipa Hapa duniani iwe mvua au jua ,mungu wangu yupo up to date sana
Kumbe una miungu yako? Sawa mkuu!
 
The goon, extortionist, rapist and burglar Sabaya should not be given special treatment in jail.
 
Jambazi hawezi kuwa mheshimiwa. Kwa sasa hana uheshimiwa. Ambaye yupo mahabusu ni jambazi Sabaya. Ukuu wa wilaya, haufungwi wala kuwekwa mahabusu.
Wewe wasema kwangu bado ni Mheshimiwa tu.
 
Wewe Mangi baada ya kulalamika kusikitika manjangili na wahujumu uchumi wanatoka magerezani kila iitwapo leo unalalamika mtu kula chakula akiwa gerezani😂😂😂😂
 
Mbowe alipelekewa mpaka bange apunguze arosto.
Kama hivyo ni vyema ukampelekea huyo aliyepoteza matumaini ya kutoka gerezani kabisa,huyo unaye mpakazia alikuwa na uhakika wa kutoka gerezani kwani kesi zake zilikuwa za kubambikiwa na za kisiasa,Ila sii huyo ambae anajua kesi zake ziko live kabisa.
 
Back
Top Bottom