Kuchangia ujenzi wa Kanisa na Msikiti natoaga 10,000 kwenye vile vidaftari bila ya kunadika jina.
Jambo jema sanaMi bana napenda kuwapa zawadi Hawa watoto kuanzia darasa la 4 kwenda chini Hadi la kwanza Huwa napata Amani make Huwa naona kabisa Shukraan yao inatoka moyoni kabisa.
Hallo Wakuu, Baridaaa !
Ni Mambo gani ambayo ukitumia pesa ( money ) yako.. nafsi yako ( roho yako ) hupatwa na furaha sana na amani ndani yake?
Binafsi;
1. Ninapo mpa pesa mke wangu, hunifanya kusikia furaha ya ndani sana moyoni mwangu na ninakuwa na amani.
2. Kujaza wese na kukimbia ( napenda sana mbizo na kukimbia )
haya mambo pindi nitumiapo pesa hufurahi sana ndani yangu... yaliyobaki yote huwa napata udhumi na roho kuumia sana
Intelligent businessman
mshamba_hachekwi
Dahan Bantu Lady, PhD. Penseli 4
Watu wamekula mpunga mzigo umeachiwa alafu mara waaah unashtuka umeoa namba 10 wewe namba 2 unabaki inaangalia tu mana hawa ukiwa bado hujamuoa wanaficha tabia zao ukioa ndio unamuona yeye halisi🤣Ndoa inapoisha unaanza kuwaza madeni kulipa😂hili linanifanya kichwa kufikiri kwa weredi zaidi
vocha mwanangu kuperuzi internet😋Hallo Wakuu, Baridaaa !
Ni Mambo gani ambayo ukitumia pesa ( money ) yako.. nafsi yako ( roho yako ) hupatwa na furaha sana na amani ndani yake?
Binafsi;
1. Ninapo mpa pesa mke wangu, hunifanya kusikia furaha ya ndani sana moyoni mwangu na ninakuwa na amani.
2. Kujaza wese na kukimbia ( napenda sana mbizo na kukimbia )
haya mambo pindi nitumiapo pesa hufurahi sana ndani yangu... yaliyobaki yote huwa napata udhumi na roho kuumia sana
Intelligent businessman
mshamba_hachekwi
Dahan Bantu Lady, PhD. Penseli 4
Kwakwer Mungu atuepushe katika hili kanga sitegemei kukutana na hii kitu😂Watu wamekula mpunga mzigo umeachiwa alafu mara waaah unashtuka umeoa namba 10 wewe namba 2 unabaki inaangalia tu mana hawa ukiwa bado hujamuoa wanaficha tabia zao ukioa ndio unamuona yeye halisi🤣
Picha linaanza usipoenda sokoni hupikiwi😂
Shem kama shem nzuri hiyoNapenda kusaidia wajane na yatima. Nakua na amani sana moyoni mwangu na pesa yangu hainiumi hata kidogo.
Shem kama shem nzuri hiyo
vocha mwanangu kuperuzi internet[emoji39]
Kaka yangu mzee wa mambio[emoji23]Hallo Wakuu, Baridaaa !
Ni Mambo gani ambayo ukitumia pesa ( money ) yako.. nafsi yako ( roho yako ) hupatwa na furaha sana na amani ndani yake?
Binafsi;
1. Ninapo mpa pesa mke wangu, hunifanya kusikia furaha ya ndani sana moyoni mwangu na ninakuwa na amani.
2. Kujaza wese na kukimbia ( napenda sana mbizo na kukimbia )
haya mambo pindi nitumiapo pesa hufurahi sana ndani yangu... yaliyobaki yote huwa napata udhumi na roho kuumia sana
Intelligent businessman
mshamba_hachekwi
Dahan Bantu Lady, PhD. Penseli 4
nina sonona konki, siwezi kua serious humu napooza moyo😅Mxiewwwww hujawahi kuwa serious sijui kwann [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🙏Shem[emoji4][emoji4][emoji4]
nina sonona konki, siwezi kua serious humu napooza moyo[emoji28]
Kutoa si utajiriLazima uwe tajiri mzee
mambo mengi rafki yangu, siwezi kufunguka😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole, sonona ya nini tena mdogo angu?
Sawa mkuu nakusomaKutoa si utajiri
Mpe SoMo aelewe zaidi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pole, sonona ya nini tena mdogo angu?
uko wapi mkuu.. nipo hapa karibu na citynina sonona konki, siwezi kua serious humu napooza moyo😅