MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
Hakuna mradi hapo..Movie zinaendelea!
Tukuulize uliyekuwapo enzi za nyerere?Bomba la mafuta la Zambia nalo lilikuwa na mbwembwe hizi?
Suala ni kuwepo enzi za nani, ama huo mkataba ulikuwaje? Acheni utapeli wa kijinga.Tukuulize uliyekuwapo enzi za nyerere?
Mu7 hataki ile mikataba waliyosaini na JPM maana Ina mbana kaleta mingine lainilaini.Ukute wazungu wanageuzageuza terms and conditions ili tugive up waepuke lawama
Lazima wasaini tena ili kazi sasa ianzeNdio maana nimemsikia Samia anasema maneno yamekuwa mengi sana anataka sasa kazi ianze.
Mu7 anacheka tu manake anajua ataendelea kusaini na marais tofauti tofauti wa TZ yeye akiwa yuleyule miaka yote ijayoBelieve me hakuna cha Bomba la mafuta wala nini , Wanangu wa lasaba waliokimbilia Tanga kutega uvibarua kwenye hlo igizo la Bomba la mafuta nawasihi warudi makwao wasije wakakuta wake zao washazalishwa
Though sina taarifa za uhakika ila nashawishika kuamini kuwa ujenzi unafanywa kwa phases na unafanywa na makampuni tofauti,hivyo kila mjenzi anapopatikana contract inasainiwaAug 5. 2017 Museveni alikuja Tanga kuweka jiwe la msingi, baadaye JPM alienda Uganda kusaini, September 2020 Museveni alikuja Dar kutia saini, Museveni akaja tena Chato kusaini, April 11, 2021 Rais Samia akaenda Uganda kusaini, jana Mseveni kaja tena Dar kusaini. Dah!
Kazi iendelee.
===============
Ukweli ni kwamba.....
===============
Kampuni za mafuta za Total na Tullow zashindwa kuafikiana biashara - BBC News Swahili
Tayari hatua za awali kuelekea ujenzi huo kama ramani, baadhi ya kandarasi na utanuzi wa bandari ya Tanga Tanzania zilishaanza.www.google.com
Utapata tabu sanaAmalize tu muda wake apishe wengine
Sasa muulize musaidiwe kuelewa huwa wanasign nini?Mhhh hata Mimi nikajisemea huwa kinasainiwa nn kila siku watu wanasign wanasign tangu Ruge mtahaba na Mengi wako hai bado linasainiwa tu...Mzee wetu amgekuwepo ungesikia "jamani perekeni pendekezo tusaign vitu vyote pamoja sign nazo zimekuwa nyingi mno watani zangu Waganda nasema uongo ndugu zangu? Ili Pesa za kusafiri safiri tuzifanyizie kazi nyingine....tusaign kila kitu pamoja Museven akikubali fedha tautajenga daraja rire linaunganisha kagera na Uganda kandarasi tutatoa bure kabisa kutoka Tz......just joking life is too short...
Kuna tatizo la utoaji wa habari za kinachosainiwa. Kwenye mradi huu wa ujenzi wa bomba la mafuta, kuna mikataba mingi inayosainiwa, wananchi hatuambiwi jumla ya mikataba na kinachosainiwa ni nini. Wanadhani alichosaini JPM ni kile kile alichosaini Samia, na Samia alipokwenda kusaini Kampala ndio kile kile kilichosainiwa hapa Dar.
Kwenye hii mikataba iko ya intergovermental, na host goverment. Intergoverment ni mikataba ya serikali za Uganda na Tanzania, ambayo imesainiwa pande zote. Host government ni mkataba wa sisi Tanzania ni host tuu wa bomba la mafuta. Mwenye mafuta ni Uganda, mchimbaji ni Total, ndie mwenye bomba. Tanzania tunapitisha tuu. Mfano ule mkataba wetu wa asilimia 16% ya free carried shares kati ya Tanzania na Barrick, imesainiwa mikataba 12!.
Hivyo hata baada ya kisainiwa mikataba iliyopo, bado kuna mingine itafuata.
Problem ni information.
utasubiri sana,,uyu tuponae hadi #2050____utaki hama Nchi bibieAmalize tu muda wake apishe wengine
Leo naona umerudi 2017, hongera snKuna tatizo la utoaji wa habari za kinachosainiwa. Kwenye mradi huu wa ujenzi wa bomba la mafuta, kuna mikataba mingi inayosainiwa, wananchi hatuambiwi jumla ya mikataba na kinachosainiwa ni nini. Wanadhani alichosaini JPM ni kile kile alichosaini Samia, na Samia alipokwenda kusaini Kampala ndio kile kile kilichosainiwa hapa Dar.
Kwenye hii mikataba iko ya intergovermental, na host goverment. Intergoverment ni mikataba ya serikali za Uganda na Tanzania, ambayo imesainiwa pande zote. Host government ni mkataba wa sisi Tanzania ni host tuu wa bomba la mafuta. Mwenye mafuta ni Uganda, mchimbaji ni Total, ndie mwenye bomba. Tanzania tunapitisha tuu. Mfano ule mkataba wetu wa asilimia 16% ya free carried shares kati ya Tanzania na Barrick, imesainiwa mikataba 12!.
Hivyo hata baada ya kisainiwa mikataba iliyopo, bado kuna mingine itafuata.
Problem ni information.