Ni mara ya 6 tunashuhudia utiaji saini bomba la mafuta Hoima - Tanga

Ni mara ya 6 tunashuhudia utiaji saini bomba la mafuta Hoima - Tanga

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haya mambo yana matatizo sana. Kugombania rasilimali za dunia ndiyo habari ya mjini.
Someone might get killed ukiwa,kama ,kwa mfano, utafanya deal ya dhahabu na mtu wa Norway
Only the three super powers matter.
 
Kuna tatizo la utoaji wa habari za kinachosainiwa. Kwenye mradi huu wa ujenzi wa bomba la mafuta, kuna mikataba mingi inayosainiwa, wananchi hatuambiwi jumla ya mikataba na kinachosainiwa ni nini. Wanadhani alichosaini JPM ni kile kile alichosaini Samia, na Samia alipokwenda kusaini Kampala ndio kile kile kilichosainiwa hapa Dar.

Kwenye hii mikataba iko ya intergovermental, na host goverment. Intergoverment ni mikataba ya serikali za Uganda na Tanzania, ambayo imesainiwa pande zote. Host government ni mkataba wa sisi Tanzania ni host tuu wa bomba la mafuta. Mwenye mafuta ni Uganda, mchimbaji ni Total, ndie mwenye bomba. Tanzania tunapitisha tuu. Mfano ule mkataba wetu wa asilimia 16% ya free carried shares kati ya Tanzania na Barrick, imesainiwa mikataba 12!.

Hivyo hata baada ya kisainiwa mikataba iliyopo, bado kuna mingine itafuata.

Problem ni information.
Unadhani wahusika (watoaji habari) wamekusudia ama na wao hawaelewi pia?
 
Kuna tatizo la utoaji wa habari za kinachosainiwa. Kwenye mradi huu wa ujenzi wa bomba la mafuta, kuna mikataba mingi inayosainiwa, wananchi hatuambiwi jumla ya mikataba na kinachosainiwa ni nini. Wanadhani alichosaini JPM ni kile kile alichosaini Samia, na Samia alipokwenda kusaini Kampala ndio kile kile kilichosainiwa hapa Dar.

Kwenye hii mikataba iko ya intergovermental, na host goverment. Intergoverment ni mikataba ya serikali za Uganda na Tanzania, ambayo imesainiwa pande zote. Host government ni mkataba wa sisi Tanzania ni host tuu wa bomba la mafuta. Mwenye mafuta ni Uganda, mchimbaji ni Total, ndie mwenye bomba. Tanzania tunapitisha tuu. Mfano ule mkataba wetu wa asilimia 16% ya free carried shares kati ya Tanzania na Barrick, imesainiwa mikataba 12!.

Hivyo hata baada ya kisainiwa mikataba iliyopo, bado kuna mingine itafuata.

Problem ni information.
Pasco pole kwa kifo Cha meendazake
 
Kuna tatizo la utoaji wa habari za kinachosainiwa. Kwenye mradi huu wa ujenzi wa bomba la mafuta, kuna mikataba mingi inayosainiwa, wananchi hatuambiwi jumla ya mikataba na kinachosainiwa ni nini. Wanadhani alichosaini JPM ni kile kile alichosaini Samia, na Samia alipokwenda kusaini Kampala ndio kile kile kilichosainiwa hapa Dar.

Kwenye hii mikataba iko ya intergovermental, na host goverment. Intergoverment ni mikataba ya serikali za Uganda na Tanzania, ambayo imesainiwa pande zote. Host government ni mkataba wa sisi Tanzania ni host tuu wa bomba la mafuta. Mwenye mafuta ni Uganda, mchimbaji ni Total, ndie mwenye bomba. Tanzania tunapitisha tuu. Mfano ule mkataba wetu wa asilimia 16% ya free carried shares kati ya Tanzania na Barrick, imesainiwa mikataba 12!.

Hivyo hata baada ya kisainiwa mikataba iliyopo, bado kuna mingine itafuata.

Problem ni information.
Yote haya hata sisi tunayajua ila bado kuna viashiria kuwa mambo hayako sawa na huenda kuna maeneo hawakubaliani au wanakwama na ndio maana tunashuhudia haya yote kila siku.
 
Unadhani wahusika (watoaji habari) wamekusudia ama na wao hawaelewi pia?
Jukuma la utoaji habari kwa the locals, Tanzania na Uganda, limeachiwa kwa host countries, ambazo nchi zote mbili, Tanzania na Uganda, hazina Aa, Be wala Che!. Ni kama kwenye majadiliano na Barrick, majadiliano yanafanyikia Ikulu yetu, habari zinaibukia London!.
P
 
Aug 5. 2017 Museveni alikuja Tanga kuweka jiwe la msingi, baadaye JPM alienda Uganda kusaini, September 2020 Museveni alikuja Dar kutia saini, Museveni akaja tena Chato kusaini, April 11, 2021 Rais Samia akaenda Uganda kusaini, jana Mseveni kaja tena Dar kusaini. Dah!

Kazi iendelee.
===============
Ukweli ni kwamba.....
===============
Hilo bomba kama laisi magufuly ngekuwa ahi lingeshakamilika
 
Tunategemea misaada kutoka kwa wahisani ndio maana tunasuasua, yaani sisi sijui tukoje, tuko tayari tutumie mabilion ku finance maisha classic ya walaji wa kodi za wananchi lakini mambo yenye tija yanasubiri tupewe misaada na wazungu
 
😁😁😁 wanasaini tu, mimi pia sielewi.
Kwenye Project kubwa za kimataifa kuna mikataba mingi ya kukubaliana kwa mfano:-
-Ya ki mazingira
-Ya fidia kwa Mali za watu
-Ya ki georogia
-Ya ki Uchumi (pande zote /wadau)
-Ya Kukubaliana na yaliyopo hapo juu.
-Ya Ushauri na Ujenzi
N. K
 
Jukuma la utoaji habari kwa the locals, Tanzania na Uganda, limeachiwa kwa host countries, ambazo nchi zote mbili, Tanzania na Uganda, hazina Aa, Be wala Che!. Ni kama kwenye majadiliano na Barrick, majadiliano yanafanyikia Ikulu yetu, habari zinaibukia London!.
P
Labda wanaogopa wakiiweka bayana wapinzani watapata topic ya ku-trendia
 
Back
Top Bottom