Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Viongozi wanajua wananchi hatuna akili ndiyo maana wanafanya kuwa siriWizara husika wangejiongeza kutoa japo ufafanuzi ili kuepusha maneno yasiyo ya lazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi wanajua wananchi hatuna akili ndiyo maana wanafanya kuwa siriWizara husika wangejiongeza kutoa japo ufafanuzi ili kuepusha maneno yasiyo ya lazima
utasubiri sana,,uyu tuponae hadi #2050____utaki hama Nchi bibie
Utapata tabu sana
Yes,mwaka #2050 ndio anamaliza muda wake bibieatamaliza tu mda wake
Yes,mwaka #2050 ndio anamaliza muda wake bibie
Unadhani wahusika (watoaji habari) wamekusudia ama na wao hawaelewi pia?Kuna tatizo la utoaji wa habari za kinachosainiwa. Kwenye mradi huu wa ujenzi wa bomba la mafuta, kuna mikataba mingi inayosainiwa, wananchi hatuambiwi jumla ya mikataba na kinachosainiwa ni nini. Wanadhani alichosaini JPM ni kile kile alichosaini Samia, na Samia alipokwenda kusaini Kampala ndio kile kile kilichosainiwa hapa Dar.
Kwenye hii mikataba iko ya intergovermental, na host goverment. Intergoverment ni mikataba ya serikali za Uganda na Tanzania, ambayo imesainiwa pande zote. Host government ni mkataba wa sisi Tanzania ni host tuu wa bomba la mafuta. Mwenye mafuta ni Uganda, mchimbaji ni Total, ndie mwenye bomba. Tanzania tunapitisha tuu. Mfano ule mkataba wetu wa asilimia 16% ya free carried shares kati ya Tanzania na Barrick, imesainiwa mikataba 12!.
Hivyo hata baada ya kisainiwa mikataba iliyopo, bado kuna mingine itafuata.
Problem ni information.
Atake asitake tutamuongezea muda!!!!Amalize tu muda wake apishe wengine
Tutamuongezea muda no way out mpaka amalize miradi yote!!!Amalize tu muda wake apishe wengine
Pasco pole kwa kifo Cha meendazakeKuna tatizo la utoaji wa habari za kinachosainiwa. Kwenye mradi huu wa ujenzi wa bomba la mafuta, kuna mikataba mingi inayosainiwa, wananchi hatuambiwi jumla ya mikataba na kinachosainiwa ni nini. Wanadhani alichosaini JPM ni kile kile alichosaini Samia, na Samia alipokwenda kusaini Kampala ndio kile kile kilichosainiwa hapa Dar.
Kwenye hii mikataba iko ya intergovermental, na host goverment. Intergoverment ni mikataba ya serikali za Uganda na Tanzania, ambayo imesainiwa pande zote. Host government ni mkataba wa sisi Tanzania ni host tuu wa bomba la mafuta. Mwenye mafuta ni Uganda, mchimbaji ni Total, ndie mwenye bomba. Tanzania tunapitisha tuu. Mfano ule mkataba wetu wa asilimia 16% ya free carried shares kati ya Tanzania na Barrick, imesainiwa mikataba 12!.
Hivyo hata baada ya kisainiwa mikataba iliyopo, bado kuna mingine itafuata.
Problem ni information.
Yote haya hata sisi tunayajua ila bado kuna viashiria kuwa mambo hayako sawa na huenda kuna maeneo hawakubaliani au wanakwama na ndio maana tunashuhudia haya yote kila siku.Kuna tatizo la utoaji wa habari za kinachosainiwa. Kwenye mradi huu wa ujenzi wa bomba la mafuta, kuna mikataba mingi inayosainiwa, wananchi hatuambiwi jumla ya mikataba na kinachosainiwa ni nini. Wanadhani alichosaini JPM ni kile kile alichosaini Samia, na Samia alipokwenda kusaini Kampala ndio kile kile kilichosainiwa hapa Dar.
Kwenye hii mikataba iko ya intergovermental, na host goverment. Intergoverment ni mikataba ya serikali za Uganda na Tanzania, ambayo imesainiwa pande zote. Host government ni mkataba wa sisi Tanzania ni host tuu wa bomba la mafuta. Mwenye mafuta ni Uganda, mchimbaji ni Total, ndie mwenye bomba. Tanzania tunapitisha tuu. Mfano ule mkataba wetu wa asilimia 16% ya free carried shares kati ya Tanzania na Barrick, imesainiwa mikataba 12!.
Hivyo hata baada ya kisainiwa mikataba iliyopo, bado kuna mingine itafuata.
Problem ni information.
Jukuma la utoaji habari kwa the locals, Tanzania na Uganda, limeachiwa kwa host countries, ambazo nchi zote mbili, Tanzania na Uganda, hazina Aa, Be wala Che!. Ni kama kwenye majadiliano na Barrick, majadiliano yanafanyikia Ikulu yetu, habari zinaibukia London!.Unadhani wahusika (watoaji habari) wamekusudia ama na wao hawaelewi pia?
Hilo bomba kama laisi magufuly ngekuwa ahi lingeshakamilikaAug 5. 2017 Museveni alikuja Tanga kuweka jiwe la msingi, baadaye JPM alienda Uganda kusaini, September 2020 Museveni alikuja Dar kutia saini, Museveni akaja tena Chato kusaini, April 11, 2021 Rais Samia akaenda Uganda kusaini, jana Mseveni kaja tena Dar kusaini. Dah!
Kazi iendelee.
===============
Ukweli ni kwamba.....
===============
![]()
Kampuni za mafuta za Total na Tullow zashindwa kuafikiana biashara - BBC News Swahili
Tayari hatua za awali kuelekea ujenzi huo kama ramani, baadhi ya kandarasi na utanuzi wa bandari ya Tanga Tanzania zilishaanza.www.google.com
Na sarakasi juu !Movie zinaendelea!
Kwenye Project kubwa za kimataifa kuna mikataba mingi ya kukubaliana kwa mfano:-😁😁😁 wanasaini tu, mimi pia sielewi.
Labda wanaogopa wakiiweka bayana wapinzani watapata topic ya ku-trendiaJukuma la utoaji habari kwa the locals, Tanzania na Uganda, limeachiwa kwa host countries, ambazo nchi zote mbili, Tanzania na Uganda, hazina Aa, Be wala Che!. Ni kama kwenye majadiliano na Barrick, majadiliano yanafanyikia Ikulu yetu, habari zinaibukia London!.
PA Compromised Possibility: Iweje Ripoti ya Kamati ya 2 iibukie Acacia-London kabla ya kwa Magufuli?
Wanabodi, Kitu kinachoitwa Trend Reading, ni moja ya maeneo magumu sana kufanywa na wasomaji wa kawaida, inaweza kufanywa na wale tuu wenye uwezo wa kusoma kitu katikati ya mistari. Hivyo katika kusoma taarifa ya Press Conference ya Acacia iliyofanyika jana kule London, trend reading...www.jamiiforums.com
Tutamuongezea muda no way out mpaka amalize miradi yote!!!