Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
itakuwa na harufu mbaya balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
itakuwa na harufu mbaya balaa
Nakumbuka kauli iliyotoka "... sasa tuache maneno bomba lijengwe..." nukuu isiyo rasmi. Nadhani sasa litajengwa ila mwanzo ilikuwa ni maneno tu...😁😁😁 wanasaini tu, mimi pia sielewi.
Ukweli ni kwamba hujui kitu chochote..kaa kwa kutulia mama afanye kazi..usiishi kwa mazoea. #NAKAZIIENDELEEPamoja na hayo mbona mbwembwe kwenye hili bomba zimezidi huwa hatuzioni kwenye mikataba mingine ya aina hii, ukweli ni kwamba pesa hakuna wafadhili Total na Tullow bado hawajaewana.
Na hiyo mikurasa mingi ndiyo Wazungu wanatupigia humo, maana wanajua Nani ataka asome hayo maandishi mengi,na kawaida Watanzania wengi hatupendi kusoma Maandishi marefu!!....Inawezekana mkataba una kurasa nyingi za kusaini!
Nani!? Tundu Lissu!?Atake asitake tutamuongezea muda!!!!
Acha bangi! Tundu Lissu ndo Rais wa jmt auNani!? Tundu Lissu!?
Changa la macho kwa kwenda mbele , hawasemi ukweli watu wa mazingira wameukataa mradi .Pamoja na hayo mbona mbwembwe kwenye hili bomba zimezidi huwa hatuzioni kwenye mikataba mingine ya aina hii, ukweli ni kwamba pesa hakuna wafadhili Total na Tullow bado hawajaewana.
NI YEYEEE!!Acha bangi! Tundu Lissu ndo Rais wa jmt au
Ukiona hivyo ujue hakuna mradi wowote watu wanatiana moyo tu.Aug 5. 2017 Museveni alikuja Tanga kuweka jiwe la msingi, baadaye JPM alienda Uganda kusaini, September 2020 Museveni alikuja Dar kutia saini, Museveni akaja tena Chato kusaini, April 11, 2021 Rais Samia akaenda Uganda kusaini, jana Mseveni kaja tena Dar kusaini. Dah!
Kazi iendelee.
===============
Ukweli ni kwamba.....
===============
![]()
Kampuni za mafuta za Total na Tullow zashindwa kuafikiana biashara - BBC News Swahili
Tayari hatua za awali kuelekea ujenzi huo kama ramani, baadhi ya kandarasi na utanuzi wa bandari ya Tanga Tanzania zilishaanza.www.google.com
Usipofuatulia habari ni kitu gani wanachotia sahihi, utafikiri ni kijinga. Lakini ukufuatilia, unaweza kushangaa tu mbona kuna watu wanaotumia kompyuta na intaneti na bado hawajui kusoma habari na kufanya uchunguzi kidogo kama wamesahau habari...JPM alienda Uganda kusaini, Museveni akaja Dar kusaini, MusevenI akaja tena Chato kusaini, Samia akaenda Uganda kusaini, Museven kaja Dar kusaini. Wanachofanya hawa viongozi ni kuwapiga wananchi changa la macho. Huwa wanaamini kuwa wananchi ni wajinga kama wao.
Umefafanua vyema sana Brother, unafaa kuwa "Msemaji Mkuu wa Serikali". Information kama hii ilipaswa kutoka Serikalini kwenda kwa Wananchi ili waelewe.Kuna tatizo la utoaji wa habari za kinachosainiwa. Kwenye mradi huu wa ujenzi wa bomba la mafuta, kuna mikataba mingi inayosainiwa, wananchi hatuambiwi jumla ya mikataba na kinachosainiwa ni nini. Wanadhani alichosaini JPM ni kile kile alichosaini Samia, na Samia alipokwenda kusaini Kampala ndio kile kile kilichosainiwa hapa Dar.
Kwenye hii mikataba iko ya intergovermental, na host goverment. Intergoverment ni mikataba ya serikali za Uganda na Tanzania, ambayo imesainiwa pande zote. Host government ni mkataba wa sisi Tanzania ni host tuu wa bomba la mafuta. Mwenye mafuta ni Uganda, mchimbaji ni Total, ndie mwenye bomba. Tanzania tunapitisha tuu. Mfano ule mkataba wetu wa asilimia 16% ya free carried shares kati ya Tanzania na Barrick, imesainiwa mikataba 12!.
Hivyo hata baada ya kisainiwa mikataba iliyopo, bado kuna mingine itafuata.
Problem ni information.
Huwa tunaambiwa mikataba ni Siri,huenda hata hii ni Siri pia.Kuna tatizo la utoaji wa habari za kinachosainiwa. Kwenye mradi huu wa ujenzi wa bomba la mafuta, kuna mikataba mingi inayosainiwa, wananchi hatuambiwi jumla ya mikataba na kinachosainiwa ni nini. Wanadhani alichosaini JPM ni kile kile alichosaini Samia, na Samia alipokwenda kusaini Kampala ndio kile kile kilichosainiwa hapa Dar.
Kwenye hii mikataba iko ya intergovermental, na host goverment. Intergoverment ni mikataba ya serikali za Uganda na Tanzania, ambayo imesainiwa pande zote. Host government ni mkataba wa sisi Tanzania ni host tuu wa bomba la mafuta. Mwenye mafuta ni Uganda, mchimbaji ni Total, ndie mwenye bomba. Tanzania tunapitisha tuu. Mfano ule mkataba wetu wa asilimia 16% ya free carried shares kati ya Tanzania na Barrick, imesainiwa mikataba 12!.
Hivyo hata baada ya kisainiwa mikataba iliyopo, bado kuna mingine itafuata.
Problem ni information.
Huu mradi hautafanyika kamwe kwa wanaojua kwanini wanajua.Aug 5. 2017 Museveni alikuja Tanga kuweka jiwe la msingi, baadaye JPM alienda Uganda kusaini, September 2020 Museveni alikuja Dar kutia saini, Museveni akaja tena Chato kusaini, April 11, 2021 Rais Samia akaenda Uganda kusaini, jana Mseveni kaja tena Dar kusaini. Dah!
Kazi iendelee.
===============
Ukweli ni kwamba.....
===============
![]()
Kampuni za mafuta za Total na Tullow zashindwa kuafikiana biashara - BBC News Swahili
Tayari hatua za awali kuelekea ujenzi huo kama ramani, baadhi ya kandarasi na utanuzi wa bandari ya Tanga Tanzania zilishaanza.www.google.com
No contents za mkataba ndio siri lakini sio idadi ya mikataba ndio maana waandishi tunaitwa kushuhudiaHuwa tunaambiwa mikataba ni Siri,huenda hata hii ni Siri pia.
Kushuhudia tu bila kujua kilichosainiwa ni kipi ,bora ibaki Siri yao tu.No contents za mkataba ndio siri lakini sio idadi ya mikataba ndio maana waandishi tunaitwa kushuhudia
P