Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Kwa nn 1+1 isiwe 11?
Kwa principal ipi? Huoni hapo wewe umeziunganisha na siyo kuzijumlisha kama principle za hesabu zinavyosema. Mathematics au numbers are very complicated and they have strong power kama wajua kuzitumia. Je wajua kuna range ya namba inaishia 7,yaani 0-7 na nyingine ni 0-1,zetu ambazo ni maarufu nizaishia 9 nikimaanisha 0-9. Japo hili siyo somo geni sana kwa watu wa hesabu au computer.
 
Mungu hakuanza wala hatakwisha yaani Mungu hana mwanzo wala mwisho, je ni kivipi??
Nadhani ni kwa sababu Mungu ni roho na siyo binadamu ila tunamfikiria ki binadamu ndiyo maana huwa hatuwezi kumwelewa.
 
#14. For the case of Tanzanian laws (land laws) no one own the land, simply we are lessees/tenants
 
Vp zile content zinazosema..mabaki haya ya mifupa ni zaid ya miaka milion 5...
2022 ni miaka ya YESU ila dunia ilikuwepo
basi ni miaka 7000+2022

Maana Mungu aliumba dunia na byote kwa siku 7....kumbuka siku 1 kwake ni sawa na miaka 1000 kwetu..

Baada ya hapo jumlisha miaka 2022 tuliyonayo sasa
 
basi ni miaka 7000+2022

Maana Mungu aliumba dunia na byote kwa siku 7....kumbuka siku 1 kwake ni sawa na miaka 1000 kwetu..

Baada ya hapo jumlisha miaka 2022 tuliyonayo sasa
Wewe ndugu unachanga kumbuka kama 2022 imeanza kuhesabiwa baada ya yesu kuzaliwa vipi kabla ya kuzaliwa ni miaka mingap ilikua imepita baada ya hio 7000 ya uumbaji?! ?! Pili miaka iko tofaut kulingana na sayar kuna sayari miaka ni ming I mean mda unaotumika kuzunguka jua so tunawezaje kujua hio miaka 7000 ilipimwa katika kipimo gan
 
nimejisemea tu..sina uhakika mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…