Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
HahahahaKwanini pangaboi haivuki mpaka wa TZ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaKwanini pangaboi haivuki mpaka wa TZ?
Mungu anakuona ujueHahahahahahaha, kama alivyomtengeneza shetani akashindwa kumcontrol
KILIANZA NCHI NA KISHA SHERIA ZIKATUNGWA....Sheria na nchi kilianza nini?
Milele maana yake NI KUTOKOMA AMA KUTOKUWA NA MWISHO...Milele maana yake nini?
Adolf Hitler was born to Karla and Alois Hitler, Sr. on April 20, 1889. The two had other children together, but only Adolf and Paula survived to adulthood. Neither Adolf nor his sister, Paula Hitler, ever had any children. Adolf committed suicide in 1945 and Paula died in 1960.je adrof Hitler alikufa au hakufa?,nani aliyemuua?,wapi alipofia?,watoto wake wako wapi?
Jibu zuri sana[emoji106]Kama gari inatembea,kwanini wanaokaa siti ya nyuma hawafiki kwa dereva?
Hii nchi imeshawachanganya wengiDuuh huu mfano sahihi kabisaaa maana watu wanajitoaa ufahamu sasa kama marekani na Tz zipo ktk tufe moja iweje moja izunguke mpaka imkute mwingine.
Ukukwesa mikambo?Majanga ya kufikiri pasipo kutafakari, hashindwi chochote ; anaweza kutengeneza...ambalo HAWEZI...atakuwaje hawezi wakati hashindwi na chochote ? Tafakari chukua Hatua
Hahahahahahaha, kama alivyomtengeneza shetani akashindwa kumcontrol
Man fongo mkaliDiamond na kiba nan mkali
biblia anasema yaliyojificha ni ya Mungu1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.
2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?
3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. JE HUKO ALIZAA NA NANI?
Jaman cc tunaamin kuwa mungu aliumba vtu vyote so hata kuku nae aliumbwa Kwanza Then kuku akataga yai mungu hakuumba yai jaman
Chadema ni Chama Cha Siasa kilichopata kura milioni 6+ (kwa mujibu wa Lubuva wa NEC) ambayo ni idadi sawa na wanachama wa CCM Tanzania nzima.