Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

je adrof Hitler alikufa au hakufa?,nani aliyemuua?,wapi alipofia?,watoto wake wako wapi?
Adolf Hitler was born to Karla and Alois Hitler, Sr. on April 20, 1889. The two had other children together, but only Adolf and Paula survived to adulthood. Neither Adolf nor his sister, Paula Hitler, ever had any children. Adolf committed suicide in 1945 and Paula died in 1960.
 
Nitauliza kwa kingereza kwa kuwa ndo imekaa vizuri kuelewa.......
What is the ultimatum nature of living!??
 
kama asingekuwepo Mungu kingekuwepo nini???? he tungekuwepo? dunia ingekuwepo?
 
1.kwa nini kuna w2 wa rangi tofauti?.wausi na weupe a.k.a wazungu afu wao ni weng duniani kuliko weusi.

2.kama dunia isingekuwepo kungekuwepo nn?

3.adam na hawa,walimuzaa kaini na abel.baada ya kaini kutenda kosa dhidi ya nduguye alifukuzwa.2naambiwa badaye alipata uzao wake. JE HUKO ALIZAA NA NANI?
biblia anasema yaliyojificha ni ya Mungu
 
Maswali mengine ni kuacha tu kama yalivyo vinginevyo utajitafutia midonda ya tumbo tu.
 
Jaman cc tunaamin kuwa mungu aliumba vtu vyote so hata kuku nae aliumbwa Kwanza Then kuku akataga yai mungu hakuumba yai jaman

Biblia gani imeandika huyo mungu aliwahi kuumba kitu ?
 
Chadema ni Chama Cha Siasa kilichopata kura milioni 6+ (kwa mujibu wa Lubuva wa NEC) ambayo ni idadi sawa na wanachama wa CCM Tanzania nzima.

Well said, kama ni.ngumi basi umempiga k.o kuubwa kabisa kwenye round ya kwanza tu
 
Dah..Chadema ilizaliwa wapi na lini?? Nani niwaanzilishi wake??
 
Back
Top Bottom