Kwa mara ya kwanza nimeenda US kwa mwenyeji wangu, kwanza picha linaanza wiki nzima sipati choo , halafu tunakula vyakula vikavu tu , changanya na uoga wa mazingira wiki iliyofuati chooni sasaπ€£π€£π€£πWewe constipation imewahi kunidhalilisha mimi kwa watu, sina hamu. Yaani nilihisi kuwehuka
Ingekua ivyo mwanamke angeificha kitu yake asiitoe ili asizae TENAA..Uchungu wa kuzaaπ
Na inapenda kutudhalilisha ugenini. Yaani hapo hata kukaa, inabidi ukalie kiuno na mgongoKwa mara ya kwanza nimeenda US kwa mwenyeji wangu, kwanza picha linaanza wiki nzima sipati choo , halafu tunakula vyakula vikavu tu , changanya na uoga wa mazingira wiki iliyofuati chooni sasaπ€£π€£π€£π
Halafu sijui kwanini ugenini ni ngumu kupata choo hata siku tatu nzimaπ€Na inapenda kutudhalilisha ugenini. Yaani hapo hata kukaa, inabidi ukalie kiuno na mgongo
Sielewi kwa nini aisee.Halafu sijui kwanini ugenini ni ngumu kupata choo hata siku tatu nzimaπ€
Constipation ni msala ,unaweza jikaza weeee na maumivu ya hatari ila unashangaa ni vitu tu vimekaa kimtindo kama vya mbuziπ€Sielewi kwa nini aisee.
Ila daah shikamoo constipation
Huu uchungu wa kuzaa mimi pia nina mashaka naoπIngekua ivyo mwanamke angeificha kitu yake asiitoe ili asizae TENAA..
hizo nilizotaja ndo most peak painful nerves can experience kwenye anatonomy..jua nyingine hazigusi hizo top 2Kukatika ugoko mkuu katikati?
Acha tu; yaani kuna siku nimeshinda chooni siku nzima. Nilitamani waniwekee tu na kitanda humohumo japo kulikuwa hakukaliki wala kulalikaConstipation ni msala ,unaweza jikaza weeee na maumivu ya hatari ila unashangaa ni vitu tu vimekaa kimtindo kama vya mbuziπ€
Huwa linatulia halisikiag dawa ππ
Poleee aunt, hukwenda kwa mtaalamu?
Halisikii dawa na linaumaga mara mbili au 3 Kwa mwak sio Kila mwez ila ndo likikushika ni kutambaa kwanza ππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleee aunt, hukwenda kwa mtaalamu?
Wewe nimekuelewa mno ujueπππAcha tu; yaani kuna siku nimeshinda chooni siku nzima. Nilitamani waniwekee tu na kitanda humohumo japo kulikuwa hakukaliki wala kulalika
Sure, fuc. ..k off constipation ππView attachment 3181024
Teh unaifahamu hii?
zaa hiyo hali ikuishe kama huna mchumba mimi nipo nina mbegu nzuri sana utapenda toto litakalotoka smart and π€Kuna lile chango wanapita linaumaga hata usipokuwa Mp Yani πππnilikuwa natambaa tu ππ na kulala nimebinua Tako juuπππ majirani walicheka badae nilivopona
kumbe mimi nilieng'atwa dudu nina afadhari!!!..βΉοΈMgonjwa cancer ya tezidume anaposhindwa kukojoa anapowekewa ule mpira wa mkojo. Aisee usiombe kuona, ule mrija(catheter) una urefu zaidi ya futi moja, unene kama kalamu ya speedo unapenyezwa kwenye tundu la mboo hadi ufike kwenye kibofu cha mkojo. Narudia kusema usiombe kushuhudia ama yakukute.
Kama umeenda Ocean Road Cancer Institute kumuangalia mgonjwa kuna wale waliofikia stage ya mwisho wanapigwa morphine tu kuwapunguzia maumivu, inasikitisha sana.Binafsi mimi mtu ambae nilimshuhudia akipitia maumivu.
Huyu dada alikuwa hospitali akiumwa saratani ya titi,
Titi lake lilikuwa limeoza kwa upande wa kwapa huku.
Huyu dada dawa ya kuzuia maumivu ilikuwa ikiisha nguvu alikuwa analia sana.
Alikuwa anaumia sana.
Inasikitisha sana.
Kuna siku nataka kusafiri kesho yake.. jicho from no where jamani likaanza kuuma..wee liliniumaaa jamanii liliumaaa nikaanza kulia ndo sasa nikahisi linaanguka..mpk saa 10 alfajiri nilishakata tamaa sisafiri tena moyo unaumaa..nilishaomba mpk basi...hatimae likapoa ila sijui ilikua ni nini mpk leo sijawahi pata ile haliMacho aisee .Mpaka ule msemo wa 'Afya yako ndio mtaji wako niliuona una maana'.Hela nilikuwa naziona kama mavi tu,mama bae alikuwa anakarangiza mapocho pocho lakini nilikuwa nahisi kama nakula tambala la deki tu.Macho yalikuwa yanauma mpaka yanakuwa yamoto.
Madaktari wapewe mishahara minono sana.Ntaandika barua ya pongezi kwa hospitali iliyonihudumia na nitawa CC mkurugenzi wa halmashauri mpaka mama Samia.
Oiii.
yekukuukuuSiafuπ aling'ata kichwa cha uume kwenye ile ngozi laini ya juu.
Nilipiga ukunga ule wa wabibi wa kichaga, yele uwiiiiiiiii!!!!! yele uwiiiii!!!
Kumtoa ilikuwa noma sana..π
Maumivu ya skikio sijawai exprience vile yanauma balaaWakuu habari za humu ndani.
Hivi ni maumivu gani makali zaidi ya mwili wa binadamu ushawahi ku experience au uliona mtu anapitia ukaona kabisa ni maumivu makali kwa binadamu.
Kwangu mimi ni maumivu ya tumbo,kuna siku niliwahi changanya pilipili kichaa na vitunguu swaumu nikabrend then nikanywa aisee maumivu niliyoyapata sitakuja kusahau.Niliona Israel huyu hapa kaja kunisalimia.Tumbo linauma asikuambie mtu.
Je ni ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?
Poleee sana.Mimi yalikuwa yote mawili sijui ningekuwa pekeyangu tu ingekuwaje .Ilifikia hatua nikawa nashikwa kupelekwa njee.Macho muhimu sana aisee.Kuna siku nataka kusafiri kesho yake.. jicho from no where jamani likaanza kuuma..wee liliniumaaa jamanii liliumaaa nikaanza kulia ndo sasa nikahisi linaanguka..mpk saa 10 alfajiri nilishakata tamaa sisafiri tena moyo unaumaa..nilishaomba mpk basi...hatimae likapoa ila sijui ilikua ni nini mpk leo sijawahi pata ile hali
Tumbo nalo uwiiii kuna siku niliamka saa nne tumbo kama utani..likaanza jamani lile tumboo...sijui ni nini nilikua nasikia moyo unapigia hapo kwny mbavu....siharishi sitapiki...yani nahisi kufaa natambaa jasho linatoka...mwili wote...nikasema sasa nipige simu nitafia ndani...lakini kabla sijapiga simu nikasema ninywe maji..sijui ndo ilikua dawa ilee...likapungua kuuma mpk kupoa..
Maumivu ya kujifungua ni hatari sanaaa...sema huwa tunavikwa ujasiri na Mungu...
#Hakuna kitu kwny mwili wa binadamu ambacho hakiumi...##