Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilinikaza nikiwa naogelea baharini kosa brother ilikuwa kwaheriMisuli ya mwili kukaza ila now nimepona ni hatari sana
Hii mwaka 2015 Magomeni,mimi nilimshuhudia huyu dada/mama kwa kumkadiria umri alikuwa na 44/46 akiwa kwenye hatua za mwisho.Binafsi mimi mtu ambae nilimshuhudia akipitia maumivu.
Huyu dada alikuwa hospitali akiumwa saratani ya titi,
Titi lake lilikuwa limeoza kwa upande wa kwapa huku.
Huyu dada dawa ya kuzuia maumivu ilikuwa ikiisha nguvu alikuwa analia sana.
Alikuwa anaumia sana.
Inasikitisha sana.
Acha masihara basi na weweUchungu wa kuachwa
Dah,pole mrembo, ule mchezo wako unaoupenda ndiyo basi tena!ila bado nateseka nayo.
Hapo ktk sikio hapo we achajino
sikio
ukivunjika mfupa
niliumwa hiki kiungo nilitamani kuwafukuza watu ndani walikua wakiongea naona kama wananipigia keleleSikio linauma hadi Kila kitu unakiona kibaya, sikio ni hatari daaah!
Maumivu ambayo nmewah ku experience a, ni MAUMIVU YA KIPANDE USO , MBELE YA PAJA LA USO,. Asee maumivu yake nmakali mno unakuwa unatamani hata kujitoboa damu itoke, ukisogeza hata mkono au kitu chochte karbia na uso panauma, ukiinama panauma, hata ukifanya movement yoyte panauma zaidi, asee sisemi mengi ila walioptia hii changamoto wanajua 🙏.Wakuu habari za humu ndani.
Hivi ni maumivu gani makali zaidi ya mwili wa binadamu ushawahi ku experience au uliona mtu anapitia ukaona kabisa ni maumivu makali kwa binadamu.
Kwangu mimi ni maumivu ya tumbo,kuna siku niliwahi changanya pilipili kichaa na vitunguu swaumu nikabrend then nikanywa aisee maumivu niliyoyapata sitakuja kusahau.Niliona Israel huyu hapa kaja kunisalimia.Tumbo linauma asikuambie mtu.
Je ni ni maumivu gani makali zaidi ya mwili?
Ahsante sana kwa maelezo ya Tiba,Chukua pilipili kichaa zilizokomaa vyema ziponde / twanga kwenye kinu kisha loweka kwenye mafuta ya taa halafu weka juani kwa muda wa lisaa. Chovya kitambaa kwenye huo mchanganyiko halafu pangusa kwa namna ya kupakaa kwenye eneo linalouma (paji la uso) kisha kaa sehemu yenye utulivu kwa masaa walau manne kabla hujaenda kuosha uso wako.
Binti yangu alisumbuka sana na kadhia hiyo ,katika kuhangaika nikaelekezwa tiba hiyo ,asante Mola ilisaidia na hakuwahi kuumwa tena.
NB: kuwa makini mchanganyiko wako usiingie machoni wakati wa kupakaa
Pole na hongera kwa ustahimilivu na moyo wa kuuguza.Acha nimeuguza mtu wa namna hii usiombee, anakwambia uchungu anaosikia ni kama wa kuzaa lakini Bora wa kuzaa mtu anategemea kupata mtoto unakuwa ni uchungu wa furaha lakini sio wa maumivu wa vidonda vya saratani hatari sana....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]KUTAHIRIWA BILA GANZI
Ukizaliwa kijijini kwenye makabila yenye tamaduni hizi utaimba Kasongo yeyee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna lile chango wanapita linaumaga hata usipokuwa Mp Yani [emoji23][emoji23][emoji23]nilikuwa natambaa tu [emoji23][emoji23] na kulala nimebinua Tako juu[emoji23][emoji23][emoji23] majirani walicheka badae nilivopona
Hiyo Sindano ni kibokoo hadi sahivi.Miaka ya 2000 nilichoma sindano inaitwa cristapen cjui km ndo inavoandikwa... Yale maumivu ya ile sindano mpaka leo sijawahi kuelewa
Mchezo gani?Dah,pole mrembo, ule mchezo wako unaoupenda ndiyo basi tena!
Nilichomwa ile sindano mwili ulikufa ganzi... Dakika Tano nimelala kitandani nilishindwa kuamkaMchezo gani?
Mchezo ule wa kule kwenye fantassy!Mchezo gani?