Nakukubali sana mwanangu...😜Mimi nakushauri njoo dar.
Mimi nimekuja mjini hapa na nauli tu, nimeshuka pale kwenye treni sina hata mia mbovu mfukoni,
Mbaya zaidi sikuwa na mwenyeji wa kunipokea au sehemu ya kufikia.
Ila kwa sasa nimepanga chumba changu fresh maisha yanaenda.
tukutane kesho saa mbili asb kwa mkuu wa wilaya nilishanunua pete miaka miwili iliyopita we njoo na suti tuSijaoa chaurembo vipi ungependa nikuwowe😅?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wacha niende Karume kesho kulokota Esuti kwa Disii itakuwa keshokutwa sasatukutane kesho saa mbili asb kwa mkuu wa wilaya nilishanunua pete miaka miwili iliyopita we njoo na suti tu
Ha haaa naona unamkabidhi yua braza kwa pisi Kali za mjini😄Msimfanyie hivyo my blaza from anaza Mazar😅😅😅
My blaza mnataka mumsuuze😅Ha haaa naona unamkabidhi yua braza kwa pisi Kali za mjini😄
Mkuu kesho kutwa mbali sana unaweza kubadilisha mawazo nitumie vipimo vyako naenda Kwa fundi sasa hivi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Wacha niende Karume kesho kulokota Esuti kwa Disii itakuwa keshokutwa sasa
Uwashukulu akina manengelo walikupiga sana tafu na jf nzimaMimi nakushauri njoo dar.
Mimi nimekuja mjini hapa na nauli tu, nimeshuka pale kwenye treni sina hata mia mbovu mfukoni,
Mbaya zaidi sikuwa na mwenyeji wa kunipokea au sehemu ya kufikia.
Ila kwa sasa nimepanga chumba changu fresh maisha yanaenda.
Iringa mjini maisha ni ghali kuliko darmwezi ulopita nilikuwa mkoani Iringa , nilipita maeneo mengi ya mjini na baadhi ya vijiji wilayani kilolo nikaanza kushawishika kuishi huko kutokana na mandhari na fursa tofauti tofauti zilizopo , kwanza kabisa ukifika maeneo ya iringa mjini utaona kuwa kuna hakuna wafanya biashara wengi kama ilivyo mikoa mingine ,pili hata wafanya biashara walokuwepo maeneo tofauti tofauti wanafanya biashara zinazofanana
Niliona baadhi ya mitaa ambyo ni maarufu ikiwa na watu wengi wakitembea kutafuta mahitaji maeneo yao.nilianza kushawishika zaidi kufanya biashaa ya mavazi ,chakula na vinywaji kwa baadhi ya maeneo lakini pia niliona Iringa panafaa sana kwa mtu anaetafutamaisha au yule anaweanza kujitegemea .maana bei za nyumba za kupangani rahisi,bei za vyakula ni rahisi bei za mavazi zipo juu kidogo tofauti na dsm .
Binafsi nitarudi tena iringa nikiwa kama raia wa huko nikijishughulisha na biashara ndogo ndogo au hata biashara kubwa pia maana ukifika maeneo ya ilula unakaribishwa na matenga ya nyanya yakiuzwa kwa bei rahisi mno lakini cha ajabu ukiwa mjini nyanya unazipata soko kuu tu na wala huoni watu wakiuza bidhaa hiyo barabarani kama dsm ,ukifika mtela bwawani utakutana na wateja na wauzaji wa samaki wakitoa bwawani hapo wakisafirisha toka iringa kwenda mikoa mingine hapa tz,imani yangu ni kwamba ukiwa kwenye CHAIN VALUE ya hii biasharaya samaki hata ukiwa na tsh 50000 unatoboa , na pia ukipita barabara ya Iringa Dodoma utaona maeneo mengi na vijiji tofaiti tofauti lakini huwezi ona mtu auze soda ,maji au hata leso japo kuna maeneo mabasi na malori yanasimama kwa muda mrefu
nakushauri utembeehuko uone kama kutakufaa au jaribu kwenda mkoa mwingine na wa nyumbani kwako
Hahahahaha yani 1 day off mbali mkuu? Ntumie CV yako PM kama hutojaliMkuu kesho kutwa mbali sana unaweza kubadilisha mawazo nitumie vipimo vyako naenda Kwa fundi sasa hivi
Ha haaaaMy blaza mnataka mumsuuze😅
mpeni time ajipange kwanza msije mkala mtaji wakeHa haaaa
Sasa masta hapo, inabid uzungushe vitu mkononi, manake ununue vitu kwa wachina/ wahindi uzungushe... otherwise kutobos ni kipande sana kwa hiyo capital mzee...Mtaji tu
Ile haikuwa Jokes hata kidogo mkuu.Nakumbuka uzi wako mi nilikuwa najua ni jokes tu za kujaza server za JF kumbe ilikuwa kweli big up sana
Hana namna,Ni lazima akaribishwe mjini ndio atakuwa ngangari.mpeni time ajipange kwanza msije mkala mtaji wake
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hana namna,Ni lazima akaribishwe mjini ndio atakuwa ngangari.