mapema
JF-Expert Member
- Jul 21, 2014
- 640
- 1,881
Mwaka fulani mjini Morogoro alikuja jamaa mmoja toka Uganda, alivyo kuja mpaka kufika sijui.
Ila alikuja sehemu fulani kwenye mafundi wengi wa seremala, alipokelewa akawa anapewa kazi ya kupiga msasa furniture.
Alifanya shughuli hiyo kwa muda kidogo lakini akiwa na malengo, mpaka sasa ana maduka kadhaa ya kawaida na showroom ya Feniture.
Unaweza kwenda kwenye mji wowote ukatafuta hao mafundi, au hata mafundi ujenzi, mwanzoni itakua na changamoto kidogo lakini ukisha kaa sawa ndio inakua jumla.
Alie kushauri uende dar nami namuunga mkono.
Kila la heri.
Ila alikuja sehemu fulani kwenye mafundi wengi wa seremala, alipokelewa akawa anapewa kazi ya kupiga msasa furniture.
Alifanya shughuli hiyo kwa muda kidogo lakini akiwa na malengo, mpaka sasa ana maduka kadhaa ya kawaida na showroom ya Feniture.
Unaweza kwenda kwenye mji wowote ukatafuta hao mafundi, au hata mafundi ujenzi, mwanzoni itakua na changamoto kidogo lakini ukisha kaa sawa ndio inakua jumla.
Alie kushauri uende dar nami namuunga mkono.
Kila la heri.