Karibu sana mbeyaMbeya oyeee
Mpaka 10,15 zipo...Room za kaeaida( za hustlers) shingapi?! Na kwa mtaji huo naweza kudaka fursa gani?!
Chumba giza elf 20.Kwa wajanja wa mji uhitaji kupanga machimbo ni mengi box lako tu.But kupanga ni salama zaidi.Room za kaeaida( za hustlers) shingapi?! Na kwa mtaji huo naweza kudaka fursa gani?!
Shukrani sana mkuuChumba giza elf 20.Kwa wajanja wa mji uhitaji kupanga machimbo ni mengi box lako tu.But kupanga ni salama zaidi.
Fursa kwa mtaji huo unaweza laza elf 10 hadi 20 kwa siku kupitia biashara ndogo zinazodharaulika.Kuuza
Mishikaki,mahindi choma,kahawa,chai na tangawizi,machungwa,karanga,nk
Asante,Nimempenda mchanganuoKaribu sana mbeya
Nenda kiranjeranje lindi, panga chumba, nunua mbuzi 2 Anza biashara ya supu asbh na jioni,Wakuu habari za muda huu!
Baada ya kukaa nyumbani muda mrefu nikifanya kilimo cha kutegemea mvua, mwaka huu kilimo kimeniangusha sana na hata miaka iliyopita mara zote mavuno yalikuwa tofauti na matarajio hivyo nimeamua kuachana na kilimo kwani sioni hatima ya maisha yangu ikiwa tofauti na ya sasa. Unakuta mwaka wenye unafuu katika mavuno napata 160,000 nikiuza ( jasho la mwaka mzima ndiyo hilo).
Nimewaza nikaamua niende mjini nikajitume huwenda mambo yakawa nafuu baadaye.
Naomba ushauri wa mkoa mzuri wa kuanzia maisha from Zero. nina mtaji wa 200,000 na ni tofauti na nauli endapo nitapata uelekeo wa kwenda.
Pia naomba mchanganuo kwa mtaji huu naweza kufanya biashara gani japo sina uzoefu wa kufanya biashara yeyote au kwa mwenye kazi za kutumia nguvu naomba anipe. Tafadhali naombeni Msaada kwa hili na ahsanteni.
Lindi alikokuwa mpwayungu village au lindi ipiNenda kiranjeranje lindi, panga chumba, nunua mbuzi 2 Anza biashara ya supu asbh na jioni,
Kisha uje na mrejesho
Hahaa, mpwayungu alikuja lindi bila kuuliza wenyejiLindi alikokuwa mpwayungu village au lindi ipi
Samahani mkuu. Ni wilaya gani kwa Mbeya inafanya vizuri kwenye kilimo?!Room30-40 fursa zipo nyingii kuuza matunda&mbogamboga, kuchukua mchele&chenga kyela&mbarali na kuuza town, kuna mishe za kuchoma viazi,nyama,kuna mishe za kuuza mitumba mwanjelwa kuna mishe za kulima mahindi&mpunga.
Ukiona hivyo jua shilingi ni ngumu kuipata.mwezi ulopita nilikuwa mkoani Iringa , nilipita maeneo mengi ya mjini na baadhi ya vijiji wilayani kilolo nikaanza kushawishika kuishi huko kutokana na mandhari na fursa tofauti tofauti zilizopo , kwanza kabisa ukifika maeneo ya iringa mjini utaona kuwa kuna hakuna wafanya biashara wengi kama ilivyo mikoa mingine ,pili hata wafanya biashara walokuwepo maeneo tofauti tofauti wanafanya biashara zinazofanana
Niliona baadhi ya mitaa ambyo ni maarufu ikiwa na watu wengi wakitembea kutafuta mahitaji maeneo yao.nilianza kushawishika zaidi kufanya biashaa ya mavazi ,chakula na vinywaji kwa baadhi ya maeneo lakini pia niliona Iringa panafaa sana kwa mtu anaetafutamaisha au yule anaweanza kujitegemea .maana bei za nyumba za kupangani rahisi,bei za vyakula ni rahisi bei za mavazi zipo juu kidogo tofauti na dsm .
Binafsi nitarudi tena iringa nikiwa kama raia wa huko nikijishughulisha na biashara ndogo ndogo au hata biashara kubwa pia maana ukifika maeneo ya ilula unakaribishwa na matenga ya nyanya yakiuzwa kwa bei rahisi mno lakini cha ajabu ukiwa mjini nyanya unazipata soko kuu tu na wala huoni watu wakiuza bidhaa hiyo barabarani kama dsm ,ukifika mtela bwawani utakutana na wateja na wauzaji wa samaki wakitoa bwawani hapo wakisafirisha toka iringa kwenda mikoa mingine hapa tz,imani yangu ni kwamba ukiwa kwenye CHAIN VALUE ya hii biasharaya samaki hata ukiwa na tsh 50000 unatoboa , na pia ukipita barabara ya Iringa Dodoma utaona maeneo mengi na vijiji tofaiti tofauti lakini huwezi ona mtu auze soda ,maji au hata leso japo kuna maeneo mabasi na malori yanasimama kwa muda mrefu
nakushauri utembeehuko uone kama kutakufaa au jaribu kwenda mkoa mwingine na wa nyumbani kwako
Ahsante. Wilaya gani kwa mfanoNenda kaisho mbeya hautakufa kwa njaa vyakula vya kimaskini bei chee sana, kama unaanza maisha pana kufaa, pesa yote unayo utaiwazia maendeleo tu hauta waza kula na pakulala kwa sababu kuna vyumba mpaka vya 20k [emoji15]