Ni mkoa gani mzuri kwa kuanzia maisha from Zero?

Mwaka fulani mjini Morogoro alikuja jamaa mmoja toka Uganda, alivyo kuja mpaka kufika sijui.
Ila alikuja sehemu fulani kwenye mafundi wengi wa seremala, alipokelewa akawa anapewa kazi ya kupiga msasa furniture.
Alifanya shughuli hiyo kwa muda kidogo lakini akiwa na malengo, mpaka sasa ana maduka kadhaa ya kawaida na showroom ya Feniture.

Unaweza kwenda kwenye mji wowote ukatafuta hao mafundi, au hata mafundi ujenzi, mwanzoni itakua na changamoto kidogo lakini ukisha kaa sawa ndio inakua jumla.

Alie kushauri uende dar nami namuunga mkono.
Kila la heri.
 
Room za kaeaida( za hustlers) shingapi?! Na kwa mtaji huo naweza kudaka fursa gani?!
Chumba giza elf 20.Kwa wajanja wa mji uhitaji kupanga machimbo ni mengi box lako tu.But kupanga ni salama zaidi.
Fursa kwa mtaji huo unaweza laza elf 10 hadi 20 kwa siku kupitia biashara ndogo zinazodharaulika.Kuuza
Mishikaki,mahindi choma,kahawa,chai na tangawizi,machungwa,karanga,nk
 
Shukrani sana mkuu
 
Nenda kiranjeranje lindi, panga chumba, nunua mbuzi 2 Anza biashara ya supu asbh na jioni,

Kisha uje na mrejesho
 
Room30-40 fursa zipo nyingii kuuza matunda&mbogamboga, kuchukua mchele&chenga kyela&mbarali na kuuza town, kuna mishe za kuchoma viazi,nyama,kuna mishe za kuuza mitumba mwanjelwa kuna mishe za kulima mahindi&mpunga.
Samahani mkuu. Ni wilaya gani kwa Mbeya inafanya vizuri kwenye kilimo?!
 
Ukiona hivyo jua shilingi ni ngumu kuipata.
 
Nenda kaisho mbeya hautakufa kwa njaa vyakula vya kimaskini bei chee sana, kama unaanza maisha pana kufaa, pesa yote unayo utaiwazia maendeleo tu hauta waza kula na pakulala kwa sababu kuna vyumba mpaka vya 20k [emoji15]
 
Nenda kaisho mbeya hautakufa kwa njaa vyakula vya kimaskini bei chee sana, kama unaanza maisha pana kufaa, pesa yote unayo utaiwazia maendeleo tu hauta waza kula na pakulala kwa sababu kuna vyumba mpaka vya 20k [emoji15]
Ahsante. Wilaya gani kwa mfano
 
Njoo arusha ukamate skygo nyekundu ni mwendo wa hesabu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…