Ni msanii gani wa muziki Bongo ambaye tangu uanze kumsikia hujawahi muelewa kabisa?

Mwaka 47??πŸ˜ƒ
 
Jaffarai yule jamaa akianza tu kuchana unajua tu hapa hamna kitu.... Niko bize ni ngoma pekee alijitahidi...
 
Zuchu
 
Rayvanny sijawahi kumuelewa kabisa.
Nyimbo zake nazozipa sikio ni kwetu na Te quielo aliyoimba na Marioo ila sipendi hata kuskia nyimbo zake.
 
Wengi tuuu, ila Young Lunya ni kinara wao kwenye rap, kwa waimbaj wanaongozwa na D'voice.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…