Jick
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 1,327
- 2,041
Mwaka 47??😃Umewataja Les Wanyika pamoja na Msondo Ngoma Baba ya Muziki, umefanya nichukue miwani yangu niangalie mara mbili mbili picha ya mrembo mmoja niliyekutana naye Nairobi Mwaka 47 wakati tumeenda Disko (Club) kuziona hizo Bendi mbili 🤗
Those were days 🤗🙌