Nadhani kwa sababu AY huwa hatoi hits kwa muda mrefu tofauti na FA ambaye kila akirudi anasimamisha mji..Duh! Ni vile naheshimu msimamo wako. Ila kumkataa AY inabidi uwe kauzu kama kitu gani sijui.
Ova
Hayo ni mawazo yako na upo sahihi kabisaaHapo kote upo sahihi isipokuwa kwa AY tu. Muondoe humo
Mkuu dili na siasa mziki tuachie sisi vijana yaani unasema alikiba hakupaswa kujihusisha na mziki umekosea sana yaani sanaHii ni 10 bora ya watu ambao hawakupaswa kujihusisha na muziki kwa sababu ya kukosa vipaji;
1. Jux
2. Shilole
3. Wakazi
4. Queen Darlin
5. Madee
6. AY
7. Babalevo
8. Ali Kiba
9. Tundaman
10. Best Naso.
Namna ya kuufanya mdomo uwe mwekundu kwa kupaka lipsticks.Jux huwa anaimba nini
Umewataja Les Wanyika pamoja na Msondo Ngoma Baba ya Muziki, umefanya nichukue miwani yangu niangalie mara mbili mbili picha ya mrembo mmoja niliyekutana naye Nairobi Mwaka 47 wakati tumeenda Disko (Club) kuziona hizo Bendi mbili π€Kabisa umri unachangia hali hiyo sana uwezi kuwa unamuelewa lesi wanyika, msondo ngoma kama mzee wetu Grahams alafu uwaelewe fresh boys, billnas, kondeboy na wengineo.
AY,WAKAZI,LAVALAVA,DVOICE,CHEMICAL,QUEEN DARLIN
Yule, changa la macho, ile ngoma aliimba na sauti soul wako jangwani, genda okole na yule mganda, ile ngoma ya raha tu na marehemu complex, inategemea na mtu aisee mkuu zama hizo usimwelewe AY kweli?Mimi labda ninatatizo ila kiukweli AY sijawahi kumuelewa kabisa. Tangu nimeanza kumsikiliza wayback hajawahi kutoa ngoma nikaielewa kabisa. Labda ile Yuleee, nampenda sana jinsi alivyooo.... nayo kwa mbaali sana. Hata nikikutana nayo kwenye playlist ntaiskip tu.
π€£π€£π€£π€£unakuta huyu ni shabiki mkubwa wa best naso ila hamuelewi mzee wa commercial
Ay overrated tu bwana, wa kawaida sanaaaunakuta huyu ni shabiki mkubwa wa best naso ila hamuelewi mzee wa commercial
Bado haindoi ukwel.AY mwenyewe hakujui hata ww nani?
Jux ana mangoma makali sana tu, huwez linganisha na Ambwene japo wako na mitindo tofautiJux huwa anaimba nini
Wewe utakuwa ni kijana wa miaka ya 70Hii ni 10 bora ya watu ambao hawakupaswa kujihusisha na muziki kwa sababu ya kukosa vipaji;
1. Jux
2. Shilole
3. Wakazi
4. Queen Darlin
5. Madee
6. AY
7. Babalevo
8. Ali Kiba
9. Tundaman
10. Best Naso.
πππππππIla wasanii wa zamani kila mtu alikuwa na staili yake ya kipekee.Best naso hapana kwakweli, hizo hela anapeleka studio bora angekua anakula nyama choma ajenge shavu
Daah tuna masikio tofauti, bonge la nyau nilikua nakuelewa ila ndo ivo sijui nyota.Kuna msanii alikuwa anajiita bonge la nyau, mwingine Baucha. Hamna wasanii hapo.
Huyu bwana mi kuna wimbo wake mmoja tu ule kaimba singeli ndio ulivutia, tena sio wimbo wote, ni kakipande tu anaimba2. D Voice & Mac Voice