Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #101
NONDO ngumu sana hizi, zipo imara sana. Japo najitahidi kuelewa na nitafanya hivyoSio kumuelekea Mungu, ni kujielekea mwenyewe.
Huhitaji kumuelekea Mungu popote, you only need to EXERT your own power and go deep within.
Nimekwambia hapo ukiona huoti ndoto kuna uwezekano watu au viumbe fulani au nguvu fulani ya kiteknolojia WANAZITEKA fahamu zako au WANAFUTA KUMBUKUMBU ZAKO. They hijack your memory and your power to see.
Na hii ni kwa sababu UMEWARUHUSU kwa kujua ama kwa kutokujua.
Sasa FUTA HIYO RUHUSA na Uiondoe kabisa.
QUASH IT AND NULLIFY IT in its entirety and FORTIFY YOURSELF.
TAKE CHARGE OF YOUR LIFE AND BECOME THE ONE IN AUTHORITY.
ngoja ukue na yakukuteHamna faida ya ndoto, utadanganywa sana first born
So after how long the memories of the dreams are crowded out by musclesI think we forget our dreams really quickly after we wake up because dreams happen in the same part of our brain that handles muscles.
As soon as you wake up and start moving, the memories of the dream get crowded out by your muscles doing stuff.
Yaani nyuzi za meditation ndio zilinifanya ni fall in love na jf,,mwisho wa siku nikawa mwanachamaKuna Uzi upo hapa JF waweza utafuta andika Tahajudd (meditation) umeandikwa na Mtambuzi
Utajifunza aina mbalimbali za kufanya meditation
Kiufupi itakusaidia Sana kuamsha nguvu zako za kundarini au kiroho
Kama upo DSM amka saa nane au tisa utaona akili yako itavyokuwa nyepesi na mambo yaliyojufunga yatafunguka.
Cosmic power inachilia mida hiyo
Mpaka nianze kutafuta faraja kwenye ndoto?? Aaah huko bado sijafika au labda acha nikue kwelingoja ukue na yakukute
HakikaMpaka nianze kutafuta faraja kwenye ndoto?? Aaah huko bado sijafika au labda acha nikue kweli
😂😂Yan unaamka unatoka jasho na unauhakika ulikua kwenye varangati ila ndo hukumbuki kivipi ,,moyo upo mbio mbio yan.....Sasa umejuaje uliota, na huku unasema hukumbuki?
Nikiwa nimelala najihisi au kuona nipo kwenye ndoto kabisa, na nikishtuka najaribu kukumbuka niliota nini ila siwez......Sasa umejuaje uliota, na huku unasema hukumbuki?
Soon as you wake up.So after how long the memories of the dreams are crowded out by muscles
If this is also happens to everyone, do you think it's acceptable for me to forget about my dreams for more than for 3 years?Soon as you wake up.
Mkuu, kwamba hili ni tatizo la kiafya? Kwamba niende hospitali kumuona daktari?Nenda kamuone daktari wa ufahamu una matatizo, haitakiwi iwe hivyo
Ndiyo! Kama ni muda mrefu uko na hali hiyoMkuu, kwamba hili ni tatizo la kiafya? Kwamba niende hospitali kumuona daktari?
Kweli ni muda mrefu, ila sijawahi kuwaza kwenda hospitali. Ila nitajaribu kufuatilia na kujua kama ni kweli tatzo hili ni la kiafyaNdiyo! Kama ni muda mrefu uko na hali hiyo
Nalala naota, ila sikumbuki niliota nini.unalala hadi unaota mkuu?au unaishi kwashemeji?
lala masaa machache acha kupoteza muda Hadi unapata wasaa wakuotaNalala naota, ila sikumbuki niliota nini.
Kuhusu kuishi, naishi pekeyangu