Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #121
Nilale masaa mangapi mkuulala masaa machache acha kupoteza muda Hadi unapata wasaa wakuota
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilale masaa mangapi mkuulala masaa machache acha kupoteza muda Hadi unapata wasaa wakuota
manne tuu halafu amka fanya kazi sanaaaaNilale masaa mangapi mkuu
Kaka, siwezi kulazimisha kulala muda kidogo eti ili nisiote, kwani ndoto zina ubaya gani? Zinakuja zenyewe automatically na sidhani kama ni jambo la maana kuzizuiamanne tuu halafu amka fanya kazi sanaaaa
Hiyo ni kweli kabisa mkuu, hata mimiWakati wa nyuma nilikuwa na baadhi ya ndoto ambazo huwa kweli, ila sasa sijui nini kimetokea mpaka sikumbuki tena.mi kila nachoota lazima kitokee napata taarifa na maelekezo kupitia ndoto
utajua mwenyewe bhanaaa usinisumbueKaka, siwezi kulazimisha kulala muda kidogo eti ili nisiote, kwani ndoto zina ubaya gani? Zinakuja zenyewe automatically na sidhani kama ni jambo la maana kuzizuia
Sawa kaka, uwe na siku njema.utajua mwenyewe bhanaaa usinisumbue
Sasa mkuu unadhani sababu yaweza kuwa nini hasaMimi pia ninatizo hilo
kalaleeSawa kaka, uwe na siku njema.
hapo ndugu ushachezewa na wazee wa kamati sali sana upone kirohoHiyo ni kweli kabisa mkuu, hata mimiWakati wa nyuma nilikuwa na baadhi ya ndoto ambazo huwa kweli, ila sasa sijui nini kimetokea mpaka sikumbuki tena.
Mkuu niiambie akili yangu kwa kusema tu, au kivipiIambie hakili yako.iache kisahau ndoto na itakuwa hivyo
Binafsi nikiota kitu lazima nikumbuke na lazima kitokee
Mkuu mbona unanitisha sasa, mimi hao wazee wa kamati mbona sina tatzo nao kabisahapo ndugu ushachezewa na wazee wa kamati sali sana upone kiroho
Sawakalalee
Kwa muda huo ulioota kuna jambo linakwenda kukukuta, mida hiyo ndoto nyingi huwa za kweli... ongeza ibada kwa wingi na utoe swadaka sana!Last week kwa siku 2 mfululizo, nimeota niko mahala ,nina huzuni sana , nafanya maombi huku nalia kwa uchungu sana, nikashtuka ndotoni,ilikua saa 8 usiku, macho yamejaa machozi,moyo wangu mzito sana. Siku 2 mfululizo ndoto hii ya aina moja.
SIjui hii ina maana gani et Rabboni ?
Yani kunuia huku ukiwa umefumba macho na umekaa sehemu iliyo tuliaMkuu niiambie akili yangu kwa kusema tu, au kivipi
Bila kupepesa macho ulicho andika ni upuuziDream means nothing!!
kuota ndoto na kikatokea niunabii au kipawa watu wenyekipawa hiki wanafatiliwa sana na wachawi.hivyo unaweza kufungwa kichawi au ukajifunga mwenye kwa uzinzi n.kMkuu mbona unanitisha sasa, mimi hao wazee wa kamati mbona sina tatzo nao kabisa
Kitendo cha kuota na kusahau, usikumbuke ulichoota wataalam wanasema ni dalili mbaya. Huenda watu wameshakuchezea muda mrefu... Kuna wataalam wa kuchungulia na kujua kesho yako itakuwa tamu kama kisheti, wakakumaliza mapema. Dalili ya kwanza ni kutokujua umeota nini, kupoteza kumbukumbu na kuhisi uzito kwenye kifua, pindi unavuta na kutoa pumzi, maumivu ya kichwa kwa mbali na kuhisi mwili hovyohovyo. Kama unaumwaumwa hivi...Habari za asubuhi wadau
Kama kichwa cha habari kinavyo sema. Nina uhakika kila siku naota ndoto nikiwa usingizini, lakini cha ajabu ni kwamba nikiamka tu asubuhi sikumbuki ndoto hata moja.
Ni muda mrefu sina kumbukumbu ya ndoto yoyote ile, naota ndoto zaidi ya tatu lakini asubuhi ifikapo nikijaribu kukumbuka nashindwa.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida tu? Ni zaidi ya miaka mitatu sasa nimekuwa na hali hii. Nifanye nini?