Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #141
Mkuu ni kweli kabisa, Basi ni vyema kuzidisha sala na maombi tu maana adui yako huwezi mjuakuota ndoto na kikatokea niunabii au kipawa watu wenyekipawa hiki wanafatiliwa sana na wachawi.hivyo unaweza kufungwa kichawi au ukajifunga mwenye kwa uzinzi n.k
kabisa, zaidi Watu wakaribu ndo wanakuwaga wabaya.Mkuu ni kweli kabisa, Basi ni vyema kuzidisha sala na maombi tu maana adui yako huwezi mjua
Hayo uliyo sema yanafikirisha sana kaka, kwasababu kama mtu huna uadui na watu, kwanini bado wanaamua kukuchezea. Ila naamini njia pekee ya kutafuta usalama ni kumuelekea Mungu pamoja na kuomba ulinzi wake.Watoto wetu huaribiwa mapema sana hasa na ndugu au watu wetu wa karibu utotoni mwao maana wanawawahi kuwachungulia mapema hasa wakiwa na akili angali wadogo, hasa performance ikiwa kali darasani. Unashangaa mtoto anashuka na kuishia kuwa teja... Mnaishia kulaumiana ni malezi au michezo, kumbe binadamu nao walishiriki kwenye counter-attack ya maisha ya mtoto.
Binadamu ni hatari sana!
Sasa mkuu, unanishauri nifanye nini ili kuondokana na tatzo hiliNdoto ni zaidi ya ndoto tu.
Wengine sisi ndoto ni ulimwengu wa pili wa yale yajayo au yaliyokwisha tokea.
Tatizo wengine mnaishi kama ng'ombe bandani hamuijui nguvu ya maombi kupata mafunuo.
Wakristo, Mungu alisema akitaka kuongea nasi basi atazungumza nasi kwa njia ya ndoto. Hivyo, kwa Mkristo sio vizuri kupuuza ndoto maana ni taarifa inayobidi kuifanyia kazi.Ndoto nyingi ni yale mambo unayoishi nayo kila wakati. Japo wengi wanazichukulia serious,lakini hata pale wanapozichukulia serious kwamba alichokiota kitatokea,hiyo inakuwa nadharia tu wakati hakitokei hata nusu yake,japo InabaKi kwenye Imani ya mhusika kwamba itatokea,mpaka anasahau kwamba imetokea au haijatokea.
Ukitaka kuikumbuka ndoto uliyoota ni rahisi tu ni kama vile unavyostuka mkojo ukikubana,basi unaweza kujitafuta kila wakati ukiota jilazimishe kuamka. Ukiweza kuamka kila wakati,usiamke kwa kama unastuka. Amka soft tu anza kuwaza ulivyokuwa usingizini ilazimishe akili ivute kumbukumbuku ndoto yako. Anza na tukio kubwa kubwa lililojirudia rudia kwenye ndoto yako. Mwisho utaweza kukumbuka ndoto zako. Japo sio muhimu. Mimi huwa nikiota ndoto mbaya najilazimisha sana niamke hata katikati ya ndoto. Ukija kulala huwezi kuota tena ile ile ndoto.
usishangae hilo br ukishapigwa mhuri wa kichawi kila utakapo enda lazima wachawi wakusalimie kwanza iwe kwakukuchezea au kukukwamisha mchawi furaha yake nikuona wengine wanatabika.Hayo uliyo sema yanafikirisha sana kaka, kwasababu kama mtu huna uadui na watu, kwanini bado wanaamua kukuchezea. Ila naamini njia pekee ya kutafuta usalama ni kumuelekea Mungu pamoja na kuomba ulinzi wake.
Mchawi hana akili! Hawanaga sababu, wengine wanazo... Ila ukitaka kuijua na kuielewa hii dunia basi hutataka kucheka na mtu na utachukia watu wote. Automatically tuna tabia ya kumchukia mtu ghafla pasipo na sababu ya msingi. Kumbe ni wivu tu! Hasa sisi Waafrika.Hayo uliyo sema yanafikirisha sana kaka, kwasababu kama mtu huna uadui na watu, kwanini bado wanaamua kukuchezea. Ila naamini njia pekee ya kutafuta usalama ni kumuelekea Mungu pamoja na kuomba ulinzi wake.
Lugha imekuchanganya tumia kamusi(dictionary)Bila kupepesa macho ulicho andika ni upuuzi
NAKAZIAMchawi hana akili! Hawanaga sababu, wengine wanazo... Ila ukitaka kuijua na kuielewa hii dunia basi hutataka kucheka na mtu na utachukia watu wote. Automatically tuna tabia ya kumchukia mtu ghafla pasipo na sababu ya msingi. Kumbe ni wivu tu! Hasa sisi Waafrika.
Ukitaka kuwa mchamungu hakikisha huna makandokando yoyote! Mchamungu, mchamungu kweli!
Na ukitaka kuwa kigagula mshirikina basi hakikisha unakuwa kigagula bin mshirikina kweli! Mfano wa hilo ni wafanyabiashara wa Kariakoo.
Binadamu tuna kasumba sana!
Ni kweli wachawi hawapendi waone mtu anapitia hali nzuri, lakini mkuu mimi napiga maombi tu mwanzo mwisho hasa wakati wa kulala na kuamkausishangae hilo br ukishapigwa mhuri wa kichawi kila utakapo enda lazima wachawi wakusalimie kwanza iwe kwakukuchezea au kukukwamisha mchawi furaha yake nikuona wengine wanatabika.
Ni kweli kwamba ni lazima uchangue njia moja, na ukiwa hueleweki ndyo hapo unawapa nafasi maadui. Ila pia ni muhimu kujikinga kwa kumtegemea Mungu hasa. Mkuu nimekuelewa vyema sana hapo.Ukitaka kuwa mchamungu hakikisha huna makandokando yoyote! Mchamungu, mchamungu kweli!
Na ukitaka kuwa kigagula mshirikina basi hakikisha unakuwa kigagula bin mshirikina kweli! Mfano wa hilo ni wafanyabiashara wa Kariakoo.
Binadamu tuna kasumba sana!
Ndoto ni moja wapo ya Njia ambayo Mungu anatumia kuwasiliana na Binadamu!Habari za asubuhi wadau
Kama kichwa cha habari kinavyo sema. Nina uhakika kila siku naota ndoto nikiwa usingizini, lakini cha ajabu ni kwamba nikiamka tu asubuhi sikumbuki ndoto hata moja.
Ni muda mrefu sina kumbukumbu ya ndoto yoyote ile, naota ndoto zaidi ya tatu lakini asubuhi ifikapo nikijaribu kukumbuka nashindwa.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida tu? Ni zaidi ya miaka mitatu sasa nimekuwa na hali hii. Nifanye nini?
Mkuu mimi nilikuona tu toka mwanzo wewe ni mtu makini na Hamble sana.Yaani nyuzi za meditation ndio zilinifanya ni fall in love na jf,,mwisho wa siku nikawa mwanachama
unatumia njia gani kupata maana za ndoto ulizoota?Wakristo, Mungu alisema akitaka kuongea nasi basi atazungumza nasi kwa njia ya ndoto. Hivyo, kwa Mkristo sio vizuri kupuuza ndoto maana ni taarifa inayobidi kuifanyia kazi.
Hata Shetani pia anatumia ndoto kutoa taarifa zake. Kwa hiyo unahitaji umakini kujua taarifa ya Mungu ni ipi na ya Shetani ni ipi.
Sasa Shetani mara nyingi hupenda kuharibu taarifa alizopewa mtu kwa kumsahaulisha ndoto aliyoota. Hivyo ni muhimu kumuomba Mungu akukumbushe ndoto na ukiweza unapoamka, iandike ndoto yako kisha utaipatia maana - wakati mwingine ndoto ni mafumbo, maana zake ni mpaka
Kama ni mambo ya kiroho basi tiba yake itakuwa ya kiroho pia. Mkuu umesema ulishawahi kupitia hali hii, uliwezaje kujitoa au kupona?Naongea kwa Uzoefu, nimepita unachopitia, ni mambo ya kiroho, coz chochote kinachotendeka Duniani kilianzia kwenye Ulimwengu wa Kiroho, na ukizuia Ndoto za Mtu, umezuia jana ya Mtu, so wewe unaishi tu kwa sababu kumekucha na unapumua....!
Lengo lako la kuishi limezuiwa kwenye Ndoto...!
Mimi naishi sehem moja kwa muda mrefu sasa, na nyumba ya ibada ninayo hudhuria ni moja tuJe umebadili nyumbani ya Ibada, namaanisha mahali ulipokuwa unasali ndipo unaposali sasa?
Kuna kipindi nilikuwa uhamishoni ikanibidi nisali kanisa fulani kwa miezi minne, nikapatwa na hiyo hali ya kutokukumbuka ndiyo, mpaka baada ha kuondoka hapo tena nikarudi kwenye hali ya kawaida.
Nadhani unaishia kuota ndiyo za kukimbizwa na wanyama. Kuwa karibu na Mungu uone taarifa mbalimbali atakazokupatia kupitia ndotoDream means nothing!!