Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
- Thread starter
-
- #161
Zama ? Mbona hizo zama zisiwe kwa wachina ambao always wao ni great ni kipindi kifupi sana wamezama katika unyonge na sifikiri kama watarudia makosa yao tena.Zama tu. Hata zamani wazungu walikuwa wanajiuliza hivi sisi watu weupe tuna shida gani.
Wewe ndo mfano wa Waafrica ambayo ni makopo.....mpaka leo unaamini Baraka kwenye maendeleo, serious?.....hayo ma NGO's unayoyaongelea unajua kazi yake?.. au mpaka tukuambie kuwa ni madili haramu ya watu,?.... waafrica mutaendelea kuwa wamwisho kama mutaendelea na maimani ya kipuuzi kuhusu maendeleo....Ni hivi....
Sisi watu weusi tumezidi kulogana, yaaani aonekane mtu kainuka kidogo tu watamloga, mtoto wa flani saivi yupo juu watamloga,mahospitali mtoto kazaliwa na nyota nzuri wachawi washaiona wanamuua
Maendeleo tutayaonea wapi, tutakua saangapi?
Kwa wenzetu izo pigo za wivu za kulogana logana hamna asilimia kubwa Afrika imeshamiri.
Kingine sisi roho ya kutoa hatuna baraka utazipatia wapi? tuna jilimbikizia mali tu kusaidia wasio na uwezo hatuwezi na nikitu kigumu mno kweli.
Ila angalia wenzetu wakifanikiwa utaona wanavyo saidia watu angalia ma NGO'S yalivyojaa huku Afrika kusaidia watu wenye maisha duni.
We apo unategeme uchumi wa huyu mtu utadumaa? ata kama anamaovu yake lakini atazidi kufanikiwa tu
Ipo siri kubwa katika utoaji na kwetu sisi waafrika iyo silka hatuna.
Zama tu. Watu weusi toka wanafuga wanyama kwenye jangwa la Sahara, hadi kuanza kujenga mapiramidi na baadaye kuja kuanguka walikuwa juu zaidi ya miaka 2,000. Hizi ni zama tu.Zama ? Mbona hizo zama zisiwe kwa wachina ambao always wao ni great ni kipindi kifupi sana wamezama katika unyonge na sifikiri kama watarudia makosa yao tena.
Hao wazungu ni wakubwa kwa maelfu ya miaka toka walipo shika usukuani hawajaachia.
Sisi tumewekwa utumwani na kwenye ukoloni kwa zaidi ya miaka 500 sisi ni wanyonge kwa miaka mingi sana kuliko jamii yoyote ile na hatuoneshi dalili ya kutoka katika unyonge huo.
Wewe leo hii nikuulize ipi ni jamii rahisi zaidi kuikoloni na kuiweka utumwani kwa sasa kati ya Jamii yetu na wajapan, wachina na waasia wengine ?
Na future unaiona hiyo ya zama zetu ?Zama tu. Watu weusi toka wanafuga wanyama kwenye jangwa la Sahara, hadi kuanza kujenga mapiramidi na baadaye kuja kuanguka walikuwa juu zaidi ya miaka 2,000. Hizi ni zama tu.
Cha ajabu sana.lakini alichoandika ni ukweli mtupu....mtu mweusi ni kiumbe cha ajabu
Future ipo nzuri sana. Inahitaji tu watu wachache wenye akili za kuweza kujitoa kwenye makucha ya ubeberu(Imperialism)Na future unaiona hiyo ya zama zetu ?
Nachoona ni Chinese future na Asia overall not Africa walio serious unawaona tu wanachofanya kwa sasa.Future ipo nzuri sana. Inahitaji tu watu wachache wenye akili za kuweza kujitoa kwenye makucha ya ubeberu(Imperialism)
Asia ni kama wameishapeak. Gharama za uzalishaji kwao zimeisha kuwa kubwa, population growth imeachwa mbali na ile ya Afrika. Future ipo huku kwa watu weusi. Inahitaji tu kiongozi anayeelewa dunia inavyoenda.Nachoona ni Chinese future na Asia overall not Africa walio serious unawaona tu wanachofanya kwa sasa.
Nawe una macho naamini una shuhudia huhitaji kusimuliwa
Watu weusi ni shida hapa duniani. Wacheche miongoni mwetu tuna ubinadam ila wengi sana wanaharibu hii dunia na walipaswa kufutika kabisa.Dunia ilivyoumbwa kuna mamba, kenge na mijusi. Unachoshangaa wewe ni kwa nini mjusi hafanani na mamba? Unataka labda kuna kitu mjusi anaweza fanya nae akawa mamba.
Hayo ni maumbile bro sisi watu weusi genetically tumeumbwa wajinga na dunia hii hatuna mchango wowote wa maana kuifanya dunia iwe sehemu nzuri kuishi sisi tumeumbwa kuvuruga. Ukijengewa choo bado utakunya pembeni.
Huoni hata mitume walikua weupe, [emoji23] hahahahaHuu ni muda wa kuambiana ukweli ndugu zangu.
Hivi sisi watu weusi hata waafrika tatizo kubwa ni nini hasa hapa duniani mbona tumeganda kama kwenye barafu ? Tupo nyuma nyuma tu kwa mambo mengi huku hao wanao onekana wenzetu wakituacha mbali.
Yaani sisi kwa vitu vingi tuna kimbizwa na hawa watu wengine sio elimu, sio sayansi, sio maendeleo sio chochote sisi tunashika tela tu.
Hata mataifa yenye michanganyiko ya races. Race inayo onekana ya ajabu, dhaifu na ya mwisho ni nyeusi ukilinganisha na races nyengine.
Hata mataifa ya watu weusi yanayo onekana kusogea katika macho ya waafrika nyuma yana mchango mkubwa wa watu weupe kuwa pale yalipo.
Sisi waafrika weusi, waafrika wa kaskazini(waarabu) na watu wa Asia kwa sehemu kubwa tuli tawaliwa na foreign powers lakini baada tu ya kupata uhuru mataifa ya kaskazini mwa Afrika na mataifa ya Asia yana kimbia ila mataifa ya sisi watu weusi ni huzuni kwa kweli.
Sisi tuna tatizo gani ndugu zangu hebu tuambizane ukweli utuweke huru au wenda tuna upungufu wa kitu fulani ukilinganisha na hawa wengine ?
Tukumbuke ukweli umuweka mtu huru.
Wewe binadamu anawekewa jicho la kondoo, moyo wa nguruwe. Hilo la kuwekewa damu si chochoteMtu ni Roho, anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI.
Mtu Hana RANGI, RANGI Iko kwenye Mwili,
Ingekuwa RANGI ni tatizo, mzungu asingewekewa Damu ya black na kusurvive.
Tatua matatizo Yako, usisingizie RANGI Yako au uafrika wako.
πππππππJe una uhakika kwamba sisi ni watu? Tuanzie hapo kwanza
Asia ipi unayo iongelea hapaAsia ni kama wameishapeak. Gharama za uzalishaji kwao zimeisha kuwa kubwa, population growth imeachwa mbali na ile ya Afrika. Future ipo huku kwa watu weusi. Inahitaji tu kiongozi anayeelewa dunia inavyoenda.
Population growth ya Afrika ni zaidi ya 50 percent kwa miaka kumi iliyopita. Asia ni kama 20. Pia gharama za uzalishaji Asia zimekuwa sana, haiwezi kuendelea tena kuwa kiwanda cha dunia. Kwenye sasa ni potential ni Afrika. Yanahitajika mambo kidogo tu na kiongozi mwenye maono. Tukiwekeza kwenye chuma na umeme basi tumetoboa.Asia ipi unayo iongelea hapa
Teknolojia, population growth, Education, Good policies na vitu vingi tupo nyuma ya Asia mbali kabisa
Tuki, tuki, tuki, kila siku ni tuki, tuki unafikiri dunia ina tusubiri ?Population growth ya Afrika ni zaidi ya 50 percent kwa miaka kumi iliyopita. Asia ni kama 20. Pia gharama za uzalishaji Asia zimekuwa sana, haiwezi kuendelea tena kuwa kiwanda cha dunia. Kwenye sasa ni potential ni Afrika. Yanahitajika mambo kidogo tu na kiongozi mwenye maono. Tukiwekeza kwenye chuma na umeme basi tumetoboa.
Haya mambo hayana ujanja wala akili, ni zama tu.
Wanafunzi wa kitivo cha uhandisi chuo kikuu tajwa kongwe UDSM kwa kushirikiana na halmashauri ya Ubungo TAMISEMI wangeweza kutumia kodi za wananchi vizuri na wanafunzi wa UDSM kujifunza kwa vitendo kujenga kingo hatimaye majina yao kuingia ktk rekodi kumbukizi tukuka kuwa elimu imewezesha kutatua changamoto katika jamii .
Mimi naona kuna vitu wazungu wamepitia mpaka wamefikia hapo walipo. Ili na sisi tufike kama wao inabidi turudi nyuma na tujue walitumia mbinu gani na sisi tuzitumie. Mfano kidogo Ujerumani watu wengi hawaendi kanisani lakini kila kijiji na mtaa una Kanisa. Hii inaonesha miaka mingi nyuma walikuwa ni watu wa dini sana. Lakini kwa sasa hawaipi dini kipaumbele. Tusikazane kuiga wazungu wanachokifanya sasa hivi. Hata ukifuatilia timu za mpira za EPL zilikuwa timu za wafanyakazi wa tasisi au Mashirika mbali mbali. Afrika hatuna hadhi ya kuwekeza katika michezo, wala burudani. Tunatakiwa tutengeneze jamii ya wanataaluma. Na hivi vitu vingine viwe vya ziada. Ukifuatilia nchi za Ulaya kila mtu lazima awe na bima ya afya na wanajali utu wa kila mtu haijalishi nchi,kabila,dini n.k. Ili tufanikiwe lazima turudi nyuma walichofanya wazungu halafu na sisi tufanye hayo. Wazungu wanajadili kuhusu kuruhusu Bhangi, Ushoga, Michezo na Burudani kwa sababu uchumi wao unaruhusu. Ukifuatilia kuhusu Ujerumani baada ya vita ya pili ya dunia. Utagundua kipindi hiko ilikuwa kazi kazi. Hakuna mambo ya mpira muziki sijui cinema ni viwanda na kuboresha hifadhi ya jamii.Mimi huwa naumia sana kuona hivi jinsi sisi tulivyo.
Nitikatazama hawa wanao onekana wenzetu jinsi waliyo katika mambo yao na walipo huwa naumizwa sana na hali zetu.
Sometimes huwa nahisi hivi sisi tuna laaana tumelaanika huko miaka ya nyuma au laaah ! Maana mimi siielewi kabisa ndugu zangu ni kipi kinacho tusibu sisi.
Je, mfumo wa kitumwa sisi ndio tuna uweza kutumikishwa kama watumwa ndio njia inayo tufaa sisi kuliko njia nyingine zote ?