Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa jukumu la msingi kwa vyombo hivi ni Moja halafu ukaongea HIVYO Ungeeleweka vizuri sana kwa hiyo kauli yako ya '' JW iko vizuri kuliko...".Ninyi ndio weupe kabisa kujua mchango wa JWTZ, kwa mama kuwa pale.
Kama hamjui na kwa taarifa yenu, JWTZ iko vizuri na TISS hawaoni ndani.
Itafuteni Elimu itawaweka huruKwa hiyo alimaanisha nini? Mbona ndani ya chama Kuna wanajeshi wengi tu ambao wanaweza kumwambia CDF maana ni mwenzao.Kikwete,Makamba Sr,Kina,Lubinga nk
Umenena vyema mkuuwatu wanampaisha CDF eti sio wa level ya kawaida
wakati Mabeyo kaandika Kitabu chake kizuri tu na kakifungua Kanisani akiwa na makamu wa Rais watu tukakinunua bado juzi kakigawa mitaani kwenye Dini nyingine eti haruhusiwi kuongelea maisha ya kawaida bali ni kijeshi tu wala hasogelewi
acha tumtafute Wise man aiyemuuma sikio kuwa hao wenye kijani ndio wabaya wako
(km ni wazee wa CCM wangemwambia sisi wenye kijani ndio chawa)
Mwinyi ambaye ashapoteza kumbukumbu.Wote zungukeni ila ni Mzee Mwinyi 100%
Yuko kijijini KINENURO mkoani Njombe analima viazi na karanga za macadamia !Mzee Mangula yupo wapi?
kama ulikuepoAnaweza kuwa ni Abdulrahman Kinana.
YAMETIMIA....sasa Mshike mshike wa kisiasa UNAANZAJana Rais Samia aliweka wazi kuwa baada ya kuapishwa tu, kuna mtu alienda kumpa tahadhari kuwa awe makini na CCM wenzake kuliko wapinzani kwani ndio wanaweza wakamuharibia kazi yake!
Rais Samia hakumtaja jina mtu huyo. Ila kwakuwa JF ni jukwaa pana na zito, je tunaweza tukamjua mtu huyo ni nani? Karibuni kwa mjadala