Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena majukwaa ya siasa huwa napita kwa mbaali sana, mimi najua mengi ya jukwaa letu la MMU basi.Sisi wadadisi wa masuala ya kisiasa tunaona unajua mengi sana ya kina Jobo[emoji1787]
Narudia kukuambia hiyo siyo line ya CDF. Ungesema Boss wa Tiss ungeeleweka. Tatizo wengi wenu ni Weupe sana kuhusu Majukumu ya hivi vyombo. CDF aliposema ana dokezo basi kila linalotokea mnasema ndio hilo. Ipo siku mtasema IGP kamshauri Rais KUBORESHA SEKTA YA KILIMO cha KoroshoWewe ndio unaandika tu na vyama huvijui, haiwezekani jezi ya kijani umfuate kocha wenu au refa umwambie goli la mkono litafungwa na kijani na watakukata ngwala. Nani kasema majeshi hayana siasa au upande wa Utawala. Mara nyingi majeshi ndio huchukua Nchi na humlinda Kiongozi / Rais
CDF usimuweke pembeni alichoongea tangu na kabla ya Tangazo la mwendazake hatunaye kule Tanga anahusika na lazima aulizwe Nchi amani ipo kwake,
wewe ndio huelewi chochote Nchi zote Marais hawapinduliwi na usalama wa Taifa ni lazima washirikiane na Jeshi, au Jeshi liende moja kwa mojaNarudia kukuambia hiyo siyo line ya CDF. Ungesema Boss wa Tiss ungeeleweka. Tatizo wengi wenu ni Weupe sana kuhusu Majukumu ya hivi vyombo. CDF aliposema ana dokezo basi kila linalotokea mnasema ndio hilo. Ipo siku mtasema IGP kamshauri Rais KUBORESHA SEKTA YA KILIMO cha Korosho
Haaahaaaah!!! NDIVYO MLIVYODANGANYANA HIVYO vijiweni. Dogo kuna mambo mengine yaliyopo kichwani usipende kuyatoa hadharani maana watu watajuwa UWEZO wako Kiakili.wewe ndio huelewi chochote Nchi zote Marais hawapinduliwi na usalama wa Taifa ni lazima washirikiane na Jeshi, au Jeshi liende moja kwa moja
Turudi hapa kwetu, ndani ya masaa ya Mwendazake kututoka Mama alikuwa chini ya CDF mpaka anaapishwa, jiulize wote wamebadilishwa kwanini haguswi basi ana mikoba yote
wewe ndio DOGO kabisa tena wa juzi tu rudi kwenye MadaHaaahaaaah!!! NDIVYO MLIVYODANGANYANA HIVYO vijiweni. Dogo kuna mambo mengine yaliyopo kichwani usipende kuyatoa hadharani maana watu watajuwa UWEZO wako Kiakili.
Mimi nimeshakuelewa na SIKUBISHII TENA
Du, haujamaliza hata siku tano.Huu mwaka bora uishe tu:
Kwa hiyo alimaanisha nini? Mbona ndani ya chama Kuna wanajeshi wengi tu ambao wanaweza kumwambia CDF maana ni mwenzao.Kikwete,Makamba Sr,Kina,Lubinga nkWanaoweza kuongea hivyo ni wazee wa chama. CDF ana line ya mambo yake. Yeye na mambo ya Chama wapi na wapi.
Mnaandika tu
Huyu jamaa kakaririshwa ,hakumbuki hata mkwara wa Luten Jenerali Shimbo Uchaguzi wa 2015 alipoonya kwamba ,ole wake atakayekataa matokeo.Wewe ndio unaandika tu na vyama huvijui, haiwezekani jezi ya kijani umfuate kocha wenu au refa umwambie goli la mkono litafungwa na kijani na watakukata ngwala. Nani kasema majeshi hayana siasa au upande wa Utawala. Mara nyingi majeshi ndio huchukua Nchi na humlinda Kiongozi / Rais
CDF usimuweke pembeni alichoongea tangu na kabla ya Tangazo la mwendazake hatunaye kule Tanga anahusika na lazima aulizwe Nchi amani ipo kwake,
watu wanampaisha CDF eti sio wa level ya kawaidaKwa hiyo alimaanisha nini? Mbona ndani ya chama Kuna wanajeshi wengi tu ambao wanaweza kumwambia CDF maana ni mwenzako.Kikwete,Makamba Sr,Kina,Lubinga nk
mnaitana madogowewe ndio DOGO kabisa tena wa juzi tu rudi kwenye Mada
wanamtafuta aliyeenda kumuuma sikio Mama kuwa mashati ya kijani ni mabaya
vitu vingine msitulazimishe tuvitamke humu km enzi za Mwendazake
HUWEZI ACHA
We mjinga kabisa na huna hata akili.KAMANDA MABEYO NDO ALIMWAMBIA, MTU MWEUSI KAMA MKAA AFU HANA UZALENDO NA NCHI YAKE
MTU ANAONA KABISA HUYU MAMA HAFAI ILA ANAMKINGIA KIFUA
acha aniite dogo angejua ni mstaafuNi mkuu wa majeshi
Atakuwa H. Slow slowJana Rais Samia aliweka wazi kuwa baada ya kuapishwa tu, kuna mtu alienda kumpa tahadhari kuwa awe makini na CCM wenzake kuliko wapinzani kwani ndio wanaweza wakamuharibia kazi yake!
Rais Samia hakumtaja jina mtu huyo. Ila kwakuwa JF ni jukwaa pana na zito, je tunaweza tukamjua mtu huyo ni nani? Karibuni kwa mjadala