Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mama ni kilaza. Kwa hivyo awatimizie basi wapinzani kuhusu matakwa yao yote. Maana sio katiba mpya tu wanataka. Wanataka dola.Huyo Bwana ana busara sana,Samia maadui zake wamo humohumo Kijani sisi Wapinzani hoja zetu zikitimizwa hatuna maneno
Tunataka Katiba Mpyaa sasa
Inaoneka atakuwa huyo namba moja bila shaka yoyote!Watakua kati ya hawa
Mwinyi senior
Jk
Mzee Butiku
Malecela
Warioba
Wasira
Kwa vyovyote vile atakuwa financial services [emoji1787][emoji1787]Jana Rais Samia aliweka wazi kuwa baada ya kuapishwa tu, kuna mtu alienda kumpa tahadhari kuwa awe makini na CCM wenzake kuliko wapinzani kwani ndio wanaweza wakamuharibia kazi yake!
Rais Samia hakumtaja jina mtu huyo. Ila kwakuwa JF ni jukwaa pana na zito, je tunaweza tukamjua mtu huyo ni nani? Karibuni kwa mjadala
Mama yupo sawa hatutaki Raisi muuwaji kama yule Shetani.Nchi inataka rais bora sio bora rais
Umeandika kitu cha msingi sanaYaani mama ni kilaza. Kwa hivyo awatimizie basi wapinzani kuhusu matakwa yao yote. Maana sio katiba mpya tu wanataka. Wanataka dola.
Amejisahau. .. kwani wanaccm wenzie wanachotaka ni nini? 2025 wanataka uwanja uwe wazi kwa mgombea urais sio kumpitisha mama kwa ndioooo. Wanataka ushindani wazi. Mama awamu hii sio yake aliyechaguliwa ni magufuli. Sio mtu afanye temu mbili kwa dezo. Nchi inataka rais bora sio bora rais.
Impossible to predictJana Rais Samia aliweka wazi kuwa baada ya kuapishwa tu, kuna mtu alienda kumpa tahadhari kuwa awe makini na CCM wenzake kuliko wapinzani kwani ndio wanaweza wakamuharibia kazi yake!
Rais Samia hakumtaja jina mtu huyo. Ila kwakuwa JF ni jukwaa pana na zito, je tunaweza tukamjua mtu huyo ni nani? Karibuni kwa mjadala
Umenena mkuu! Tena siku ile ya mazishi!Watu wasahaulifu sana hawakumbuki C.....F aliomba kwenda kumuona lini na amueleze nini.
Kwani Gaidi Yuko Keko kwa hisani ya Nani?Mama yupo sawa hatutaki Raisi muuwaji kama yule Shetani.
Anajiondoa ufahamu wakati yeye ndio kiongozi wa wanafiki.Huyu Mama analeta Ngonjera.....
Kwani yeye ni Mgeni wa CCM ? Kuna asichokijua wakati ndio amekulia humo humo na huenda na yeye alishakuwepo kwenye hizo kazi zao za kuharibiana....
Pia atofautishe kuharibiana na kutofautiana hivyo ni vitu viwili tofauti....
Warioba hana muda huoAtakuwa Mzee Wariob
Butiku na Warioba watoe kwenye list.Watakua kati ya hawa
Mwinyi senior
Jk
Mzee Butiku
Malecela
Warioba
Wasira
Mkuu hizo guts sina kabisa, naanzaje na kama nani ? 😒Kwa vyovyote vile atakuwa financial services [emoji1787][emoji1787]
sawa kabisa ni JW BossJeshi