Ni nani alienda kumuuma Rais Samia sikio kuhusu CCM wenzanke?

Ni nani alienda kumuuma Rais Samia sikio kuhusu CCM wenzanke?

Raisi anapaswa kuwa na mtazamo/vision yake sio lazima akubali kila ushauri
Yes, wanamsaidia kui-polish vision yake, Kila Kijiji kina wazee bhaanaa, imagine washauri ni wanasiasa nguli wenye mizizi na asili ya JWTZ na vyombo vingine vya usalama
 
KAMANDA MABEYO NDO ALIMWAMBIA, MTU MWEUSI KAMA MKAA AFU HANA UZALENDO NA NCHI YAKE

MTU ANAONA KABISA HUYU MAMA HAFAI ILA ANAMKINGIA KIFUA
 
Hamna jipya tulimuonya mapema mwanzo kabisa tukimtakia mema kwamba toxin zote za mwendazake fukuza weka watu wako usiwe na huruma, akusikia akaona tunampangia nadhani sasa kalipata jibu.
Sisi twaendelea kukaa kimya tu.
 
Kupokea ushauri sio udhaifu,ni bora ushaurike ufike salama kuliko kukaa ushauri ukiamini ni udhaifu lakini uangukie shimoni.
 
Huyo Bwana ana busara sana,Samia maadui zake wamo humohumo Kijani sisi Wapinzani hoja zetu zikitimizwa hatuna maneno

Tunataka Katiba Mpyaa sasa
Even bila katiba, mkipata mwaliko wa chai na sambusa za ikulu tu, mkipata mialiko kutuma wajumbe kwenye safari za kikazi za maza nje ya nchi, wapinzani mtapoa bila shida...[emoji2]

Shida ya mwendazake alikuwa hajui kula na kipofu...
 
mtajuaje mazungumzo ya watu wawili.

kuna watu mnapenda kukisia kisia

kha
 
Jana Rais Samia aliweka wazi kuwa baada ya kuapishwa tu, kuna mtu alienda kumpa tahadhari kuwa awe makini na CCM wenzake kuliko wapinzani kwani ndio wanaweza wakamuharibia kazi yake!

Rais Samia hakumtaja jina mtu huyo. Ila kwakuwa JF ni jukwaa pana na zito, je tunaweza tukamjua mtu huyo ni nani? Karibuni kwa mjadala
Siku ya kuapishwa,CDF General Mabeyo alisema Kuna jambo atamfuata ikulu amwambie.
 
Wabongo kwa Udaku. Sasa kumjua ili isaidie nini. UMBEA TU
 
Siku ya kuapishwa,CDF General Mabeyo alisema Kuna jambo atamfuata ikulu amwambie.
Wanaoweza kuongea hivyo ni wazee wa chama. CDF ana line ya mambo yake. Yeye na mambo ya Chama wapi na wapi.

Mnaandika tu
 
Yeyote yule wengine hatuhitaji kumfahamu. Ukweli ni kuwa alifanya hivyo kama janja janja ya kuzuga ili kijani wakianza kumbungua asijue ni nani yuko nyuma yake. Huyu ni mtu ambaye anasema JPM kazi yake imeisha tuone mrithi wake naye.
 
Wanaoweza kuongea hivyo ni wazee wa chama. CDF ana line ya mambo yake. Yeye na mambo ya Chama wapi na wapi.
Mnaandika tu
Wewe ndio unaandika tu na vyama huvijui, haiwezekani jezi ya kijani umfuate kocha wenu au refa umwambie goli la mkono litafungwa na kijani na watakukata ngwala. Nani kasema majeshi hayana siasa au upande wa Utawala. Mara nyingi majeshi ndio huchukua Nchi na humlinda Kiongozi / Rais
CDF usimuweke pembeni alichoongea tangu na kabla ya Tangazo la mwendazake hatunaye kule Tanga anahusika na lazima aulizwe Nchi amani ipo kwake,
 
Ni yule alosema eti kifo cha jpm alikipokea kwa mshangao sana.mmmh nikajiuliza hata yeye hakujua kuumwa kwake?

Sisi ndo tulipata kwa mshangao sana maana tuliambiwa yupo mzima anapiga kazi.
 
Back
Top Bottom