Siyo CHADEMA wala siyo SERIKALI. Ni makinkia,. Ni kwa sababu makinikia yalikuwa ni ya Serikali. Makinikia yalitumika ili ionekane kuwa ni SerikaliIngekua chadema wangekua wameshakamatwa, nafikiri hapo majibu unayo
ni chuki zenu tuMagufuri alikuwa ni shetani kwenye sura ya mwanadamu.
Kifo chake kimeokoa taifa. Hebu fikiria asingekufa leo hii tungekuwaje kama taifa?
Tumshukuru mungu
mtoa Mada ataka maelezo sio hisiaTundu lissu alitaka kuuawa kama wengine 'walivyopotezwa' anyway, awamu ile ilikuwa OVU mno iliyojaa ushetani!
3Jibu lipo wazi no 2
Mh Lissu nafikili asirudi KWANZA bali asubili kidogo kiti kinamsubili2025, Lissu atakua rais wa nchi hii,Habari wana JF,
Hivi kati ya hawa watano tukiachana na story za kufikirika na za vijiweni ni nani hasa alihusika na shambulio la Tundu lissu?
Binafsi nimemuelewa Tundu Lissu hataki kurudi nchini inawezekana kabisa hajui adui yake halisi ni nani.
sasa kati ya hawa mwenye maelezo ya kutosha amtoe wasi wasi Tundu lissu ili arudi Tanzania:-
1. Vibaka au Majambazi kwa Ajili ya kutaka Mali
2. Serikali ya Awamu ya tano ikiongozwa na Hayati JPM kwa ajiri ya faida za kisiasa au Maendeleo ya Nchi kwamba alikuwa kikwazo
3. CHADEMA ili kuchafua serikali kwa faida ya kisiasa au migogoro Chamani
4. WanaCCM wasio kuwa wanapenda kinachoendelea Awamu ya Tano na Uongozi wa JPM
5. Wengineyo ,kama kwa ajiri ya wivu wa kimapenzi na n.k
Ni nani hasa? Ujue kwenye Siasa kuna mambo mengi unaweza aminishwa kitu kumbe ni Propaganda tu.
😂😂😂😂Wewe unafikiri kwann Lissu huwa anakuwa mzito kupokea simu za mwenyekiti wake? ,Namba 3
kwa ushahidi upi ?Magufuri alikuwa ni shetani kwenye sura ya mwanadamu.
Kifo chake kimeokoa taifa. Hebu fikiria asingekufa leo hii tungekuwaje kama taifa?
Tumshukuru mungu
Habari wana JF,
Hivi kati ya hawa watano tukiachana na story za kufikirika na za vijiweni ni nani hasa alihusika na shambulio la Tundu Lissu?
Binafsi nimemuelewa Tundu Lissu hataki kurudi nchini inawezekana kabisa hajui adui yake halisi ni nani.
sasa kati ya hawa mwenye maelezo ya kutosha amtoe wasiwasi Tundu Lissu ili arudi Tanzania:-
1. Vibaka au Majambazi kwa ajili ya kutaka Mali
2. Serikali ya Awamu ya tano ikiongozwa na Hayati JPM kwa ajili ya faida za kisiasa au Maendeleo ya Nchi kwamba alikuwa kikwazo
3. CHADEMA ili kuchafua Serikali kwa faida ya kisiasa au migogoro Chamani
4. WanaCCM wasiokuwa wanapenda kinachoendelea Awamu ya Tano na Uongozi wa JPM
5. Wengineyo ,kama kwa ajili ya wivu wa kimapenzi na n.k
Ni nani hasa? Ujue kwenye Siasa kuna mambo mengi unaweza aminishwa kitu kumbe ni Propaganda tu.
Labda hiyo namba 3
Magufuli hakuwa na muda wa kupoteza na mandondocha
3: Chadema - kwa sababu Ni chama Cha wahuni
#Sina_Chama
Hiyo ndiyo inajulikana kama Circumstantial evidence ..... unaweza kuhukumiwa kwa kuzitumia. Siyo kila mtu anahukumiwa kwa kutumia physical evidence.ushahidi wa maneno ambayo hayataji hata jina la Mtu hauna maana
Wewe mrundi unatumia bangi ya wapi inayokusahaulisha hata jinsia yako. Tukurudishe kwenye makambi yenu kakonko!Mi naona ikikuwa kiini macho tindo lusu hakupigwa risasi ni urongo!
Sababu namba 4 ikaboreshwa na sababu namba 3. Ukapangwa mchezo mmoja saafi
ushahidi wa maneno ambayo hayataji hata jina la Mtu hauna maana
Wewe unafikiri kwann Lissu huwa anakuwa mzito kupokea simu za mwenyekiti wake? ,Namba 3
Magufuli hakufa kimya kimya,alikufa kwa mateso makaliBasi nchi haina ulinzi kabisa. Yani CCTV zitolewe kwenye eneo analoishi waziri na hata upelelezi usifanyike. Tuache utani.
Hizi dharau ndio zilipelekea Magufuli akafa kimya kimya bila kelele zikabaki shutuma tu.
Mbowe ili aendelee kuwa mwenyekiti wa milele