Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Naanza na kutoa pole kwa watz wenzangu juu ya Mh.Lissu kwa janga lililomkuta..
Kwamfano Siku imetokea Mara Mungu amejaalia hao wahalifu wakakamatwa na IKIBAINIKA kua serikali haikuhusiana kabisa na matendo hayo..
HAO WENYE KUISHUTUMU SERIKALI YETU YA AWAMU YA 5,JE NYUSO ZAO WATAZIWEKA WAPI??

Sent from Calculator Phone vesion007
Pambaf!
 
Na Lisu akitoka Kenya ataufyata kama mwenzie Lema

......
 
Mchochezi mmoja kakamatwa Arusha na hizi habari za mhe. Lissu
#my_take :be carefull
 
Ndugu Zipo aina zaidi ya 100 za silaha aina ya Machine gun zikiwa zimegawanywa katika makundi 5
1 Light machine gun
2 General -purpose machine gun
3 Medium machine gun
4 Heavy machine gun
5 Squad automatic weapons
Na zote zinauwezo wa kupiga risasi mfululizo lakini si machine gun pekee ndizo zenye uwezo wa kutoa risasi nying kwa mfululizo zipo hata pistols (Glock) Mkuu @Ng'wale taasisi pekee ya kufanya uchunguzi na upelelezi ni Police tu na taarifa ya preliminary investigation Mbowe aliipata wapi wakati hata Police hawajatoa statement je chadema kuna kitengo cha investigation?
Nyinyiemu mnacho?
 
Sawa kwa hiyo unaamzaje sasa? Mmempiga risasi Baba wa watu ili mpate cha kuongea? Ndo maana hata EU wametoa pole kwa familia yake na wala hawajataja assasins chadema!
Lumumba mko desperate, guility conscience itawasumbua sana, the government should come clean on this otherwise mmechafukwa na mtachanganyikiwa bado.
 
Aache propaganda kuteka watu na kuwapoteza ktk utawala wake hii inaashiria kushindwa kujibu hoja nzito kuhusu utawala wake anachokifanya anawakamata na kutaka kuwaua wale wenye uthubutu wa kuhoji ..my take ajue madaraka yanaisha huenda akimaliza muda wake akaishi uhamishoni kwa sababu hii katiba piga ua lazima itabadilishwa haipiti miaka kumi tutapata katiba mpya ..na ccm ipo siku wataondoka hili suala wasijifariji kwamba watabaki milele wakitawala e.g.zanzibar shein alishindwa uchaguzi ; bagbo na yahya jameh ..namhurumia sana magufuli na shein kwani attack wanazofanya ndio zinazoofisha utendaji wa serikali zao hii leo wameshindwa hata kuongeza mishahara ..kuajiri ..zimebaki porojo tu na kidiplomasia tumedondoka vibaya mikopo elimu ya juu hakuna tena hivyo mwambieni magufuli ccm ikitoka au katiba ikibadilishwa anayo kesi ya kujibu ukonga apaone tu kwa kuwapeleka akina manji na yeye ataingia ..hii mtanikumbuka

Cc keki ya harusi

Sent using Jamii Forums mobile app
Usituaminishe imani yako ili nasi tukusapoti,wewe kama ulikia jipu umetumbuliwa kulalama ndio kunakupunguza machungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aache propaganda kuteka watu na kuwapoteza ktk utawala wake hii inaashiria kushindwa kujibu hoja nzito kuhusu utawala wake anachokifanya anawakamata na kutaka kuwaua wale wenye uthubutu wa kuhoji ..my take ajue madaraka yanaisha huenda akimaliza muda wake akaishi uhamishoni kwa sababu hii katiba piga ua lazima itabadilishwa haipiti miaka kumi tutapata katiba mpya ..na ccm ipo siku wataondoka hili suala wasijifariji kwamba watabaki milele wakitawala e.g.zanzibar shein alishindwa uchaguzi ; bagbo na yahya jameh ..namhurumia sana magufuli na shein kwani attack wanazofanya ndio zinazoofisha utendaji wa serikali zao hii leo wameshindwa hata kuongeza mishahara ..kuajiri ..zimebaki porojo tu na kidiplomasia tumedondoka vibaya mikopo elimu ya juu hakuna tena hivyo mwambieni magufuli ccm ikitoka au katiba ikibadilishwa anayo kesi ya kujibu ukonga apaone tu kwa kuwapeleka akina manji na yeye ataingia ..hii mtanikumbuka

Cc keki ya harusi

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongea mambo ya kuchonganisha na UCHOCHEZI.Je Ikiwa leo wewe utakamatwa na Polisi na wakuulize UWASASAIDIE katika upelelezi WAO ili UUDHIBITISHIE Umma kuwa Mh Rais Magufuli ALIHUSIKA.Nina maswali mawili:
1.Je UTABITISHA?
Maana hamna mtu aliye na RUHUSA awe ni nani ya kutoa uhai wa mtu mwingine.
2. Je Polisi Wakikukamata ili KUKUHOJI utasema WAMEKUONEA?

ACHA kutuletea mambo ya vijiweni na uongo wa MITANDAONI.
Tuviachieni vyombo vya dola vifanye upelelezi wake ili GARI husika LIKAMATWE na wahusika WAKAMATWE. Hata kama ni NANI?

Magufuli HAJATUMA watu WAMTETEE yeye kwa KUVUNJA sheria za nchi na kuua watu.
Waliofanya hayo ni WAHALIFU wakubwa sana.
Kila mtu ABEBE MSALABA wake.
 
Kabla ya kushutumu serikali watu wameshindwa kuhoji hili wakati katika CV ya Mbowe hakuna sehemu hata moja inayoonyesha Mbowe aliwai hata kupitia Mgambo au JKT lakini kabla hata ya Police kutoa statement tayari Mbowe alikuwa ameshataja mpaka aina ya silaha iliyotumika kumshambulia Lissu je alijuaje kama silaha iliyotumika ni SMG au machine gun hapa namnukuu '' Gari iliyokuwa inamfata nyuma ghafla ilitoa bunduki aina ya machine gun SMG na kuanza kumiminia risasi'' swali la kujiuliza alijuaje wakati hapakukutwa silaha eneo la tukio ?
elimu ya siku hizi ni magalasa kabisa,..hujiulizi kuwa dereva wa lisu ni mzima,mbowe hawezi kuwa ameelezwa hayo na dereva? rudini shule ya msingi basi muongeze maarifa kidogo
 
Mkuu,ujue hizo tuhuma si za kitoto,kwa mfano ukiombwa na mamlaka za kichunguzi uwasaidie,utawasaidia?
Wameipata ile gari iliyopaki viwanja vya bunge kisha kumfuatilia Lissu na kumshambulia?

Maswali yako yana arrogance ile ile ya "kurara nao mbere"
 
Back
Top Bottom