Wameipata ile gari iliyopaki viwanja vya bunge kisha kumfuatilia Lissu na kumshambulia?
Maswali yako yana arrogance ile ile ya "kurara nao mbere"
Kumbe na wewe una ubongo wa kuku!
Message ndiyo hiyo kila mtu mitaani anajua hivyo, nyie mrukeruke tu lakini ndio kuiva kwa 'maharage' wenye akili watajua nilichomaanisha.Unaongea mambo ya kuchonganisha na UCHOCHEZI.Je Ikiwa leo wewe utakamatwa na Polisi na wakuulize UWASASAIDIE katika upelelezi WAO ili UUDHIBITISHIE Umma kuwa Mh Rais Magufuli ALIHUSIKA.Nina maswali mawili:
1.Je UTABITISHA?
Maana hamna mtu aliye na RUHUSA awe ni nani ya kutoa uhai wa mtu mwingine.
2. Je Polisi Wakikukamata ili KUKUHOJI utasema WAMEKUONEA?
ACHA kutuletea mambo ya vijiweni na uongo wa MITANDAONI.
Tuviachieni vyombo vya dola vifanye upelelezi wake ili GARI husika LIKAMATWE na wahusika WAKAMATWE. Hata kama ni NANI?
Magufuli HAJATUMA watu WAMTETEE yeye kwa KUVUNJA sheria za nchi na kuua watu.
Waliofanya hayo ni WAHALIFU wakubwa sana.
Kila mtu ABEBE MSALABA wake.
Una mashaka pande mbili ipi na ipiHapo sasa ndio umeongea Point..
Kwa Mimi binafc na mashaka na pande zote mbili..
Kwasbb nafahamu wazi kua SIASA NI MCHEZO MCHAFU SAAANA
Sent from Calculator Phone vesion007
Mode please do the needful.
P
mtanyooka tu na kufuata msitari taratibu!Vyovyote vile mtakavyolazimisha ila ukweli utatamalaki, always ukweli huwa haulazimishwi kama mnavyolazimisha uongo kuwa ukweli, mtashindwa kama mlivyoshindwa jaribio lenu la kumuua Lissu.
sawa basi tuishie hapo.Message ndiyo hiyo kila mtu mitaani anajua hivyo, nyie mrukeruke tu lakini ndio kuiva kwa 'maharage' wenye akili watajua nilichomaanisha.
Kama mnategemea risasi kunyoosha wananchi mnajidanganya, hakuna kiongozi yeyote duniani aliyewahi kufanikiwa kuongoza nchi kwa kutegemea bunduki.mtanyooka tu na kufuata msitari taratibu!
I believe your pics where misplaced, The topic was about a fellow Tanzanian who was gunned down by Terrorists. While we all grieving the last thing anyone here wanted to see is pictures of someone boarding helicopters.
Mind we are also proud to see a fellow Tanzanian offering a helping in a distant land, but that should have been in separate post, where by we could be congradualatimg you for a good deed.
.
On the issue of the names you have been called should never bother you . You are what u are , and nobody can change that, hiyo jitihada uliyofanya mpaka kufika hapo ulipo inaonyesha uhodari, umakini na juhudi ya kutaka kujiendeleza
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasema "alietaka kumuua" kwa sababu ukiangalia yale matundu ya risasi upande wake wa gari utajua kuwa hawa watu hawakutaka kumtishia tu. Walidhamiria kumuua.
Niungane na Watanzania wenzangu kumuombea Tundu Lissu dua/sala ili apone kikamilifu, Amin.
Nimejiuliza maswali mengi kuhusu shambulio hili la kipekee kwa mbunge (sijui kama kulikwishatokea shambulio jingine kama hili), hapa Tanzania.
Yafuatayo ni malumbano ya kifikra ndani ya nafsi yangu kuwa ni nani hawa waliotaka Tundu Lissu afe. Maoni yako yanahusika, tafadhal.
Nimefikiria wahusika katika dhana 4. Nitazichambua hizi dhana moja moja.
Dhana zenyewe ni hizi. Washambuliaji ni:
1. Vichaa fulani tu. (Random act)
2. Raia wenye chuki na Lissu kwa kuikalia kooni serikali.
3. Serikali yenyewe
4. Watu wenye chuki na serikali (false-flag attack) ili waisingizie serikali uovu huu.
1. Vichaa fulani tu. (Random act)
Hii inawezekana lakini inakinzana na taarifa za kuwa Lissu alikuwa anafuatiliwa na magari kwa kipindi kirefu. Huu mpango ulisukwa na pia walijua wanaemtaka hadi kumfuata mpaka nyumbani kwake. Sidhani hii ilikuwa ni Random Act. Dhana hii ni potofu.
2. Raia wenye chuki na Lissu kwa kuikalia kooni serikali.
Hii inawezekana kabisa. Wengi walimshutumu Lissu kwa kupinga sera zote za serikali (mimi nikiwa mmojawao). Kuna watu walikwenda mbali zaidi na kusema wanataka serikali iwaruhusu wamuue. Ndio maana kuna umuhimu wa kuwakamata na kuwafikisha mahakamani watu hawa.
Katika demokrasia watu tunashambuliana vikali kwa hoja na sio kwa kuumizana au kuuana. Kama hii itathibitika, basi kuna umuhimu wa kuwapatia ulinzi wanasiasa machachari wanaoibua hisia kali.
Kuna uwezekano mkubwa dhana hii ni sahihi.
3. Serikali yenyewe
Kuna watu mitandaoni wanadhani ni serikali yenyewe ndio imeunda hii mbinu ya kumuua Lissu ili awaondolee kelele. Wengi wanasema Lissu amefichua siri nyingi za serikali kufikia kuwa tishio kwa hii serikali.
Kwa maoni yangu huu ni upuuzi. Serikali hii inakubaliwa na watanzania wengi. Hoja karibuni zote alizotoa Lissu dhidi ya serikali zinaweza kujibiwa kirahisi sana. In fact, baadhi ya shutuma za Lissu zinaipaisha serikali kwa Watanzania. Kelele za Lissu zinaweza kuwa baraka (blessing) kwa CCM ifikapo 2020. Kumuua Lissu kutajenga hisia za uonevu na kuwaonea huruma CDM ifikapo uchaguzi mkuu. Serikali haiwezi kufanya kosa hilo.
Kwa hiyo dhana hii ni potofu
4. Watu wenye chuki na serikali (false-flag attack) ili waisingizie serikali uovu huu.
Hii dhana inahusisha watu wanaoichukia serikali (sio lazima wapinzani, inaweza kuwa watu wa nje) wanaotaka kumuondoa Rais Magufuli madarakani ifikapo 2020 kwa kuihusisha serikali yake na mauaji ya Lissu.
Serikali ya Magufuli imeathiri maslahi ya watu wengi sana wa ndani na wa nje. Akiendelea hivi hivi ana uhakika kabisa wa kupita ifikapo 2020. Sasa utaitoaje hii serikali madarakani ifikapo 2020. Jenga chuki kwayo.
Kama nilivyoeleza kwenye dhana namba 3, watu wakiamini kuwa serikali imemuua Lissu kinyama basi watawaonea huruma CDM na kuichukia CCM. CDM watachukua dola ifikapo 2020.
Je ni nani hawa wanaotaka kufanya unyama kama huu na kuisingizia serikali ya CCM (false-flag attack)?
Nina dhana nyingine 2 au 3 hivi (mfano, internal politics within CDM) lakini ni za pembeni sana na uwezekano wake ni karibu na sifuri. Kwa sasa hayo ndio malumbano yanayoendelea kichwani mwangu.
Please tell me I am not crazy.
You worry about yourself, Sir. I wouldn't give advices to criminals in TZ if I were you. Just enjoy your life in the States.This is how Criminals are pinned, they like to Go out of their way to explain, distance themselves from the crime n by doing so they further incriminate themselves!
Vyombo vya usalama vifuatilie taarifa zote walizonazo kuwapata wahalifu. Hili ndio jukumu la serikali.Wewe mwenye huu uzi naomba utuambie wajibu wa serikali hii na wale watu ambao Lissu kawataja wanamfatafata walikuwa usalama wa Taifa gani au usalama wa kizungu
Jibu plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekusikia mkuu.Mtoa mada safisha makalio yako kwanza kabla hujayatumia kufikiri ulichokifikiri na kukiandika humu.
Katika mada yangu sikuweka dhana hii ifuatayo.uache upuuzi umetumwa na umejaribu kujificha lakini unaegememea upande waliokutuma kwenye mambo kama hayo hakuna kisichowezekana tanzania sio kisiwa na duniani haya hayajaanza leo WANASIASA MASHUHURI NA WAUPINZANI KUUWAWA NA ZINAZOSADIKIWA KUWA NI SERIKALI MI NAJUA YOTE YANAWEZEKANA ILA KUNA PROBABILITY YA ASILIMIA TOFAUTI KWA KILA KUNDI SASA KWA WEWE LILE ULILONYIM,A NAFASI NDIO KUBWA NA ULIOIPA NAFASI KUBWA NDIO NDOGO AU HAIWEZEKANI KABISA
Nipe hoja za Lissu unazodhani hazijibiki kwa hoja nami nitazijibu hapa bila risasi.Kama hoja za TL zinaweza kujibika bila risasi, je, ni hoja ngapi alizozitoa dhidi ya serikali zilizojibiwa bila kutumia maguvu?