Wameipata ile gari iliyopaki viwanja vya bunge kisha kumfuatilia Lissu na kumshambulia?

Maswali yako yana arrogance ile ile ya "kurara nao mbere"

Sasa huoni kama watakuomba uwasaidie kuipata hiyo gari ambayo hadi sasa haijulikani ilipo pamoja na udogo wa Dodoma?
 
Kumbe na wewe una ubongo wa kuku!

Bora wa kuku hali wa hauwi vifaranga wake anawatunza kwa upendo.

Kuliko ubongo wa baba yako anauwa ma-genius wote wa Taifa hili libaki la malofa, wajinga na wapumbafu kama wewe...kila jambo ndiyooooooo
 
Message ndiyo hiyo kila mtu mitaani anajua hivyo, nyie mrukeruke tu lakini ndio kuiva kwa 'maharage' wenye akili watajua nilichomaanisha.
 
Kama hoja za TL zinaweza kujibika bila risasi, je, ni hoja ngapi alizozitoa dhidi ya serikali zilizojibiwa bila kutumia maguvu?
 
Vyovyote vile mtakavyolazimisha ila ukweli utatamalaki, always ukweli huwa haulazimishwi kama mnavyolazimisha uongo kuwa ukweli, mtashindwa kama mlivyoshindwa jaribio lenu la kumuua Lissu.
mtanyooka tu na kufuata msitari taratibu!
 

Correction I am a US Citizen not a Tanzanian, Nilizaliwa Tanzania
 

This is how Criminals are pinned, they like to Go out of their way to explain, distance themselves from the crime n by doing so they further incriminate themselves!
 

Kama kuna kitu kinatia wasi wasi katika jamii hivi sasa, ni awa "Watu wasiojulikana".
Hii ni murder squad, kwa hali yoyote ile.

Wasi wasi unaojitokeza ni kwamba , sasa msemo ule wa kisiasa unaohimiza mshikamano ati ya wananchi, unaelekea kufa rasmi.
Namkumbuka sana mzee Rashid Kawawa alivyokuwa akihimiza mshikamano.


Dalili za hawa watu wasiojulikana umeanza siku nyigi.
Lakini katika kutaka kushambuliwa Nape pale St Peter, na serikali bado haijampata yule "mtu asiyejulikana" akishika bastola , inatia shaka.
Ni dhahiri kila mtu anaye culprit moyoni, lakini serikali inabidi iwatie nguvuni hao " watu wasiojulikana" kabla taswira ya nchi haijachafuliwa Zaidi kwa kuendekeza hizi murder squads.
 
Eti "watu wasiojulikana" halafu wenye dhamana ya kuhakikisha wanakamatwa wamekaa tu maofisini na manishani na mabeji makubwa makubwa mabegani na vifuani! Kubali mmeshindwa kazi na mjipime sio kutuletea hadithi hizo hizo kila leo!
 
This is how Criminals are pinned, they like to Go out of their way to explain, distance themselves from the crime n by doing so they further incriminate themselves!
You worry about yourself, Sir. I wouldn't give advices to criminals in TZ if I were you. Just enjoy your life in the States.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm,bado napata ukakasi tu,lisu anaishi sehemu au karibu na naibu spika,vilevile ni jiran na mawaziri.hv eneo hili halina ulinz,hili ni swali la kwanza linalonipa shida,swali la pili,hawa waliofanya tukio hilo walikua wanajiamin nini,kufanya shambuliz kwenye eneo nyeti kama hilo wanaloishi viongoz.najua mlio wa risasi unanguvu sana na unaweza ukasafiri mita kadhaa,Mashaka yangu hapa,yaan inaanza kupingwa risasi ya kwanza,ya pili,ya tatu na kuendelea mpaka 32,taarifa zinakua hazijafika polisi tu,mpaka waharifu wanakimbia.na la mwisho intelijinsia ya polisi ikoje kama tundu lisu halishasema mbele ya uma kuna watu wanafatilia kwa wiki zaidi ya tatu.mwenye majibu naomba anisaidiae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika mada yangu sikuweka dhana hii ifuatayo.

Dhana:
Maadui wa ndani wa CDM walitaka kumuua Lissu ili watimize malengo 3 yafuatayo.

1. Lissu aondoe ushindani katika uchaguzi ujao wa mwenyekiti.

2. Lissu aondoe ushindani katika uteuzi ujao wa mgombea uraisi ifikapo 2020.

3. Lissu atumiwe kama kafara ili kuipa CDM mvuto kwa kuonewa huruma na kuichukia serikali katika uchaguzi wa 2020.

Sasa, kati ya dhana hii na ile ya kuwa Serikali inahusika ni ipi ina probability kubwa?

Tusianze kushutumu watu bila ya ushahidi. Tuache uchunguzi uendelee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…