According to Msigwa: Mbowe, Mdee na Msigwa on the list.... and many more to be addedHuyu mtu aliyekaa na halmashauri yake ya kichwa kiaamua kuwa Tundu Lissu lazima auawe tena mchana kweupe kwa kupigwa Risasi zisizo na idadi, tutambue kuwa ni hatari sana kuliko ambavyo baadhi mnamchukulia.
Tusidhani kwamba huyo mtu hampendi Lissu peke yake hapa nchini au duniani. Jana alikuwa Lissu nadhani baada ya Lissu kutoweka ni Mimi au wewe.
Narudia tena huyu mtu ni hatari sana si kwa mwanaccm, cuf, ACT wazalendo wala chadema. Hakuna aliye salama
Tunaochukulia mzaha tukio hili tuendelee, but Time will tell
Huyo mtu ni hatari kuliko fisiHuyu mtu aliyekaa na halmashauri yake ya kichwa kiaamua kuwa Tundu Lissu lazima auawe tena mchana kweupe kwa kupigwa Risasi zisizo na idadi, tutambue kuwa ni hatari sana kuliko ambavyo baadhi mnamchukulia.
Tusidhani kwamba huyo mtu hampendi Lissu peke yake hapa nchini au duniani. Jana alikuwa Lissu nadhani baada ya Lissu kutoweka ni Mimi au wewe.
Narudia tena huyu mtu ni hatari sana si kwa mwanaccm, cuf, ACT wazalendo wala chadema. Hakuna aliye salama
Tunaochukulia mzaha tukio hili tuendelee, but Time will tell
Kweli mkuu. Haya masuala ya ugaidi huwa yanaanza taratibu tu na mara nyingi chanzo huwa ni uonevu wa serikali yenyewe. Ni muda mwafaka sasa kwa Magufuli na watu wake kuacha ubabe ubabe kwenye mambo yasiyo ya msingi, na kujikita katika majukumu yao ya kikatiba. Wasikae kuamini watanzania wa leo ni kama wa miaka 30 iliyopita. Vizazi vinabadilika, wafanye yanayowapasa ili kuepusha shari zisizo za lazima...Ni mtu hatari sana kuwepo ndani ya nchi.
Ila na sisi Watanzania tuna tatizo kubwa sana sana katika namna ya kukomesha mambo makubwa kama haya, iweje mjadala usiwe nani mtu huyu muuaji badala yake tuna fikia kutoa matamko nani kamsafirisha, nani kahudumia mgonjwa, idadi ya risasi ni 32 au 38 na mambo kama hayo.
Tunaelekeza nguvu kubwa kuzuia wachangia damu, sijui wasoma Albadili badala ya nguvu kujua nani muhusika. Kwa nchi makini kila lisemwalo kumuhusisha mtu basi mtu huyo anahojiwa. Jee Paulo Makonda katajwa kuwa alikuwa Dodoma sijui Morogoro na hajulikani alifuata nini, jee kuna gharama gani kumhoji na kupata ukweli ili kumsafisha kama hahusiki?
Mnadhani Lissu hana ndugu au wapenzi wake ambao wengine wana akili za visasi na kwamba wanaweza kufanya kisasi kwa mtu ambaye kumbe hahusiki? Tuendelee kuharibu nchi yetu kwa mauaji kutokana na mtu mmoja kuleta tabia yake ya mauaji kwa sababu tuu tunajikita kwenye ushabiki na kudharau mambo makubwa mabaya.
Tabia za kule Iraq, Somalia, Yemen nk za kuvaa mabomu na kwenda masokoni na makanisani au misikitini na kujilipua hazikushuka toka mbinguni bali zilianzishwa na mtu mmoja mmoja kichaa na jamii ikajikuta ipo ndani ya mwenendo huo.
Jee Tanzania ile ya kuitana NDUGU leo inaelekea wapi? Tu hakikishe huyo mtu mbaya ANATOKOMEZWA ili tuwe salama
Huyu mtu aliyekaa na halmashauri yake ya kichwa kiaamua kuwa Tundu Lissu lazima auawe tena mchana kweupe kwa kupigwa Risasi zisizo na idadi, tutambue kuwa ni hatari sana kuliko ambavyo baadhi mnamchukulia.
Tusidhani kwamba huyo mtu hampendi Lissu peke yake hapa nchini au duniani. Jana alikuwa Lissu nadhani baada ya Lissu kutoweka ni Mimi au wewe.
Narudia tena huyu mtu ni hatari sana si kwa mwanaccm, cuf, ACT wazalendo wala chadema. Hakuna aliye salama
Tunaochukulia mzaha tukio hili tuendelee, but Time will tell
Inaonekana unamjua au kumhisi mtu aiseeHuyu mtu aliyekaa na halmashauri yake ya kichwa kiaamua kuwa Tundu Lissu lazima auawe tena mchana kweupe kwa kupigwa Risasi zisizo na idadi, tutambue kuwa ni hatari sana kuliko ambavyo baadhi mnamchukulia.
Tusidhani kwamba huyo mtu hampendi Lissu peke yake hapa nchini au duniani. Jana alikuwa Lissu nadhani baada ya Lissu kutoweka ni Mimi au wewe.
Narudia tena huyu mtu ni hatari sana si kwa mwanaccm, cuf, ACT wazalendo wala chadema. Hakuna aliye salama
Tunaochukulia mzaha tukio hili tuendelee, but Time will tell
Hata CDF ni mrundi ndiyo maana hana huruma na Asikari wake kawapora mikopo na kuwatesa kukaa kambini kuanzia saa 12 asubuhi mpaka saa 12 jioni, hawana uchungu na watanzania wameamua Kutawala Nchi kwa mujibu wa fikra zao sio kwa mujibu wa Katiba.Tunaongozwa na Mnyarwanda.
Hata teuzi zake zinadhihirisha. Bahima empire
Msake Le mutuz huko kwenye Disco na bar mtandike vibao viwili vikali Usoni atasema nani aliwatuma kwenda kufanya unyama huo, mtafute kwa bidii ungawa week yote hii anashinda mda mwingi kwa waganga wa kienyeji.Inaonekana unamjua au kumhisi mtu aisee