Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Uko sahihiKama wenzetu walipitia miaka nenda rudi sisi tukashindwa? Wakati wa Mchonga kilikuwa chama kimoja tulijua ndo maisha yetu tuliishi kikomunist sasa mchonga akatoka wakaanza vyama kumbe viini macho. Mimi naona turudi kule kwa zamani tujue tuna chama kimoja halafu wa kusema ndiyo waseme na akina kaboboye wa Biharamulo waliokuwa watetezi wa wanyonge na wengine waseme siyo. Hii nchi ni china na N. korea ila tofauti ni majina tu.
Ni starring wa kwenye horror movies.Duh mzee anakauli za kutisha huyu...
of cause why peopleAna Power kweli hata ya kumimina mashasi 32 we acha tu power to chama tawala siyo to the people.
tunasubiri ripoti hip mkuuTunaukumbuka vema ujumbe huo , tumeurekodi kwenye report itakayowasilishwa kwenye vikao vya UN soon.
akiulizwa yeye anajibu kwa mapigoKamuogopa mbona si waoga ndio wanatumiaga risasi kujibu hoja?
tumuulize huyu jamaaUnataka upinzani uwepo? Tangu lini? Sasa kama unataka upinzani uwepo kwanini unatoa kauli zilizojaa vitisho kama hizi? Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu nzuri.
Jumbe chafu kama hizi ndizo zilizosababisha Tundu Lissu wampige risasi bila kosa kabisa.ujumbe kama huu ni wa kichochezi!!!
Bora dunia ijue haya mateso ya Lissu yanatoka wapi.Tunaukumbuka vema ujumbe huo , tumeurekodi kwenye report itakayowasilishwa kwenye vikao vya UN soon.