sasa kama hao walinzi hawajahojiwa what necessitates dereva wa TL kuhojiwa by the way maelezo yameshatolewa na KUB kwamba dereva atarudi Tz na sio kwamba katoroka! kwanini hao askari walokuwa lindo wasihojiwe. ? na kwanini polisi Dodoma haisemi lolote kuhusu hao waliokuwa lindo? !Hujui kama walinzi waliokuwa kwenye lindo hawajahojiwa.
Lakini dereva, mwenye taarifa muhimu kuhusu kilichojiri wakati wa shambulio, amefichwa na CDM Nairobi.
Hii inaitwa OBSTRUCTION OF JUSTICE, na uongozi wa juu wa CDM wanaweza kuwa kwenye matatizo na vyombo vya sheria.
Mbona tunajaribu kufanya kazi tusizokuwa na ujuzi nazo? Waachieni vyombo vya usalama wafanye kazi zao.sasa kama hao walinzi hawajahojiwa what necessitates dereva wa TL kuhojiwa by the way maelezo yameshatolewa na KUB kwamba dereva atarudi Tz na sio kwamba katoroka! kwanini hao askari walokuwa lindo wasihojiwe. ? na kwanini polisi Dodoma haisemi lolote kuhusu hao waliokuwa lindo? !
Zipo thread nyingi ambazo pasipo na ushahidi zimekuwa zikimuhusisha mtukufu wetu Magufuli na Huu uhanisi ama chama chake cha mapinduzi pasipo kuwa na ushahidi... huoni kuwa na hili nalo ni tatizo nami pia nashauri kuwa kuachwa kwa nyuzi hizo ni kukaribisha rugha za kuudhi na matusi hivyo kushusha hadhi ya jukwaa letuMods sitaki kuwafundisha kazi, lakini kuna thread nyingi sana za watu wa CCM kukejeli shambulizi la kinyama alilofanyiwa Tundu Lissu kana kwamba yule ni mnyama na si binadamu. Kuendelea kuziacha nyuzi hizo ni kukaribisha lugha za kuudhi na matusi hivyo kushusha hadhi ya jukwaa letu.
Will these "kids" vote come 2020?In 2020 you will bent the fuc*ing knee sizonje. A lot of kids who were btn 13 to 17 yrs old will be eligible to vote by then
Atakaye ua kwa upanga ..............!Hata aliyemiminia mvua ya risasi ameshaomuogopa Lissu. Aliyemuepusha na kifo kile pale "msalabani" atamlipia kisasi.
AmenHata aliyemiminia mvua ya risasi ameshaomuogopa Lissu. Aliyemuepusha na kifo kile pale "msalabani" atamlipia kisasi.
Hakuna lingine la maana zaidi ya huyu jamaa, olewa nae, tumechoka na thread zakeHata aliyemiminia mvua ya risasi ameshaomuogopa Lissu. Aliyemuepusha na kifo kile pale "msalabani" atamlipia kisasi.
Kama umechoka kajifungue! Nenda muhimbili!!!!Hakuna lingine la maana zaidi ya huyu jamaa, olewa nae, tumechoka na thread zake
Hahahaaaaa kufa ukitaka, the man will still catch the media headlines for so long!Hakuna lingine la maana zaidi ya huyu jamaa, olewa nae, tumechoka na thread zake
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Hakuna lingine la maana zaidi ya huyu jamaa, olewa nae, tumechoka na thread zake
Umeanza vizuri ila ulipomalizia Msalaba na kisasi nimeshangaa ulokole wako.Hata aliyemiminia mvua ya risasi ameshaomuogopa Lissu. Aliyemuepusha na kifo kile pale "msalabani" atamlipia kisasi.
Daaa!! hii ndio Tanzania ya leo!!!Hakuna lingine la maana zaidi ya huyu jamaa, olewa nae, tumechoka na thread zake