Damu ya Mh.Lissu itawawewesesha milele, haitatokea kuwa na amani hata kidogo lbd Serikali itubu hadharani mbele ya wananchi kwa jaribio hilo la kumuua! Kumbukumbu ya kujaribu kumuua Lissu imeandikwa ndani ya mioyo ya watanzania na juu ya Ardhi ya Nchi yao! Yote yatasemwa ama kwa kupotosha au kueneza propaganda za makusudi dhidi ya Mh.Lissu lkn ukweli utabaki pale pale! Laana hii iko juu ya Rais wa CCM na chama chake, hayupo aliyesalama kwa kumfanya Mh.Lissu mlemavu, Mungu aliyehai atamlipia kisasi
 
Kwa mazingira ya tukio kama alivyoeleza mh TL haihitaji elimu ya chuo kikuu kumtambua aliyehusika na jaribio hili baya kuwahi kutokea kwenye ardhi ya Tanzania.
 
Nimefanya kosa kueleza nilichopata kwa wadau?
Yawezekana ulitumwa ukiwa hujijui.

Vitu vingine usiwe kama mtoto.
Mtoto ukimpiga akalia,
Ukimuita ukampa pipi hafu ukamuuliza nani amekupiga hatokutaja.


Hii hoja kwa mazingira ya kuiepusha serikali dhidi ya hili kunahitajika hoja nzito mno hata kama haihusiki.
Waliotumwa kuiba nyaraka ndio waliowaondoa walinzi kule area c?
Kama inavyodaiwa, report za kamera ziko wapi??
Ilikuwaje eneo kama lile shambulozi litekelezwe tena kama vita ya msituni?

Aaaasaa wapi kuwashawishi wa tz kazi ni ngumu.

Muuaji ajurikane tuu vinginevyo hii skendo kuikimbia ni inshu mkuu
 
Kwa akili ya kawaida inaonekana serikali ina kitu inaficha either document aliyoinunua lisu ni ya hatari kwahio hawawezi kumuattack bila plan au serikali ndo imehusika kumshambulia
May be,lakini mbona anapiga chenga kuhojiwa na mpaka dereva anamzuia kuna siri gani hapa.
 
Kwa akili ya kawaida inaonekana serikali ina kitu inaficha either document aliyoinunua lisu ni ya hatari kwahio hawawezi kumuattack bila plan au serikali ndo imehusika kumshambulia
Alinunua document ili alisaliti taifa?, kama alifanya hivyo hafai
 

Uvivu wa serikali na bunge kushughulikia hii ishu vmefanya iwe first suspect
Mkanganyiko wanaojichanya ndio unaotupa wananchi confidence ya kusema hayo
Hamna mwananchi hata mmoja anaeweza kuorganize mauaji yale
 
Mkuu naeleza nilichoelezwa, sijabadilisha neno

Umetumwa uje upime upepo kama bado watu ni wajinga? Kama ni kweli umeambiwa na mtu sijui wa serekali sijui nani, huyo lazima atakuwa ni wale tiss wazee wenye mbinu za wakati barua inachapwa kwa typewriter. Hizo mbinu za hivyo ni zile za wale tiss waliosoma nchi za ulaya mashariki ambako ilikuwa ni sheria kusikiliza habari za kiongozi wa nchi kila siku. Halafu thetallest unajiaibisha wewe kama kijana kuambiwa mambo na wazee wanausibiri kustaafu walipwe mafao yao halafu uje kutuletea huo upuuzi hapa jukwaani.
 
Ingekuwa hivyo serikali ingekuwa mstari wa mbele kuchunguza na hata huo uchunguzi huru wa kimataifa ulioombwa ungeruhusiwa. Hoja ya kijinga sana hii ya mtu asiyejua kutengeneza uongo
 
Aliowadhulumu ndo waliondoa na cctv? Na ndo hao hao waliowaruhsiwa kuingia makazi ya watumishi wakubwa wa serikali. Waliodhulumiwa ndo hao pia wanaohusika na uchunguzi. Taratibu tu mtatajana hadharani, ngoja albadiri ikolee.
Mtatajana hukohuko chadomo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…