Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Leo nimekutana na mdau flani toka wizara flani ya serikali ya Tanzania, tulikuwa tukipata chakula cha mchana sehemu flani hapa dar, sitaitaja jina kwa Sababu flani.akaniambia mdogo wangu shambulizi la Lissu serikali haihusiki hata kidogo, wanaionea bure kabisa, siasa inatupeleka vibaya. Kaniambia unajua shambulizi hili limetokana na kudhulumiana pesa, jamaa zangu walikua wananyofoa nyaraka wizarani wanampa kwa makubaliano ya ujira, tatizo la Lissu Kila alipopewa pesa na wazungu aliwaeleza wale jamaa kwamba bado malipo yanashughulikiwa Kumbe alikua analipwa kwa instalment , wakimsumbua Sana anakata kiwango kidogo Sana, akidai yeye ndo master plan wasiwe na Shaka , sasa jamaa wakaona huyu tunamtajirisha yeye huku Sisi Kazi zetu zipo hatarini, ndo maana wakaona dawa ni ku revenge, jamaa Kaniambia wazungu walimtegemea Sana Lissu , na yeye aliwaambia wasiwe na Shaka kwa kua ametengeneza mtandao mpana kuhakikisha serikali haifurukuti kwa Mikataba iliofungwa hapo nyuma.

Tuwe na subra, mengi tutayasikia, yatabadilisha mitizamo yetu kabisa
Kama Fid Q hahusiki, leteni zile picha za CCTV tumalize ubishi
 
Leo nimekutana na mdau flani toka wizara flani ya serikali ya Tanzania, tulikuwa tukipata chakula cha mchana sehemu flani hapa dar, sitaitaja jina kwa Sababu flani.akaniambia mdogo wangu shambulizi la Lissu serikali haihusiki hata kidogo, wanaionea bure kabisa, siasa inatupeleka vibaya. Kaniambia unajua shambulizi hili limetokana na kudhulumiana pesa, jamaa zangu walikua wananyofoa nyaraka wizarani wanampa kwa makubaliano ya ujira, tatizo la Lissu Kila alipopewa pesa na wazungu aliwaeleza wale jamaa kwamba bado malipo yanashughulikiwa Kumbe alikua analipwa kwa instalment , wakimsumbua Sana anakata kiwango kidogo Sana, akidai yeye ndo master plan wasiwe na Shaka , sasa jamaa wakaona huyu tunamtajirisha yeye huku Sisi Kazi zetu zipo hatarini, ndo maana wakaona dawa ni ku revenge, jamaa Kaniambia wazungu walimtegemea Sana Lissu , na yeye aliwaambia wasiwe na Shaka kwa kua ametengeneza mtandao mpana kuhakikisha serikali haifurukuti kwa Mikataba iliofungwa hapo nyuma.

Tuwe na subra, mengi tutayasikia, yatabadilisha mitizamo yetu kabisa
Ntakuuliza swali moja tu,

" kwa nini serikali imekataa kuruhusu wachunguzi huru kutoka nje?". Na

"Kwa nini serikali yenyewe mpaka sasa haijakamata mshukiwa yeyote?".

Ukinijibu nitashukuru.
 
Sasa hapo umejibu hoja gani?
Muhuni tu huyo
Basi tulete wachunguzi toka nje
Leo nimekutana na mdau flani toka wizara flani ya serikali ya Tanzania, tulikuwa tukipata chakula cha mchana sehemu flani hapa dar, sitaitaja jina kwa Sababu flani.akaniambia mdogo wangu shambulizi la Lissu serikali haihusiki hata kidogo, wanaionea bure kabisa, siasa inatupeleka vibaya. Kaniambia unajua shambulizi hili limetokana na kudhulumiana pesa, jamaa zangu walikua wananyofoa nyaraka wizarani wanampa kwa makubaliano ya ujira, tatizo la Lissu Kila alipopewa pesa na wazungu aliwaeleza wale jamaa kwamba bado malipo yanashughulikiwa Kumbe alikua analipwa kwa instalment , wakimsumbua Sana anakata kiwango kidogo Sana, akidai yeye ndo master plan wasiwe na Shaka , sasa jamaa wakaona huyu tunamtajirisha yeye huku Sisi Kazi zetu zipo hatarini, ndo maana wakaona dawa ni ku revenge, jamaa Kaniambia wazungu walimtegemea Sana Lissu , na yeye aliwaambia wasiwe na Shaka kwa kua ametengeneza mtandao mpana kuhakikisha serikali haifurukuti kwa Mikataba iliofungwa hapo nyuma.

Tuwe na subra, mengi tutayasikia, yatabadilisha mitizamo yetu kabisa
 
Kwa lugha hii, inaonyesha wewe ni mtu wa aina gani, malezi gani umelelewa
Wewe ndiye mpuuzi unahisi mambo ya kipuuzipuuzi tu..Tena wewe ni mjinga zaidi ya hao wapiga punyeto anaosema Nape. Sasa kama ni hivyo kwanini polisi wa ulinzi wakaondolewa siku ya tukio? Kwanini cctv camera ikaondolewa? Inawezekanaje mtu ajipenyeze na silaha nzito tena kwa kujiamini hivyo kama hakuna baraka za Magufuli..Shenzi kabisa wewe!

Waambie hao waliokutuma waruhusu uchunguzi huru! Haya nenda kaendelee kumuunga mkono Magufuli!
 
angalia utasababisha wenzio wateleze bafuni kwa punyeto unayopiga hapo
 
TL ni msaliti na dawa ya msaliti inajulikana duniani kote!! Kawasaliti watoa info. Siyo mkuu??
Hadi kudanganywa kwa kiasi hicho ni wazi una akili finyu mnooo.Na unavyoonekana ulitaka kumpiga mzinga wa hela akakutuliza kwa stories za uongo ili ubaki unanashangaa yeye akukimbie.
 
Kama huu ni uzushi ukweli ni upi, wewe na mungu wako?


Kwanza lazima uelewe kuwa serikali za CCM toka awamu ya 2 zimeliinguza taifa katika mikataba mibovu sana. Na toka miaka ya 1990 TL amejitahidi sana kupigia kelele suala hili. Sasa sijui wazungu ambao wananufauka na ubovu wa mikataba hiyo wana mlipa TL ili awafanyie kitu gani.

Pili unatakiwa kukubali kuwa awamu hii ya 5 inajaribu kujiangaza kwamba ndio mkombizi wa mikataba hiyo mibovu bila kuziwajibisha serikali zilizopita na kujaribu kutafuta wa kumtupia lawama. Hapa TL anapachikwa usaliti kwa kujaribu kuitahadharisha serikali hii na approaches inazojaribu kuzitumia na madhara yake kisheria. JPM anaona kama anacheleweshwa. Ndege ilipokamatwa serikali ilitaka.kuficha ukweli na TL akauweka wazi. Serikali ikakasirika na yaliyompata TL kila mtu anayajuwa.

Hizi spin off mnazojaribu kuzifanya katu hazito wasaidia hata kidogo. Ni sawa na kufagia chumba uchafu una usukuma chini ya kitanda.
 
.............tutasikia mengi mwaka huu naendelea kusoma comments
 
Leo nimekutana na mdau flani toka wizara flani ya serikali ya Tanzania, tulikuwa tukipata chakula cha mchana sehemu flani hapa dar, sitaitaja jina kwa Sababu flani.akaniambia mdogo wangu shambulizi la Lissu serikali haihusiki hata kidogo, wanaionea bure kabisa, siasa inatupeleka vibaya. Kaniambia unajua shambulizi hili limetokana na kudhulumiana pesa, jamaa zangu walikua wananyofoa nyaraka wizarani wanampa kwa makubaliano ya ujira, tatizo la Lissu Kila alipopewa pesa na wazungu aliwaeleza wale jamaa kwamba bado malipo yanashughulikiwa Kumbe alikua analipwa kwa instalment , wakimsumbua Sana anakata kiwango kidogo Sana, akidai yeye ndo master plan wasiwe na Shaka , sasa jamaa wakaona huyu tunamtajirisha yeye huku Sisi Kazi zetu zipo hatarini, ndo maana wakaona dawa ni ku revenge, jamaa Kaniambia wazungu walimtegemea Sana Lissu , na yeye aliwaambia wasiwe na Shaka kwa kua ametengeneza mtandao mpana kuhakikisha serikali haifurukuti kwa Mikataba iliofungwa hapo nyuma.

Tuwe na subra, mengi tutayasikia, yatabadilisha mitizamo yetu kabisa
we jamaa maku.
 
Mnaweweseka mpaka mtakuja kujitaja tu humu maana damu ua mtu asie na hatia hua ni nzito sana lazima tu tutaupata ukweli na Mungu aweke wepesi mtajane
 
Kwanza lazima uelewe kuwa serikali za CCM toka awamu ya 2 zimeliinguza taifa katika mikataba mibovu sana. Na toka miaka ya 1990 TL amejitahidi sana kupigia kelele suala hili. Sasa sijui wazungu ambao wananufauka na ubovu wa mikataba hiyo wana mlipa TL ili awafanyie kitu gani.

Pili unatakiwa kukubali kuwa awamu hii ya 5 inajaribu kujiangaza kwamba ndio mkombizi wa mikataba hiyo mibovu bila kuziwajibisha serikali zilizopita na kujaribu kutafuta wa kumtupia lawama. Hapa TL anapachikwa usaliti kwa kujaribu kuitahadharisha serikali hii na approaches inazojaribu kuzitumia na madhara yake kisheria. JPM anaona kama anacheleweshwa. Ndege ilipokamatwa serikali ilitaka.kuficha ukweli na TL akauweka wazi. Serikali ikakasirika na yaliyompata TL kila mtu anayajuwa.

Hizi spin off mnazojaribu kuzifanya katu hazito wasaidia hata kidogo. Ni sawa na kufagia chumba uchafu una usukuma chini ya kitanda.
Maelezo yote haya ya Nini?, Suala hapa ni Kweli wamedhulumiana au la!
 
Back
Top Bottom