Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Siku hizi madereva maeneo mbalimbali Tanzania Zebra crossing inaheshimika sana, tena hata taa mbili za indicator zote zinawashwa mita 3 kabla ya kuvuka. Ninahakika ingekuwa kipindi cha nyuma kidogo iko hivi, SUGU asingemgonga yule kijana Yatima na kumuua. Mbilinyi Sugu alimgonga mtoto Yatima na Kumuua Kabisa tena kwenye Punda milia na kumuachisha masomo. Lakini hili wanachadema hawaliongelei, wanakomaa na Tundu Lisu kupigwa Risasi bila kujari kuwa Sugu alimgonga Yatima na kumuua kwenye Zebra crossing.
 
Mbona umechanganya habari 3 tofauti......[emoji15] [emoji15] [emoji15]

1-Zebra ni Habari na hoja mchanganyiko
2-Chadema/Sugu ni Habari za Siasa
3-Mwanafunzi ku uwawa ni Tanzia
 
Siku hizi madereva maeneo mbalimbali Tanzania Zebra crossing inaheshimika sana, tena hata taa mbili za indicator zote zinawashwa mita 3 kabla ya kuvuka. Ninahakika ingekuwa kipindi cha nyuma kidogo iko hivi, SUGU asingemgonga yule kijana Yatima na kumuua. Mbilinyi Sugu alimgonga mtoto Yatima na Kumuua Kabisa tena kwenye Punda milia na kumuachisha masomo. Lakini hili wanachadema hawaliongelei, wanakomaa na Tundu Lisu kupigwa Risasi bila kujari kuwa Sugu alimgonga Yatima na kumuua kwenye Zebra crossing.

Huu ndio uchochezi sasa acha tabia za kike .
 
Mbona umechanganya habari 3 tofauti......[emoji15] [emoji15] [emoji15]

1-Zebra ni Habari na hoja mchanganyiko
2-Chadema/Sugu ni Habari za Siasa
3-Mwanafunzi ku uwawa ni Tanzia
Zote ni muhimu kwa Great thinkers tu. Lakini kwa slow learners ni mkosi. Kumbuka kuwa matokeo ya kudesa chuoni ndiyo haya. Hata kujadiri mambo mengi kwa wakati mmoja ni taabu kwao.
 
Siku hizi madereva maeneo mbalimbali Tanzania Zebra crossing inaheshimika sana, tena hata taa mbili za indicator zote zinawashwa mita 3 kabla ya kuvuka. Ninahakika ingekuwa kipindi cha nyuma kidogo iko hivi, SUGU asingemgonga yule kijana Yatima na kumuua. Mbilinyi Sugu alimgonga mtoto Yatima na Kumuua Kabisa tena kwenye Punda milia na kumuachisha masomo. Lakini hili wanachadema hawaliongelei, wanakomaa na Tundu Lisu kupigwa Risasi bila kujari kuwa Sugu alimgonga Yatima na kumuua kwenye Zebra crossing.

Duh!!! Kichwa cha habari na "content" mbali mbali. Anyway umechanganya makande, wali, ugali wa jana bila kusahau ule mchicha uliobaki. Haya kanyaga twende. Hahahaha....
 
ZEBRA ZIMEONGEZA JAM ZISIZO ZA LAZIMA,MNAJIKUTA MMEKUSANYIKA NA KUTENGENEZA JAM, TUNAPOTEZA SANA MUDA WA KAZI KWA KUSIMAMA KILA ZEBRA ,AWAMU HII HAIJALI MUDA KABISA TUNAYATAFUTA MAENDELEO KWA MWENDO WA KONOKONO
 
Zote ni muhimu kwa Great thinkers tu. Lakini kwa slow learners ni mkosi. Kumbuka kuwa matokeo ya kudesa chuoni ndiyo haya. Hata kujadiri mambo mengi kwa wakati mmoja ni taabu kwao.
Kweli wewe ndie aina yama Great Thinkers tunao wategemea humu....[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hatari sana kwa afya ya ubongo aiseeeee......[emoji12] [emoji12] [emoji12]
Basi "tujadiri" hiyo heading na maudhui kama ulivyo pendekeza.....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
..kwanini kulikuwa hakuna ulinzi siku aliyoshambuliwa TL ?

..nani alitoa maelekezo walinzi wasiwepo siku ya shambulizi hilo?

..Je, aliyefanya uamuzi huo amehojiwa au kukamatwa na Polisi?

..Hivi tunavyozungumza anafanya shughuli gani?

..Je, hawezi kuwa anahusika ktk kupanga shambulizi dhidi ya Mh.Lissu?
 
..kwanini kulikuwa hakuna ulinzi siku aliyoshambuliwa TL ?

..nani alitoa maelekezo walinzi wasiwepo siku ya shambulizi hilo?

..Je, aliyefanya uamuzi huo amehojiwa au kukamatwa na Polisi?

..Hivi tunavyozungumza anafanya shughuli gani?

..Je, hawezi kuwa anahusika ktk kupanga shambulizi dhidi ya Mh.Lissu?
Maswali ni mengi sana mkuu, lakini majibu hakuna.

Mfano ukitaka kujuwa ukweli wa swali lako. Unaanza na ambaye yuko incharge na shughuli za ulinzi wa maeneo hayo.

Kifupi, kuna chain of command. Mwishowe you will be told ni “amri kutoka juu”

Na kama sivyo, kuna mtu ambaye ni influential na anaogopewa, mfano Makonda nk
 
Ni dhahiri aliyetoa baraka juu ya shambulizi lililotaka kumuua Tundu Lisu alikuwa na nia ya kupunguza wimbi zito la ushindani katika safari yake ya kisiasa 2020.

Kwa tunaofuatilia nature of the world na spiritual ethics tunafahamu kuwa unapolazimisha kufungua mlango kwa hila na mlango ukagoma kufunguka basi mmiliki wa mlango lazima atapata faida kwa attempt yako.

Napenda kusema hivi, wewe uliyetaka kumuua Lisu kuwa ile sababu iliyokufanya utake utoe uhai wake ili upite kiulaini anguko kubwa linakujia.
 
Ni dhahiri aliyetoa baraka juu ya shambulizi lililotaka kumuua Tundu Lisu alikuwa na nia ya kupunguza wimbi zito la ushindani katika safari yake ya kisiasa 2020.
Kwa tunaofuatilia nature of the world na spiritual ethics tunafahamu kuwa unapolazimisha kufunga mlango kwa hila na mlango ukagoma kufunguka basi mmiliki wa mlango lazima atapata faida kwa attempt yako.
Napenda kusema hivi, wewe uliyetaka kumuua Lisu kuwa ile sababu iliyokufanya utake utoe uhai wake ili upite kiulaini anguko kubwa linakujia.
Uzi huu nitaufufua November 2020 baada ya Daudi kukaa mahali alipopanajisi Sauli.
Hivi hata picha husomi kwaakiri yako ilio lowa ulojo unadhani kila.mtu ana muwaza lisu huyo lisu ni kwa ajili yako na familia yako tena mkabidhi mke wako maana unam husudu yule jangili
 
Hivi hata picha husomi kwaakiri yako ilio lowa ulojo unadhani kila.mtu ana muwaza lisu huyo lisu ni kwa ajili yako na familia yako tena mkabidhi mke wako maana unam husudu yule jangili
Shetani, si DUDE KUUUBWAAA LITISHALO! Ni baadhi yetu sisi BINADAMU, wenye sura nzuri, mfano wa Mwenyezi Mungu!
Ubarikiwe kwa maoni yako!
 
Mbona nyie watu mnashangaza dunia, hivi hamuini CDM ilivyo sasa ni matokeo ya ALBADIR
Matukio ya kiharifu mfanye nyie halaf msingizie ssrikali
2020 ni kupasua tuu
 
Back
Top Bottom