Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Tunakumbuka September 7, 2017 ndugu Tundu Lissu akiwa Dodoma kuhudhuria vikao vya bunge alipigwa risasi nyingi na kujeruhiwa vibaya.

Tukio lile la kikatili na kimafia lazima kuendelea kulikemea na kulaani vikali kwa kila binadamu mwenye akili timamu.

Lakini kulaani na kukemea tu kwa maneno matupu au kuandika tu mitandaoni haitoshi, ili kuepuka kujirudia rudia kwa matukio kama haya ni lazima wale wahusika wajulikane na kuletwa kwenye hukumu ya haki ili kuwajibika.

Haya matukio yanajirudia rudia baada ya muda fulani sababu tu hakuna anayepata kuwajibika na yataendelea kutokea sana yani watu watazidi kuumia na kuteseka bila kuwadhibiti watesi.

Hao watesi wanajua vizuri na wengine walishazungumza waziwazi ati Watanzania wengi ni "malofa na wapumbavu" na huu umekua mtaji wao mkubwa.

Tuko na kazi ya kuwathibitishia sisi Watanzania siyo wajinga kama wanavyofikiri.

Sasa naomba turudi September 7, 2017 tujiulize ni nani aliyempiga risasi Tundu Lissu?
Ni vizuri kama unapatikana ushahidi hii yote ni kueza kuwafamu wahusika wa matukio na mauaji ya waso hatia.
 
Tunakumbuka September 7, 2017 ndugu Tundu Lissu akiwa Dodoma kuhudhuria vikao vya bunge alipigwa risasi nyingi na kujeruhiwa vibaya.

Tukio lile la kikatili na kimafia lazima kuendelea kulikemea na kulaani vikali kwa kila binadamu mwenye akili timamu.

Lakini kulaani na kukemea tu kwa maneno matupu au kuandika tu mitandaoni haitoshi, ili kuepuka kujirudia rudia kwa matukio kama haya ni lazima wale wahusika wajulikane na kuletwa kwenye hukumu ya haki ili kuwajibika.

Haya matukio yanajirudia rudia baada ya muda fulani sababu tu hakuna anayepata kuwajibika na yataendelea kutokea sana yani watu watazidi kuumia na kuteseka bila kuwadhibiti watesi.

Hao watesi wanajua vizuri na wengine walishazungumza waziwazi ati Watanzania wengi ni "malofa na wapumbavu" na huu umekua mtaji wao mkubwa.

Tuko na kazi ya kuwathibitishia sisi Watanzania siyo wajinga kama wanavyofikiri.

Sasa naomba turudi September 7, 2017 tujiulize ni nani aliyempiga risasi Tundu Lissu?
Ni vizuri kama unapatikana ushahidi hii yote ni kueza kuwafamu wahusika wa matukio na mauaji ya waso hatia.
Wanadai wanamsubiri dereva wake ili upelelezi uanzie hapo.
So sad
 
Tunakumbuka September 7, 2017 ndugu Tundu Lissu akiwa Dodoma kuhudhuria vikao vya bunge alipigwa risasi nyingi na kujeruhiwa vibaya.

Tukio lile la kikatili na kimafia lazima kuendelea kulikemea na kulaani vikali kwa kila binadamu mwenye akili timamu.

Lakini kulaani na kukemea tu kwa maneno matupu au kuandika tu mitandaoni haitoshi, ili kuepuka kujirudia rudia kwa matukio kama haya ni lazima wale wahusika wajulikane na kuletwa kwenye hukumu ya haki ili kuwajibika.

Haya matukio yanajirudia rudia baada ya muda fulani sababu tu hakuna anayepata kuwajibika na yataendelea kutokea sana yani watu watazidi kuumia na kuteseka bila kuwadhibiti watesi.

Hao watesi wanajua vizuri na wengine walishazungumza waziwazi ati Watanzania wengi ni "malofa na wapumbavu" na huu umekua mtaji wao mkubwa.

Tuko na kazi ya kuwathibitishia sisi Watanzania siyo wajinga kama wanavyofikiri.

Sasa naomba turudi September 7, 2017 tujiulize ni nani aliyempiga risasi Tundu Lissu?
Ni vizuri kama unapatikana ushahidi hii yote ni kueza kuwafamu wahusika wa matukio na mauaji ya waso hatia.

Aliyempiga Tundu Lissu Risasi ametajwa kwenye hii video.
 
Mkuu hili halitapita. Kama kizazi hiki kikishindwa kuwaweka wazi basi kijacho kitafanya hivyo hata kwa kuyafukua makaburi.
 
Ni hatari sana kwa majanga haya Mola ni mweza wa yote yatathibitika tuu! Ingekuwa ni mtu wa kawaida ingekuwa ameshajulikana mapema sana
 
Halafu badala wafiche ujinga wao wakaamua kumnyima mshahara na kumvua ubunge.Na bado wanamvizia akirudi wamtupe jela.Enyi wapumbavu,madaraka mliyopewa ni ya muda tu.Vipi basi mngepewa mamlaka kama ya YESU hata kwa masaa sita tu?
Magundu sio MTU, ana roho ya pepo mchafu kabisaaaaa
 
Kwa namna speed ilivyofanyika kumpokonya ubunge na kumsimika mwingine haraka majibu yako wazi kwa sasa. Ila Mungu ndie hakimu na mkono wa Mungu utawashukia kwa kasi hiyohiyo hawa wauaji Inshallah.
 
Akatoe maelezo kwa polisi gani hapa Tz?
Si yupo Ubeleji jirani na Udachi kuliko na Mahakama ya Kimataifa? Kinachomshinda kwenda huko kutoa ushahidi ni nini? Yaani mtu hasidi kama Lissu awe na ushahidi ashindwe kuupeleka The Hague abaki tu anarandaranda bila mafanikio kwenye vyombo vya habari? Huyu Lissu ninayemjua huyu? My foot!!
 
Sehemu pekee ya kuleta yenye usalama ni hapa
 
hayo maswali nadhani vyombo vya dola watakua na majibu sahihi
 
Back
Top Bottom