Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PhD flani fake ndo alifanya hayo, na yule mgogo mjinga!Tunakumbuka September 7, 2017 ndugu Tundu Lissu akiwa Dodoma kuhudhuria vikao vya bunge alipigwa risasi nyingi na kujeruhiwa vibaya.
Tukio lile la kikatili na kimafia lazima kuendelea kulikemea na kulaani vikali kwa kila binadamu mwenye akili timamu.
Lakini kulaani na kukemea tu kwa maneno matupu au kuandika tu mitandaoni haitoshi, ili kuepuka kujirudia rudia kwa matukio kama haya ni lazima wale wahusika wajulikane na kuletwa kwenye hukumu ya haki ili kuwajibika.
Haya matukio yanajirudia rudia baada ya muda fulani sababu tu hakuna anayepata kuwajibika na yataendelea kutokea sana yani watu watazidi kuumia na kuteseka bila kuwadhibiti watesi.
Hao watesi wanajua vizuri na wengine walishazungumza waziwazi ati Watanzania wengi ni "malofa na wapumbavu" na huu umekua mtaji wao mkubwa.
Tuko na kazi ya kuwathibitishia sisi Watanzania siyo wajinga kama wanavyofikiri.
Sasa naomba turudi September 7, 2017 tujiulize ni nani aliyempiga risasi Tundu Lissu?
Ni vizuri kama unapatikana ushahidi hii yote ni kueza kuwafamu wahusika wa matukio na mauaji ya waso hatia.
Dereva wake!Tunakumbuka September 7, 2017 ndugu Tundu Lissu akiwa Dodoma kuhudhuria vikao vya bunge alipigwa risasi nyingi na kujeruhiwa vibaya.
Tukio lile la kikatili na kimafia lazima kuendelea kulikemea na kulaani vikali kwa kila binadamu mwenye akili timamu.
Lakini kulaani na kukemea tu kwa maneno matupu au kuandika tu mitandaoni haitoshi, ili kuepuka kujirudia rudia kwa matukio kama haya ni lazima wale wahusika wajulikane na kuletwa kwenye hukumu ya haki ili kuwajibika.
Haya matukio yanajirudia rudia baada ya muda fulani sababu tu hakuna anayepata kuwajibika na yataendelea kutokea sana yani watu watazidi kuumia na kuteseka bila kuwadhibiti watesi.
Hao watesi wanajua vizuri na wengine walishazungumza waziwazi ati Watanzania wengi ni "malofa na wapumbavu" na huu umekua mtaji wao mkubwa.
Tuko na kazi ya kuwathibitishia sisi Watanzania siyo wajinga kama wanavyofikiri.
Sasa naomba turudi September 7, 2017 tujiulize ni nani aliyempiga risasi Tundu Lissu?
Ni vizuri kama unapatikana ushahidi hii yote ni kueza kuwafamu wahusika wa matukio na mauaji ya waso hatia.
Check out @theSICARIO_255’s Tweet:Tunakumbuka September 7, 2017 ndugu Tundu Lissu akiwa Dodoma kuhudhuria vikao vya bunge alipigwa risasi nyingi na kujeruhiwa vibaya.
Tukio lile la kikatili na kimafia lazima kuendelea kulikemea na kulaani vikali kwa kila binadamu mwenye akili timamu.
Lakini kulaani na kukemea tu kwa maneno matupu au kuandika tu mitandaoni haitoshi, ili kuepuka kujirudia rudia kwa matukio kama haya ni lazima wale wahusika wajulikane na kuletwa kwenye hukumu ya haki ili kuwajibika.
Haya matukio yanajirudia rudia baada ya muda fulani sababu tu hakuna anayepata kuwajibika na yataendelea kutokea sana yani watu watazidi kuumia na kuteseka bila kuwadhibiti watesi.
Hao watesi wanajua vizuri na wengine walishazungumza waziwazi ati Watanzania wengi ni "malofa na wapumbavu" na huu umekua mtaji wao mkubwa.
Tuko na kazi ya kuwathibitishia sisi Watanzania siyo wajinga kama wanavyofikiri.
Sasa naomba turudi September 7, 2017 tujiulize ni nani aliyempiga risasi Tundu Lissu?
Ni vizuri kama unapatikana ushahidi hii yote ni kueza kuwafamu wahusika wa matukio na mauaji ya waso hatia.
Si yupo Ubeleji jirani na Udachi kuliko na Mahakama ya Kimataifa? Kinachomshinda kwenda huko kutoa ushahidi ni nini? Yaani mtu hasidi kama Lissu awe na ushahidi ashindwe kuupeleka The Hague abaki tu anarandaranda bila mafanikio kwenye vyombo vya habari? Huyu Lissu ninayemjua huyu? My foot!!
Aliyempiga Tundu Lissu Risasi ametajwa kwenye hii video.
Hiki chama Cha chadema ni hatari sana Sana kwa jinsi walivyowatoa askari waliokuwa wanalinda area D trh 7/Sept/2017. Dhaaaa.Ni CHADEMA ndo walimpiga risasi. Hao hao ndo walimwua Akwilina ndo sababu Mbowe & Co wana kesi mahakamani.
Angekuwa baba yako ungeona uzi huu mchele.Uzi pumba.
Shetani hajawahi kumshinda MunguTundu Lissu unaishi ili tushuhudie ukuu wa Mungu. Kwa wakati wake Mungu atatenda mapenzi yake.
Ahsante Mungu kwa maisha ya Tundu Lissu
Comment pumba.Angekuwa baba yako ungeona uzi huu mchele.
Mungu asante kwa zawadi ya maisha ya Lissu
Yule bosi wa wasiojulikana amevunjika miguu yote miwili, naona wamemficha kwa kuona aibuTundu Lissu unaishi ili tushuhudie ukuu wa Mungu. Kwa wakati wake Mungu atatenda mapenzi yake.
Ahsante Mungu kwa maisha ya Tundu Lissu
Kama ulivyo wewe, uwezo wako wa kuchakata na kupambanua mambo ni mdogo, ukute eti nawe unatongoza binti wa watu kwa akili zako hizoUzi pumba.