Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
..aliyeondoa walinzi wa area D mahali aliposhambuliwa Tundu Lissu anawajua waliopanga jaribio lile la mauaji na kigaidi.
 
Si ni mungu wa Darisalama. Mbona lipo wazi?[emoji23][emoji1787]
 
Tunakumbuka September 7, 2017 ndugu Tundu Lissu akiwa Dodoma kuhudhuria vikao vya bunge alipigwa risasi nyingi na kujeruhiwa vibaya.

Tukio lile la kikatili na kimafia lazima kuendelea kulikemea na kulaani vikali kwa kila binadamu mwenye akili timamu.

Lakini kulaani na kukemea tu kwa maneno matupu au kuandika tu mitandaoni haitoshi, ili kuepuka kujirudia rudia kwa matukio kama haya ni lazima wale wahusika wajulikane na kuletwa kwenye hukumu ya haki ili kuwajibika.

Haya matukio yanajirudia rudia baada ya muda fulani sababu tu hakuna anayepata kuwajibika na yataendelea kutokea sana yani watu watazidi kuumia na kuteseka bila kuwadhibiti watesi.

Hao watesi wanajua vizuri na wengine walishazungumza waziwazi ati Watanzania wengi ni "malofa na wapumbavu" na huu umekua mtaji wao mkubwa.

Tuko na kazi ya kuwathibitishia sisi Watanzania siyo wajinga kama wanavyofikiri.

Sasa naomba turudi September 7, 2017 tujiulize ni nani aliyempiga risasi Tundu Lissu?
Ni vizuri kama unapatikana ushahidi hii yote ni kueza kuwafamu wahusika wa matukio na mauaji ya waso hatia.
PhD flani fake ndo alifanya hayo, na yule mgogo mjinga!
 
Tunakumbuka September 7, 2017 ndugu Tundu Lissu akiwa Dodoma kuhudhuria vikao vya bunge alipigwa risasi nyingi na kujeruhiwa vibaya.

Tukio lile la kikatili na kimafia lazima kuendelea kulikemea na kulaani vikali kwa kila binadamu mwenye akili timamu.

Lakini kulaani na kukemea tu kwa maneno matupu au kuandika tu mitandaoni haitoshi, ili kuepuka kujirudia rudia kwa matukio kama haya ni lazima wale wahusika wajulikane na kuletwa kwenye hukumu ya haki ili kuwajibika.

Haya matukio yanajirudia rudia baada ya muda fulani sababu tu hakuna anayepata kuwajibika na yataendelea kutokea sana yani watu watazidi kuumia na kuteseka bila kuwadhibiti watesi.

Hao watesi wanajua vizuri na wengine walishazungumza waziwazi ati Watanzania wengi ni "malofa na wapumbavu" na huu umekua mtaji wao mkubwa.

Tuko na kazi ya kuwathibitishia sisi Watanzania siyo wajinga kama wanavyofikiri.

Sasa naomba turudi September 7, 2017 tujiulize ni nani aliyempiga risasi Tundu Lissu?
Ni vizuri kama unapatikana ushahidi hii yote ni kueza kuwafamu wahusika wa matukio na mauaji ya waso hatia.
Dereva wake!
 
Tundu Lissu pamoja na Dreva wake waje wapeleke ushahidi polisi, vile vile Chadema wahojiwe? Je, kwa nini Tundu Lisu ameghairi kurudi kama alivopanga mwanzo? Je, huyo daktarin wake alipkuwa amepanga safari alikuwa hawana mawasiliano naye? Au kwa sababu Ndege yetu ya Dodoma iliachiwa? Au ni kwa sababu mbunge mpya aliapishwa? Tundu Lisu lazima afahamu kwamba ana kesi ya kujibu kwa kulichafua taifa alipokuwa kwenye matibabu.
 
Tunakumbuka September 7, 2017 ndugu Tundu Lissu akiwa Dodoma kuhudhuria vikao vya bunge alipigwa risasi nyingi na kujeruhiwa vibaya.

Tukio lile la kikatili na kimafia lazima kuendelea kulikemea na kulaani vikali kwa kila binadamu mwenye akili timamu.

Lakini kulaani na kukemea tu kwa maneno matupu au kuandika tu mitandaoni haitoshi, ili kuepuka kujirudia rudia kwa matukio kama haya ni lazima wale wahusika wajulikane na kuletwa kwenye hukumu ya haki ili kuwajibika.

Haya matukio yanajirudia rudia baada ya muda fulani sababu tu hakuna anayepata kuwajibika na yataendelea kutokea sana yani watu watazidi kuumia na kuteseka bila kuwadhibiti watesi.

Hao watesi wanajua vizuri na wengine walishazungumza waziwazi ati Watanzania wengi ni "malofa na wapumbavu" na huu umekua mtaji wao mkubwa.

Tuko na kazi ya kuwathibitishia sisi Watanzania siyo wajinga kama wanavyofikiri.

Sasa naomba turudi September 7, 2017 tujiulize ni nani aliyempiga risasi Tundu Lissu?
Ni vizuri kama unapatikana ushahidi hii yote ni kueza kuwafamu wahusika wa matukio na mauaji ya waso hatia.
Check out @theSICARIO_255’s Tweet:
 
Si yupo Ubeleji jirani na Udachi kuliko na Mahakama ya Kimataifa? Kinachomshinda kwenda huko kutoa ushahidi ni nini? Yaani mtu hasidi kama Lissu awe na ushahidi ashindwe kuupeleka The Hague abaki tu anarandaranda bila mafanikio kwenye vyombo vya habari? Huyu Lissu ninayemjua huyu? My foot!!

🙉 Utakua umehusika au unawatambua wahusika bila shaka! Maana unaonekana kabisa hujafurahishwa na maendeleo ya afya ya huyo mhanga mliyemmiminia risasi za kutosha pasipo huruma wala utu. Na nyinyi siku yenu ya hukumu itafika tu.
 
Kesho ni kumbukumbu.


Wapenda AMANI kesho tukutane uwanja wa TAIFA SAA SAA 7'

ENDA
 
Ni CHADEMA ndo walimpiga risasi. Hao hao ndo walimwua Akwilina ndo sababu Mbowe & Co wana kesi mahakamani.
Hiki chama Cha chadema ni hatari sana Sana kwa jinsi walivyowatoa askari waliokuwa wanalinda area D trh 7/Sept/2017. Dhaaaa.
 
Serikali iliyoshindwa kuongoza huanza kugombana na wananchi wake.
 
Kesho wa dodoma tukutane nyerere square kwa kumbukumbu ya kupigwa kwa Lisu. Muroto nasikia yupo nje ya nchi kikazi
 
Tundu Lissu unaishi ili tushuhudie ukuu wa Mungu. Kwa wakati wake Mungu atatenda mapenzi yake.

Ahsante Mungu kwa maisha ya Tundu Lissu
Yule bosi wa wasiojulikana amevunjika miguu yote miwili, naona wamemficha kwa kuona aibu
 
Back
Top Bottom