JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.
Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.
2 Mguu ulioumia ni wa kulia..
3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?
4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?
5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.
Karibuni wataalamu tudadavue.
Queen Esther
Hii inafikirisha mno.
Hizi propaganda zilishachuja sana. Wewe uko dunia gani? Ilitakiwa uwaulize wenzako kabla ya kutupotezea muda na Uzi wa kipuuzi.
Queen Esther seems to be quinine
Mtu alishaumizwa mwache apumzike
Huyo kilaza kaamua kwa makusudi kulichafua jukwaaNafsi zinawasuta tu nyie!
Una uhakika risasi zilipiga kwenye kiio tu?
Huoni risasi nyingi zilipungu nguvu kwa kupiga mlango kwanza?
Ukilaza kiti na ukakilalia kifudifudi, mguu upi uatakuwa mlangoni we kilaza?
Mkatubu nyie watu!!
Kwanza hata kukujibu tunakosea,tunatakiwa tukuache na unafiki wako maana ukweli unaujua ili nafsi ndio inakutesa unaleta propaganda za kijinga na kipuuzi!!
Wewe lazima utakuwa ni mchawi!
Short and clearNafsi zinawasuta tu nyie!
Una uhakika risasi zilipiga kwenye kiio tu?
Huoni risasi nyingi zilipungu nguvu kwa kupiga mlango kwanza?
Ukilaza kiti na ukakilalia kifudifudi, mguu upi uatakuwa mlangoni we kilaza?
Mkatubu nyie watu!!
Kwanza hata kukujibu tunakosea,tunatakiwa tukuache na unafiki wako maana ukweli unaujua ili nafsi ndio inakutesa unaleta propaganda za kijinga na kipuuzi!!
Ila kwa wajinga tu!
Anajifanya haamini kama amepona.. utadhani alikuwepo ndani ya gari. Hizi shwain za lumumba shida tupuQueen Esther seems to be quinine
Mtu alishaumizwa mwache apumzike
Mwanamke mpumbavu.
Kabisa mkuu!!Huyo Stroke mwenyewe ni kilaza wa kutupwa
Dreva wa Tundu Lisu alipohijiwa alisema walikaa karibu dakika tano walipofika nyumbani kabla hawajaanza kushambuliwa. Dreva aliporonyoka na kukimbia upande wa pili baada ya risasi kuanza kurindima bila kuwa na jeraha lolote. Tundu Lisu alilala kufudifudi kujiandaa na hizo risasi yeye, hakuweza kutoroka. Dreva wa Lisu alisema waliona wanafuatiliwa kuanzia jengo la Bunge.
Tundu Lisu akirudi na dreva wake washirikiane na Polisi uchunguzi umalizike, waache kulialia wakiwa nje bila kutoa ushirikiano.
BTW Ben Saanane alilipotiwa kwamba alikimbia India alikokuwa anasoma baada ya kufanya mauaji. Je, Chadema kama chama wanaweza kuthibitisha hili?
Hivi wewe ukizaliwa na sura mbovu na matege ni lazima Mama yako ana sura mbovu?JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.
Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.
2 Mguu ulioumia ni wa kulia..
3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?
4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?
5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.
Karibuni wataalamu tudadavue.
Queen Esther
Majibu ya maswali yako yapo kwenye videos za CCTV Camera zilizoondoshwa upesi kwenye nyumba ya Waziri Kalemani punde baada ya Lissu kumiminiwa risasi 38.JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.
Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.
2 Mguu ulioumia ni wa kulia..
3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?
4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?
5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.
Karibuni wataalamu tudadavue.
Queen Esther