Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Wewe ni kati ya mapumbavu wakubwa kuwahi kutokea na inaonekana ni mmoja wa watu wasiyo litakia mema taifa letu.
JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.

Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.

2 Mguu ulioumia ni wa kulia..

3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?

4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?

5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.

Karibuni wataalamu tudadavue.

Queen Esther
 
Ni kati ya mapumbavu wakubwa sana hapa tanzania
Hizi propaganda zilishachuja sana. Wewe uko dunia gani? Ilitakiwa uwaulize wenzako kabla ya kutupotezea muda na Uzi wa kipuuzi.
 
Nafsi zinawasuta tu nyie!

Una uhakika risasi zilipiga kwenye kiio tu?

Huoni risasi nyingi zilipungu nguvu kwa kupiga mlango kwanza?

Ukilaza kiti na ukakilalia kifudifudi, mguu upi uatakuwa mlangoni we kilaza?

Mkatubu nyie watu!!

Kwanza hata kukujibu tunakosea,tunatakiwa tukuache na unafiki wako maana ukweli unaujua ili nafsi ndio inakutesa unaleta propaganda za kijinga na kipuuzi!!
Huyo kilaza kaamua kwa makusudi kulichafua jukwaa
 
Nafsi zinawasuta tu nyie!

Una uhakika risasi zilipiga kwenye kiio tu?

Huoni risasi nyingi zilipungu nguvu kwa kupiga mlango kwanza?

Ukilaza kiti na ukakilalia kifudifudi, mguu upi uatakuwa mlangoni we kilaza?

Mkatubu nyie watu!!

Kwanza hata kukujibu tunakosea,tunatakiwa tukuache na unafiki wako maana ukweli unaujua ili nafsi ndio inakutesa unaleta propaganda za kijinga na kipuuzi!!
Short and clear
 
1)Ukijuliza nani aliratibu askari kutokuwa lindoni siku ya tukio
2)Nani bila ya uoga aling'oa CCTV cameras kutoka eneo la tukio baada ya shambulio lile.
3)Nani anawazuia polisi kufuatilia zilipo CCTV cameras pamoja na savers.
4)Nani alizuia Lissu asigharamiwe matibabu ili afe na lengo litimie.
5)Spika alimuogopa/alizuiwa na nani kwenda kumjulia hali Lissu wakati alishaahidi.
6)Nani anawapa msukumo watu kuja na theories feki(kama hii yako) kujaribu kuupotosha ukweli.
7)Nani alibana vyombo vya upelelezi vya kimataifa ambavyo ni credible na reliable visishirikishwe kwenye upelelezi kama utashi wa watu wake na chama chake walivyoomba.
8)Kwanini mpaka leo hakuna hata dalili za kitu gani kinaendelea katika upelelezi.

Nadhani ukijiuliza maswali hayo machache utapata mwanga wa who was behind the failed attempt.
 
Dreva wa Tundu Lisu alipohijiwa alisema walikaa karibu dakika tano walipofika nyumbani kabla hawajaanza kushambuliwa. Dreva aliporonyoka na kukimbia upande wa pili baada ya risasi kuanza kurindima bila kuwa na jeraha lolote. Tundu Lisu alilala kufudifudi kujiandaa na hizo risasi yeye, hakuweza kutoroka. Dreva wa Lisu alisema waliona wanafuatiliwa kuanzia jengo la Bunge.

Tundu Lisu akirudi na dreva wake washirikiane na Polisi uchunguzi umalizike, waache kulialia wakiwa nje bila kutoa ushirikiano.

BTW Ben Saanane alilipotiwa kwamba alikimbia India alikokuwa anasoma baada ya kufanya mauaji. Je, Chadema kama chama wanaweza kuthibitisha hili?

..kwa nini watuhumiwa hawapelekwi mahakamani na kurudishwa mahabusu huku uchunguzi ukiendelea na vyombo vikisubiri TL arejee?

..mashekhe wa uamsho wako mahabusu wakisubiri uchunguzi ukamilike.

..Kabendera yuko mahabusu na amefishwa mahakamani kabla ya uchunguzi kukamilika.

..Nini kinaizuia serikali kuwafikisha mahakamani, na kuwahifadhi mahabusu mpaka pale TL atakaporudi na kukamilisha uchunguzi?

Cc Pascal Mayalla, Nguruvi3
 
JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.

Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.

2 Mguu ulioumia ni wa kulia..

3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?

4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?

5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.

Karibuni wataalamu tudadavue.

Queen Esther
Hivi wewe ukizaliwa na sura mbovu na matege ni lazima Mama yako ana sura mbovu?

Mawazo takataka kama haya ni vema ukamwambia kwanza tahira aliyekuzaa halafu ndio ulete Propaganda hapa Jf
 
JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.

Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.

2 Mguu ulioumia ni wa kulia..

3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?

4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?

5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.

Karibuni wataalamu tudadavue.

Queen Esther
Majibu ya maswali yako yapo kwenye videos za CCTV Camera zilizoondoshwa upesi kwenye nyumba ya Waziri Kalemani punde baada ya Lissu kumiminiwa risasi 38.
 
Back
Top Bottom