Queen Easter, zingatia elimu....elimu.....elimu......
 
Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la SINGIDA MASHA LLLITUNDU hawajui maadui Zake , hili litamtesa sana atakumbuka shuka kumekucha ashapoteza Ubunge atabaki kut
Wanasiasa hawa wanajuana mkuu. Ukiwafuatilia sana utaumiza kichwa bure. Cha muhimu tu ni kwamba Tundu Lissu hakufa siku ile. Ni mwanasiasa aliyekomaa na mengine atajua mwenyewe jinsi ya kuendelea. Tumshukuru Mungu kwa uzima wake na tuendelee kumuombea [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
 
Hizi Propaganda bado zina nguvu tena katika ulimwengu huu ambao teknolojia imekua kwa kiwango kikubwa sana?
 
Lisu alilaza kiti akalala kifudi fudi huko kulala alisaidiwa na dereva wake mwenyewe ndo maana ya ile bond unayoiona Kati ya Lissu na dereva wake. Over
Kwa maelezo yako naweza kuelewa ishu ikoje, big up mkuu umejibu kistaarab na imeeeleweka.
 
**** nyoko mpuuzi wewe,unaleta hoja za kijinga kijinga tu,mtu kaumizwa na unahoji ujinga,kawaulize wajinga wenzio huo ujinga wako
Achana na huyo fala unapoteza mda Kuna watu wazima wazito KABSA hawakupendezwa na jinsi zero brain mmoja alivyokuwa ameigeuza idara nyeti kuwa Kama kijiwe chake,mpaka kukawa na mgawanyiko wa idara ndani ya idara na hao idara wazalendo wamekuwa wakitoa taarifa nyingi tu. Anachotewa na hela anaenda na vijana wa idara mpaka Marekani kufanya kazi za idara wakati yeye ni zero brain fafafafa( in gwajima's voice)
 
Mbona hushangai kupigwa nchini na ukavimba juu
 
Unatembea na shetani gizani mwake. Ni hilo tu kama ulikua hujui
 
Hivi kulala kifudifudi aliambiwa na wale waliomshambulia, kwamba alale kifudifudi akisha lala ndo wataanza kumshambulia? Maana kama si hivyo waliwezaje kuushambulia mguu huo sana kuliko mahali pengine?
 
zilipiga kioo!!!, hiyo picha uliwezaje kuona zilipiga upande wa kulia?!? maana kioo lazima kivunjike na kusambaa kikiminiwa risasi hata 5tu, inawezekana kabisa alilaza kiti na akalalia ubavu. Acha polisi wafanye uchunguzi.
 

Yaani Polisi wawafuate Nnairobi …. ….. …..

Dreva anasema hakukuwa na ulinzi, Je, kwa nini alienda mahali ambapo sio salama wakati wanafuatiliwa?
Kiazi wewe!
 
ukitaka ujute kuzaluwa,mzungumzie dereva wa Tundu lissu
Sijawahi kuona majuha kama wafuasi wa chadema
Badala ya kuwaona majuha halisi wewe unaona vilivyo bora kuwa ndio ujuha. Jibu ni kuwa wewe pia utakuwa juha kama hawa wenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…