Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Tokea mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni T Lisu apigwe risasi mchana kweupe kuna nadharia kadhaa zimeibuka kujaribu kuelezea huo upigwaji risasi wa Lisu.

Lisu mwenyewe alipotembelewa na makamu wa rais akiwa Nairobi alikiri wazi kuwa hawajui waliompiga risasi na kuviachia vyombo vya dola vifanye uchunguzi wake.
Ingawa hivi majuzi akiwa ubeligiji ameibuka na kuihusisha serikali na upigwaji wake risasi.

Nadharia nyingine inatokea ndani ya chama cha chadema ,gazeti la Jamvi la habari wameelezea A to Z kuwa Lisu alipigwa risasi baada ya kutishia uenyekiti wa Mbowe. Wameeleza siku chache kabla ya kupigwa risasi kulikuwa na vikao kadhaa vya wanachadema wakimtaka Lisu agombee uenyekiti.

Pia aliyekuwa mbunge wa Ukonga na mjumbe wa kamati kuu ya chadema naye alinogesha nadharia hii baada ya kuelezea namna watu wanavyopata misukosuko wakitangaza kugombea uenyekiti ndani ya chadema.

Waitara alihusisha kufa kwa Chacha Wangwe ,kutaka kulishwa sumu kwa Zito Kabwe ,kupigwa risasi kwa Lisu na yeye mwenyewe kutishiwa kushughulikiwa iwapo atagusa kiti cha mwenyekiti ndani ya chama..

Kama kweli Mbowe anasingiziwa kwenye tuhuma hizi za kuuwa watu wanaotaka kugombea uenyekiti ndani ya chama basi aende mahakamani kutaka kusafishwa na tuhuma hizi.
Mbowe akiendelea kukaa kimya bila kuwaburuta mahakamani wanaomtuhumu basi , mamilioni ya watanzania watajua ni kweli View attachment 829281View attachment 829284
Hili la Lissu litawatesa saaana. Na hiyo ni mwanzo tu. Sishangai jaribio la kamhusisha Mbowe kwa kuwa pia yeye ndo anatuhumiwa kwa mauaji ya Akwilina! Kwa mtazamo huo wa wana Lumumba inaonekana Mbowe ana nguvu kubwa kuliko ambavyo wengi wetu tunafahamu. Yaani yeye apange mauaji, halafu aamuru vyombo vya dola vinavyotoa ulinzi visiwepo eneo la tukio. Halafu aamuru CCTV zilizokuwa zimefungwa eneo la tukio ziondolewe! Duh kweli Mbowe ana nguvu
 
Habari wanajamvi, nilikuwa sijui kama madaraka ni matamu kiasi hiki! Hakika laana ya mauaji inawakimbiza wengi CHADEMA.
 

Attachments

  • JAMVI.jpg
    JAMVI.jpg
    101 KB · Views: 34
Nauliza kama Mbowe alitaka kumuua Lissu kwanini alihangaika sana mpaka akaenda kinyume cha utaratibu ili Lissu apewe matibabu yanayostahili? Na kama wale wengine walikuwa hawana nia hiyo kwanini walikomaa ili afie kwenye huduma mbovu?
 
Nashangaa sana wanaomkomalia MBOWE na kumuoa kama Mwenyekiti ndani ya Chadema.
 
Kiungwana na kibinadamu nadhani sio vizuri hili jambo likaachwa kama lilivyo, upelelezi huru ufanyike culprit apatikane apate stahili yake.
 
Habari wanajamvi, nilikuwa sijui kama madaraka ni matamu kiasi hiki! Hakika laana ya mauaji inawakimbiza wengi CHADEMA.
Ilitakiwa Walinzi muwaache pale getini kwenye Lindo muwapige hata miguuni hata pembeni au juu hapo mmepotea hamuwezi kujisafisha ''Kitendo cha kuwaondoa walinzi pale kwenye lindo inaonyesha jinsi gani uwezo wenu wa kufikiri ulivyo mdogo'' one mistake its a goal''
 
Habari wanajamvi, nilikuwa sijui kama madaraka ni matamu kiasi hiki! Hakika laana ya mauaji inawakimbiza wengi CHADEMA.

Wenzako wamejaribu kupotosha toka juzi lakini wameshindwa. Lissu yuko hai na anajitambua. Huyo anayemtaja ndio haswa.
 
Kwa iyo mbowe ana uwezo wa kulizuia jeshi LA polisi lisifanye uchunguzi juu ya tukio hilo??
 
Tokea mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni T Lisu apigwe risasi mchana kweupe kuna nadharia kadhaa zimeibuka kujaribu kuelezea huo upigwaji risasi wa Lisu.

Lisu mwenyewe alipotembelewa na makamu wa rais akiwa Nairobi alikiri wazi kuwa hawajui waliompiga risasi na kuviachia vyombo vya dola vifanye uchunguzi wake.
Ingawa hivi majuzi akiwa ubeligiji ameibuka na kuihusisha serikali na upigwaji wake risasi.

Nadharia nyingine inatokea ndani ya chama cha chadema ,gazeti la Jamvi la habari wameelezea A to Z kuwa Lisu alipigwa risasi baada ya kutishia uenyekiti wa Mbowe. Wameeleza siku chache kabla ya kupigwa risasi kulikuwa na vikao kadhaa vya wanachadema wakimtaka Lisu agombee uenyekiti.

Pia aliyekuwa mbunge wa Ukonga na mjumbe wa kamati kuu ya chadema naye alinogesha nadharia hii baada ya kuelezea namna watu wanavyopata misukosuko wakitangaza kugombea uenyekiti ndani ya chadema.

Waitara alihusisha kufa kwa Chacha Wangwe ,kutaka kulishwa sumu kwa Zito Kabwe ,kupigwa risasi kwa Lisu na yeye mwenyewe kutishiwa kushughulikiwa iwapo atagusa kiti cha mwenyekiti ndani ya chama..

Kama kweli Mbowe anasingiziwa kwenye tuhuma hizi za kuuwa watu wanaotaka kugombea uenyekiti ndani ya chama basi aende mahakamani kutaka kusafishwa na tuhuma hizi.
Mbowe akiendelea kukaa kimya bila kuwaburuta mahakamani wanaomtuhumu basi , mamilioni ya watanzania watajua ni kweli View attachment 829281View attachment 829284
Mkuu ungeanza kumshauri yule mwizi wa tirion 1.5 ili tuamini kama hajaiba yy.
 
Habari wanajamvi, nilikuwa sijui kama madaraka ni matamu kiasi hiki! Hakika laana ya mauaji inawakimbiza wengi CHADEMA.
hata kama unatumia akili ya 'chekechea' huwezi kuwa mshabiki kiasi hiki....
hata kama mbowe hapendwi. ila sio kwa staili hii
 
Kwa iyo mbowe ana uwezo wa kulizuia jeshi LA polisi lisifanye uchunguzi juu ya tukio hilo??
Wanataka mbowe awe kama lipumba, kila kitu ndio mzee. Mtu ana phd ila utadhani aliishia primary, na ndicho wanataka mbowe awe.
 
Back
Top Bottom