Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Watanzania wenzangu ningeomba tujadili kidogo ili kupanua ufahamu wetu na kutoa hoja zenye mashiko ili kutetea kile tunachokiamini.

Kumekuwa na msigano mkubwa wa watu kuwa na mitazamo tofauti kutokana na shambulio la ndugu yetu Lissu. Sasa nimuombe kila mmoja anayechangia ajaribu kueleza sababu ya yeye kuamini kuwa lilipangwa na vigogo wa chama chake na angalau atoe kiashirio kimoja cha kutetea hoja yake.

Pili wale wote wanaoamini ni serikali iliyofanya shambulio hilo basi toeni vielelezo vya kutetea hoja.

Swali moja la kuanza nalo kama ni vigogo wa chama chake, hivi ndio walioweza kushawishi walinzi wote wanaolinda nyumba za viongozi wa serikali ikiwemo nyumba ya naibu spika? je serikali imewaacha hao viongozi ambao wamesababisha nchi kuchafuliwa kimataifa kuhusu shambulio la Lissu?

Je hao viongozi wameweza kuishawishi serikali iondoe kamera zote zilizokuwa kwenye compound hiyo?

Toa mawazo yako siyo matusi, tuwe wastarabu

Umeuliza maswali na umejibu....

Ndani ya majibu kwa maswali, tayari na mjadala umejifunga mwenyewe...!!
 
Kuna ushahidi wa kimazingira ambao mtu mwenye akili timamu anaweza kuyatumia kubaini mhusika aliyeamuru shambulio dhidi ya Lissu, Kwanza:-

1: Ni kauli ya nchi ikiwa vitani halafu askari mmoja akasaliti nadhani mnajua ambacho huwa anafanywa, kauli hii ilitolewa na mtu mzito nchini.

2: Askali wanaolinda nyumba za viongozi wa serikali Dodoma siku ya tukio kutokuwepo hapo.

3: Kamera za CCTV kuondolewa eneo la tukio na kufichwa kusikojulikana.

4: Tundu Lissu kunyimwa gharama za matibabu, hapa haiwezi kuingia akilini eti hakufuata utaratibu? hivi kwa hali ile angefuata utaratibu kweli? acheni majibu mepesi kwa maswali magumu.

5: Moja ya utaratibu ambao unadaiwa kuwa haukufuatwa na Tundu Lissu ili apate fedha za matibabu ni kwamba Rais hakutoa kibali.....sasa swali linakuja....Hivi kweli Rais alikosa Utu, Ubinadamu na busara kuona kwamba huyu Tundu Lissu hata kama sheria zipo basi kwa hali aliyonayo apewe fedha tu za matibabu? Ubinadamu upo wapi? Utu upo wapi?

6: Hata simu tu kupigiwa kujuliwa hali ilishindikana?

Hivyo, itoshe kusema kwamba mhusika mkuu wa shambulio dhidi ya Lissu ni Jiwe Kuu, na tushamjua toka zamani, Roho mbaya haijengi, kumbuka ulikuwa MBUNGE tu wa kawaida, hayo mamlaka ya kuamuru mauaji umeyatoa wapi wewe Jiwe?
 
Kuna ushahidi wa kimazingira ambao mtu mwenye akili timamu anaweza kuyatumia kubaini mhusika aliyeamuru shambulio dhidi ya Lissu, Kwanza:-

1: Ni kauli ya nchi ikiwa vitani halafu askari mmoja akasaliti nadhani mnajua ambacho huwa anafanywa, kauli hii ilitolewa na mtu mzito nchini.

2: Askali wanaolinda nyumba za viongozi wa serikali Dodoma siku ya tukio kutokuwepo hapo.

3: Kamera za CCTV kuondolewa eneo la tukio na kufichwa kusikojulikana.

4: Tundu Lissu kunyimwa gharama za matibabu, hapa haiwezi kuingia akilini eti hakufuata utaratibu? hivi kwa hali ile angefuata utaratibu kweli? acheni majibu mepesi kwa maswali magumu.

5: Moja ya utaratibu ambao unadaiwa kuwa haukufuatwa na Tundu Lissu ili apate fedha za matibabu ni kwamba Rais hakutoa kibali.....sasa swali linakuja....Hivi kweli Rais alikosa Utu, Ubinadamu na busara kuona kwamba huyu Tundu Lissu hata kama sheria zipo basi kwa hali aliyonayo apewe fedha tu za matibabu? Ubinadamu upo wapi? Utu upo wapi?

6: Hata simu tu kupigiwa kujuliwa hali ilishindikana?

Hivyo, itoshe kusema kwamba mhusika mkuu wa shambulio dhidi ya Lissu ni Jiwe Kuu, na tushamjua toka zamani, Roho mbaya haijengi, kumbuka ulikuwa MBUNGE tu wa kawaida, hayo mamlaka ya kuamuru mauaji umeyatoa wapi wewe Jiwe?
Aliyempiga Lisu anajulkana, hakuna utata. Tunasuburi muda muafaka ufike atajwe!
 
Alieendesha shambulio ni Ndugai narudia Ndugai narudia Ndugai.
 
  • Thanks
Reactions: bmk
Alifanya kosa sana kutaka kumfunga kinywa Lisu kwa kudhamiria kumuua.
Jiwe miezi yake inahesabika ataondolewa kwenye ulingo wa siasa.
 
Kuna ushahidi wa kimazingira ambao mtu mwenye akili timamu anaweza kuyatumia kubaini mhusika aliyeamuru shambulio dhidi ya Lissu, Kwanza:-

1: Ni kauli ya nchi ikiwa vitani halafu askari mmoja akasaliti nadhani mnajua ambacho huwa anafanywa, kauli hii ilitolewa na mtu mzito nchini.

2: Askali wanaolinda nyumba za viongozi wa serikali Dodoma siku ya tukio kutokuwepo hapo.

3: Kamera za CCTV kuondolewa eneo la tukio na kufichwa kusikojulikana.

4: Tundu Lissu kunyimwa gharama za matibabu, hapa haiwezi kuingia akilini eti hakufuata utaratibu? hivi kwa hali ile angefuata utaratibu kweli? acheni majibu mepesi kwa maswali magumu.

5: Moja ya utaratibu ambao unadaiwa kuwa haukufuatwa na Tundu Lissu ili apate fedha za matibabu ni kwamba Rais hakutoa kibali.....sasa swali linakuja....Hivi kweli Rais alikosa Utu, Ubinadamu na busara kuona kwamba huyu Tundu Lissu hata kama sheria zipo basi kwa hali aliyonayo apewe fedha tu za matibabu? Ubinadamu upo wapi? Utu upo wapi?

6: Hata simu tu kupigiwa kujuliwa hali ilishindikana?

Hivyo, itoshe kusema kwamba mhusika mkuu wa shambulio dhidi ya Lissu ni Jiwe Kuu, na tushamjua toka zamani, Roho mbaya haijengi, kumbuka ulikuwa MBUNGE tu wa kawaida, hayo mamlaka ya kuamuru mauaji umeyatoa wapi wewe Jiwe?
Lissu kidomodomo chake..! Alikosa maadili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom