kapongoliso
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,353
- 489
Mmeambiwa leteni Scotland Yard wachunguze mnagwaya. Halafu mnakuja na viswali vya kijinga hapa. Luna mjinga gani humu was kujibu uharo. Peleka Lumumba kwenye vilaza was aina yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini kupoteza muda kumjibu mtu ambaye anajionyesha wazi ni kahaba mpumbavu?Nafsi zinawasuta tu nyie!
Una uhakika risasi zilipiga kwenye kiio tu?
Huoni risasi nyingi zilipungua nguvu kwa kupiga mlango kwanza?
Ukilaza kiti na ukakilalia kifudifudi, mguu upi uatakuwa mlangoni we kilaza?
Mkatubu nyie watu!!
Kwanza hata kukujibu tunakosea,tunatakiwa tukuache na unafiki wako maana ukweli unaujua ili nafsi ndio inakutesa unaleta propaganda za kijinga na kipuuzi!!
Tena huyo ndio mpumbavu kuliko wote pale chademaBack wewe ni senior hapa JF majibu ya hovyo waachie watoto, we wawakee picha ya gali na mguu alioumia lisu itakuwa umejibu kitaalam zaidi na kikubwa
Lissu hakupigwa risasi,haya nenda kachukue Buku 7 zako lumumba.JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.
Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.
2 Mguu ulioumia ni wa kulia..
3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?
4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?
5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.
Karibuni wataalamu tudadavue.
Queen Esther
Hata Mugabe alikuwa akijibu watu wanaosema upumbavu makusudi ili kuuzi watu.Back wewe ni senior hapa JF majibu ya hovyo waachie watoto, we wawakee picha ya gali na mguu alioumia lisu itakuwa umejibu kitaalam zaidi na kikubwa
JF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.
Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.
2 Mguu ulioumia ni wa kulia..
3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?
4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?
5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.
Karibuni wataalamu tudadavue.
Queen Esther
..kwa nini watuhumiwa hawapelekwi mahakamani na kurudishwa mahabusu huku uchunguzi ukiendelea na vyombo vikisubiri TL arejee?
..mashekhe wa uamsho wako mahabusu wakisubiri uchunguzi ukamilike.
..Kabendera yuko mahabusu na amefishwa mahakamani kabla ya uchunguzi kukamilika.
..Nini kinaizuia serikali kuwafikisha mahakamani, na kuwahifadhi mahabusu mpaka pale TL atakaporudi na kukamilisha uchunguzi?
Cc Pascal Mayalla, Nguruvi3
Nilikua sijui kwamba kuna hadi wadada wapumbavuJF ni Jukwaa la kipekee Tz na lina watu wenye weledi mbalimbali.
Naomba mnisaidie kuelewa mambo yafuatayo:-
1. Picha ya gari lililopigwa risasi kumshambulia Tundu Lissu linaonesha risasi zimepigwa mlango wa kushoto.
2 Mguu ulioumia ni wa kulia..
3. Risasi zimepiga kioo, sasa ina maana Tundu Lissu aliinua mguu kwenye dirisha?
4. Yeye mwenyewe anasema alilaza kiti!! Hizi risasi zilipita wapi?
5. Dereva yupo wapi atusaidie hili.
Karibuni wataalamu tudadavue.
Queen Esther
Mkuu Achana nako ni kajinga sana haka katoa madaHizi propaganda zilishachuja sana. Wewe uko dunia gani? Ilitakiwa uwaulize wenzako kabla ya kutupotezea muda na Uzi wa kipuuzi.
Lisu alilaza kiti akalala kifudi fudi huko kulala alisaidiwa na dereva wake mwenyewe ndo maana ya ile bond unayoiona Kati ya Lissu na dereva wake. OverKama kweli ameumia mguu wa kulia kweli inafikirisha kwani kwa magari yanayotumika Tanzania dereva hukaa upande wa kulia na anayemuendesha kushoto. Labda kama alikaa nyuma ya dereva, kama alikaaa mbele mhh
Hizi propaganda zilishachuja sana. Wewe uko dunia gani? Ilitakiwa uwaulize wenzako kabla ya kutupotezea muda na Uzi wa kipuuzi.