Kaa kwenye VX kama ya Lissu pale mbele uone hips zako zinakuwa sehemu gani,pili usizani waking Lisu walianza ku take cover baada ya kuanza kushambulia ukiwa ndani ya gari unaona kila linaloendelea nje ya gari hata Kama gari Lina tinted.Kama alilaza kiti zile risasi zingepitiliza na kumpiga dereva. Tafadhali angalia picha ya lile gari uone risasi zilipigwa wapi!! Ni dirishani na kwenye mlango kwa juu, yaani chini kidogo ya dirisha. Maana yake ni kuwa Mhe. Lisu asingepigwa risasi hata moja.
Queen Esther
Lissu hawezi kulaza kiti dereva abaki kakaa anashangaa. Ndo maana zile risasi zimepiga karibu na nyonga kbsa na kushuka chini kwenye paja. Watu wanaompenda Lissu wamekuwa wakimpa taarifa nyingi Sana hata kabla ya shambulio, Lissu alikuwa Hali Wala kunywa chochote tofauti na nyumbani.
Alikuwa afe siku nyingi tangu alipoanza kusema katibu mkuu hazina ameteuliwa toka tanroad ni mtoto wa dada yake na jiwe na kitendo Cha kumuita dictator uchwara na kupiga kelele juu hadharani na kwa mifano hai ya usiginwaji wa katiba. Mtashangaa na kuhoji hiyo ndo sababu pekee ya kutaka kumuuwa Lissu? Jibu ni rahisi Sana Been Saa nane yupo wapi na sababu ni nini?