Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?
Kama alilaza kiti zile risasi zingepitiliza na kumpiga dereva. Tafadhali angalia picha ya lile gari uone risasi zilipigwa wapi!! Ni dirishani na kwenye mlango kwa juu, yaani chini kidogo ya dirisha. Maana yake ni kuwa Mhe. Lisu asingepigwa risasi hata moja.

Queen Esther
Kaa kwenye VX kama ya Lissu pale mbele uone hips zako zinakuwa sehemu gani,pili usizani waking Lisu walianza ku take cover baada ya kuanza kushambulia ukiwa ndani ya gari unaona kila linaloendelea nje ya gari hata Kama gari Lina tinted.

Lissu hawezi kulaza kiti dereva abaki kakaa anashangaa. Ndo maana zile risasi zimepiga karibu na nyonga kbsa na kushuka chini kwenye paja. Watu wanaompenda Lissu wamekuwa wakimpa taarifa nyingi Sana hata kabla ya shambulio, Lissu alikuwa Hali Wala kunywa chochote tofauti na nyumbani.

Alikuwa afe siku nyingi tangu alipoanza kusema katibu mkuu hazina ameteuliwa toka tanroad ni mtoto wa dada yake na jiwe na kitendo Cha kumuita dictator uchwara na kupiga kelele juu hadharani na kwa mifano hai ya usiginwaji wa katiba. Mtashangaa na kuhoji hiyo ndo sababu pekee ya kutaka kumuuwa Lissu? Jibu ni rahisi Sana Been Saa nane yupo wapi na sababu ni nini?
 
Mtaniwia radhi kwa swali langu naomba niwaulize wote wanaomwamini Mungu.

Mnadhani ni kwanini Mungu aliahirisha Tundu Lissu kuitwa marehemu?

Wanajeshi wanajua imapact ya risasi naamini hata wao wanashangazwa na hili.

Niliwahi kuongea na jamaa yangu mwanajeshi; nilimuuliza impact ya risasi moja katika range mbalimbali then nikamueleza na nikamuuliza kuhusu masaibu ya Lissu.

Alichonijibu ni kwamba hata wao kwenye majeshi (sio Bongo ni Italy) wanashangazwa na kupona katika tukio hilo japo si la kwanza ila alisema kwa ratio ni 1:1000,000.

Swali ni je, kwanini Mungu aliahirisha Tundu Lisu kuitwa marehemu?

Muda utaongea!
 
superbug,
When a bullet hit the body it disintegrate into small particles that will spread into various body tissues and organs to cause fatal internal injuries. So it i is surprising how TAL survived more than 30 bullets on the very shortest range of 2 to 5 metres. Hii elimu niliipata wakati nasomea mambo ya forescic scene analysis.
 
MUNGU si mzee sulemani muuza maji
Nabii Yona( Yunus) alitemwa kwenye upepo mkali katika bahari ya chanzo cha mto yordan kule Syria baafa ya mashua kupigwa na upepo mkali na captain akagundua ni sababu ya Yona aliyejificha humo kwa kugoma kwenda Ninawi( Bagdadi) kuhubiria waovu waokoke.

Pamoja na hayo Yona alimezwa na samaki hatari Nyangumi lakini hata Nyangumi nae alimtema tu ili Neno la Bwana Limitie ktk Mji ule wa ninawi.
 
Chadema inamfia mikononi hana bahati huyo
Mwakani hakuna ruzuku ataimba nyimbo zote
 
Chadema inamfia mikononi hana bahati huyo
Mwakani hakuna ruzuku ataimba nyimbo zote
Jiulize kwanini Mungu alipoumba milima yenye volcano aliweka na MATUNDU ya kupumulia lengo ni ili isilipuke! Milima yote isiyo na MATUNDU ya kupumulia hulipuka hiyo ni necha.

Endeleeni kuziba nyumba ya matope kila tundu wakati mnapikia ndani mtaisoma tabia ya Moshi macho pua na mapafu vitawalazimisha mbomoe mlango wa nyumba go on go on nyerere na mwinyi were not fools kuruhusu UPINZANI.
 
Wewe Huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
Jiulize kwanini Mungu alipoumba milima yenye volcano aliweka na MATUNDU ya kupumulia lengo ni ili isilipuke ! Milima yote isiyo na MATUNDU ya kupumulia hulipuka hiyo ni necha. Endeleeni kuziba nyumba ya matope kila tundu wakati mnapikia ndani mtaisoma tabia ya Moshi macho pua na mapafu vitawalazimisha mbomoe mlango wa nyumba go on go on nyerere na mwinyi were not fools kuruhusu UPINZANI.
 
Back
Top Bottom