Ni nani aliyekuja kutupa formula, ukiwa na mafanikio kidogo, unatakiwa uzae watoto wawili au mmoja?

Ni nani aliyekuja kutupa formula, ukiwa na mafanikio kidogo, unatakiwa uzae watoto wawili au mmoja?

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kumekuwa na tatizo la watu kutozaa watoto wengi kama zamani; kisingizio kikiwa ni ugumu wa maisha au kuonyesha kuwa wamestaarabika.

Hii imepelekea baadhi ya wazee wengi kuishi pekee yao, pamoja na kuwaongezea misongo ya mawazo; ikiwa ni pamoja na kujutia kwa nini katika ujana wao walizaa watoto wachache.

Sasa najiuliza, huyu aliyeleta hiyo formula ni nani na alikuwa na malengo yapi; au tunaiga tu?​
 
Kumekuwa na tatizo la watu kutozaa watoto wengi kama zamani; kisingizio kikiwa ni ugumu wa maisha au kuonyesha kuwa wamestaarabika.

Hii imepelekea baadhi ya wazee wengi kuishi pekee yao, pamoja na kuwaongezea misongo ya mawazo; ikiwa ni pamoja na kujutia kwa nini katika ujana wao walizaa watoto wachache.

Sasa najiuliza, huyu aliyeleta hiyo formula ni nani na alikuwa na malengo yapi; au tunaiga tu?​
Wewe fyatuwa tu hujakatazwa uongeze idadi ya panya road mitaani.

Ya nini ujaza msururu wa Watoto uje kuwatesa duniani ilihali wewe mwenyewe tu tia maji tia maji.

Zamani jukumu la malezi ya mtoto lilikuwa la serikali, tulisoma bure na ilikuwa ni fahari ukifaulu darasa la saba kuanza secondary school ya serikali, ilikuwa ni heshima na fahari kubwa ila Kwa Sasa ni kinyume chake.
 

Attachments

  • FB_IMG_1675407615754.jpg
    FB_IMG_1675407615754.jpg
    40.8 KB · Views: 6
  • FB_IMG_1675407607527.jpg
    FB_IMG_1675407607527.jpg
    40.5 KB · Views: 7
Mkuu wewe umeifata hio formula?? ni mapendekezo tu, sasa hivi hali halisi yamaisha ni ngumu, hivo kujizalia bila kupangilia ni kuzidi kujididimiza kwenye shimo usilojua urefu wake, ni heri uzae watoto ambao wanaendana na kipato chako na sio kufata mkumbo et wazee kua wapweke kisa tumezaa watoto kidogo ndio ujizalie tu kuja kuwaliwaza hao wazee

Watoto wanahitaji basic needs fikiria tu kwa uwezo wako utaweza kuwapatia mahitaj yao wakiwa kumi au sita?? mimi naunga mkono kupanga uzazi kutokana na kipato chako
 
Wewe fyatuwa tu hujakatazwa uongeze idadi ya panya road mitaani.

Ya nini ujaza msururu wa Watoto uje kuwatesa duniani ilihali wewe mwenyewe tu tia maji tia maji.

Zamani jukumu la malezi ya mtoto lilikuwa la serikali, tulisoma bure na ilikuwa ni fahari ukifaulu darasa la saba kuanza secondary school ya serikali, ilikuwa ni heshima na fahari kubwa ila Kwa Sasa ni kinyume chake.
Kanunue [emoji1636] kwa mangi siji kulipa

Good [emoji106] facts my bro
 
mkuu wewe umeifata hio formula?? ni mapendekezo tu, sasa hivi hali halisi yamaisha ni ngumu, hivo kujizalia bila kupangilia ni kuzidi kujididimiza kwenye shimo usilojua urefu wake, ni heri uzae watoto ambao wanaendana na kipato chako na sio kufata mkumbo et wazee kua wapweke kisa tumezaa watoto kidogo ndio ujizalie tu kuja kuwaliwaza hao wazee


watoto wanahitaji basic needs fikiria tu kwa uwezo wako utaweza kuwapatia mahitaj yao wakiwa kumi au sita?? mimi naunga mkono kupanga uzazi kutokana na kipato chako
Madame Salamba upo?
 
mkuu wewe umeifata hio formula?? ni mapendekezo tu, sasa hivi hali halisi yamaisha ni ngumu, hivo kujizalia bila kupangilia ni kuzidi kujididimiza kwenye shimo usilojua urefu wake, ni heri uzae watoto ambao wanaendana na kipato chako na sio kufata mkumbo et wazee kua wapweke kisa tumezaa watoto kidogo ndio ujizalie tu kuja kuwaliwaza hao wazee


watoto wanahitaji basic needs fikiria tu kwa uwezo wako utaweza kuwapatia mahitaj yao wakiwa kumi au sita?? mimi naunga mkono kupanga uzazi kutokana na kipato chako
Hakika
 
Wewe fyatuwa tu hujakatazwa uongeze idadi ya panya road mitaani.

Ya nini ujaza msururu wa Watoto uje kuwatesa duniani ilihali wewe mwenyewe tu tia maji tia maji.

Zamani jukumu la malezi ya mtoto lilikuwa la serikali, tulisoma bure na ilikuwa ni fahari ukifaulu darasa la saba kuanza secondary school ya serikali, ilikuwa ni heshima na fahari kubwa ila Kwa Sasa ni kinyume chake.
Kisingizio hakiwezi kuwa gharama za malezi; mashamba/mapori yapo, shule za serikali msingi/sekondari zipo, vyuo vya serikali vipo, hospitali zipo; mi naona lawama zote ziende kwa wazazi tu
 
mkuu wewe umeifata hio formula?? ni mapendekezo tu, sasa hivi hali halisi yamaisha ni ngumu, hivo kujizalia bila kupangilia ni kuzidi kujididimiza kwenye shimo usilojua urefu wake, ni heri uzae watoto ambao wanaendana na kipato chako na sio kufata mkumbo et wazee kua wapweke kisa tumezaa watoto kidogo ndio ujizalie tu kuja kuwaliwaza hao wazee


watoto wanahitaji basic needs fikiria tu kwa uwezo wako utaweza kuwapatia mahitaj yao wakiwa kumi au sita?? mimi naunga mkono kupanga uzazi kutokana na kipato chako
Mfano umezaa mtoto mmoja, akanyakuliwa mbinguni, hapo itakuwaje?
 
Back
Top Bottom