Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #81
Urusi/Ukraine wanahitaji watu wakapambane, na sio kwenda kuonyesha exposure mkuu.Exposure ni kitu muhimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urusi/Ukraine wanahitaji watu wakapambane, na sio kwenda kuonyesha exposure mkuu.Exposure ni kitu muhimu.
Kuacha kizazi chako kuna umuhimu mkubwa sana kiafrika; tatizo tunawasikiliza hawa watu weupe, na mbaya zaidi wanaongeza kasi ya kuwafanya wanaume wawe wanawake.Achilia mbali kufariki unawezakua na watoto 10 na wasikufae chochote uzeeni yaani watoto 10 wakashindwa kuwafanyia ihsani nyie wawili uzeeni ukawa hauna tofauti na mgumba, mifano mingi tunaiona kwenye jamii
Zingatia hiliUnawaleta duniani wafanye nn,wewe mwenyewe inakuliza then bado unataka na wanao nao wateseke
Hongera wewe kwa ujasiri ulionao wa kuiongezea dunia matatizo badala ya kuwapunguzia mzigo wakina Bill Get na wengine kama, wao na watu wengine wanapambana kusaidia maskini na wewe unapambana kuongeza mskiniTatizo ni hofu
AbeeTo yeye!?
Alikuwepo mshenzi mmoja wa kuitwa Thomas Malthus aliwaambia wenzie kuwa watu wakiendelea kuzaliana itafika miaka chakula kutakuwa hakitoshiKumekuwa na tatizo la watu kutozaa watoto wengi kama zamani; kisingizio kikiwa ni ugumu wa maisha au kuonyesha kuwa wamestaarabika.
Hii imepelekea baadhi ya wazee wengi kuishi pekee yao, pamoja na kuwaongezea misongo ya mawazo; ikiwa ni pamoja na kujutia kwa nini katika ujana wao walizaa watoto wachache.
Sasa najiuliza, huyu aliyeleta hiyo formula ni nani na alikuwa na malengo yapi; au tunaiga tu?