Ni nani aliyekuja kutupa formula, ukiwa na mafanikio kidogo, unatakiwa uzae watoto wawili au mmoja?

Ni nani aliyekuja kutupa formula, ukiwa na mafanikio kidogo, unatakiwa uzae watoto wawili au mmoja?

Achilia mbali kufariki unawezakua na watoto 10 na wasikufae chochote uzeeni yaani watoto 10 wakashindwa kuwafanyia ihsani nyie wawili uzeeni ukawa hauna tofauti na mgumba, mifano mingi tunaiona kwenye jamii
Kuacha kizazi chako kuna umuhimu mkubwa sana kiafrika; tatizo tunawasikiliza hawa watu weupe, na mbaya zaidi wanaongeza kasi ya kuwafanya wanaume wawe wanawake.
 
Kumekuwa na tatizo la watu kutozaa watoto wengi kama zamani; kisingizio kikiwa ni ugumu wa maisha au kuonyesha kuwa wamestaarabika.

Hii imepelekea baadhi ya wazee wengi kuishi pekee yao, pamoja na kuwaongezea misongo ya mawazo; ikiwa ni pamoja na kujutia kwa nini katika ujana wao walizaa watoto wachache.

Sasa najiuliza, huyu aliyeleta hiyo formula ni nani na alikuwa na malengo yapi; au tunaiga tu?​
Alikuwepo mshenzi mmoja wa kuitwa Thomas Malthus aliwaambia wenzie kuwa watu wakiendelea kuzaliana itafika miaka chakula kutakuwa hakitoshi

Kwahiyo lazima wapunguze watoto wa kuzaa
 
Back
Top Bottom