Ni nani anayemuongopea Rais Samia? Rais ajiridhishe na hotuba zake kabla ya kusoma kwa watu

Ni nani anayemuongopea Rais Samia? Rais ajiridhishe na hotuba zake kabla ya kusoma kwa watu

Omary - Msamalia

JF-Expert Member
Joined
Jan 19, 2020
Posts
2,079
Reaction score
4,521
Siku ya Leo katika mkutano wa Wanachama wa TDC Rais Samia amesikika akisema Tanzania imepotenza Hadhi ya nchi ya Lower middle Income Country, akidai kuwa tulishushwa hii nafasi.

Je, Wanaomuandalia Samia hizi taarifa wanafikiri Watanzania ni watu wajinga wasio weza kufatilia mambo? na ni kwa faida ya nani?

Taarifa ya Tanzania kuwa Lower middle Income country inatolewa na mashirika ya Kimataifa mojawapo ni benki ya Dunia

Hii kurasa ya Benki ya Dunia inayoensha nchi zilizopo lower middle Income Countries Lower middle income | Data
World Population Review Middle Income Countries 2022

Wikipedia List of countries by GNI (nominal) per capita - Wikipedia

Hivi ni vyanzo vichache vya kidunia ambavo vinaiweka Tanzania kwenye middle income countries, Je Samia hizi Taarifa zake anatoa wapi?

Samia uwe unachukua muda kujiridhisha na unayoandikiwa kwenye Hotuba zako
 
Akisema anamaanisha itakuwa hivyo. Kama ilivyokuwa wakati anazungumzia kurudishwa kwa tozo ya kwenye mafuta na kupanda kwa huduma na bidhaa nchini.
 
Akisema anamaanisha itakuwa hivyo. Kama ilivyokuwa wakati anazungumzia kurudishwa kwa tozo ya kwenye mafuta na kupanda kwa huduma na bidhaa nchini.
Taarifa aliyotoa ni ya kidunia na si ya mtu mmoja, labda kama atadumaza maendeleo ya Nchi, ila mimi nimeshare taarifa ya muda huu ya Benki ya Dunia, inaonesha Tanzania Kundi ililokuwepo 2020 ndio ililopo sasa
 
Tushushwe tu..., hakuna faida ya kuwa huko.., ukizingatia sisi ni watu wa kukopa..., hivyo ukiwa uchumi wa juu hata mikopo yake inakuwa sio ya kimsaada msaada tena
 
Siku ya Leo katika mkutano wa Wanachama wa TDC Rais Samia amesikika akisema Tanzania imepotenza Hadhi ya nchi ya Lower middle Income Country, akidai kuwa tulishushwa hii nafasi.
Je Wanaomuandalia Samia hizi taarifa wanafikiri Watanzania ni watu wajinga wasio weza kufatilia mambo? na ni kwa faida ya nani?

Taarifa ya Tanzania kuwa Lower middle Income country inatolewa na mashirika ya Kimataifa mojawapo ni benki ya Dunia

Hii kurasa ya Benki ya Dunia inayoensha nchi zilizopo lower middle Income Countries Lower middle income | Data
World Population Review Middle Income Countries 2022
Wikipedia List of countries by GNI (nominal) per capita - Wikipedia

Hivi ni vyanzo vichache vya kidunia ambavo vinaiweka Tanzania kwenye middle income countries, Je Samia hizi Taarifa zake anatoa wapi?

Samia uwe unachukua muda kujiridhisha na unayoandikiwa kwenye Hotuba zako
Nimesiktika sana. Nimefadhaika sana.
 
Siku ya Leo katika mkutano wa Wanachama wa TDC Rais Samia amesikika akisema Tanzania imepotenza Hadhi ya nchi ya Lower middle Income Country, akidai kuwa tulishushwa hii nafasi.
Je Wanaomuandalia Samia hizi taarifa wanafikiri Watanzania ni watu wajinga wasio weza kufatilia mambo? na ni kwa faida ya nani?

Taarifa ya Tanzania kuwa Lower middle Income country inatolewa na mashirika ya Kimataifa mojawapo ni benki ya Dunia

Hii kurasa ya Benki ya Dunia inayoensha nchi zilizopo lower middle Income Countries Lower middle income | Data
World Population Review Middle Income Countries 2022
Wikipedia List of countries by GNI (nominal) per capita - Wikipedia

Hivi ni vyanzo vichache vya kidunia ambavo vinaiweka Tanzania kwenye middle income countries, Je Samia hizi Taarifa zake anatoa wapi?

Samia uwe unachukua muda kujiridhisha na unayoandikiwa kwenye Hotuba zako
Wabongo tunapenda kulalamika! Kwani huo uchumi wa kati wenyewe una faida gani kwa Watanzania walio wengi?
 
WD uwa wanachelewa kutoa updates, unaposoma data angalia tarehe ya mwisho.

Sometimes it can take up to one to three month for them to update things.

Mama anawandaa kisaikolojia tu yeye keshapata hizo habari siku za hivi karibuni.
 
WD uwa wanachelewa kutoa updates, unaposoma data angalia tarehe ya mwisho.

Sometimes it can take up to one-three month to update things. Mama anawandaa kisaikolojia tu yeye keshapata hizo habari siku za karibuni.
Amesema tulishushwa au tulitolewa, itakuwa vyema akisema ni lini, pia aseme kama tuliingia 2020 and how our 2021 growth ilifanya tushuke, tulikuwa kwa negative percent au Nini kilitokea
 
Amesema tulishushwa au tulitolewa, itakuwa vyema akisema ni lini, pia aseme kama tuliingia 2020 and how our 2021 growth ilifanya tushuke, tulikuwa kwa negative percent au Nini kilitokea
Si amekwambia growth rate imeshuka hayo mengine umeleta wewe.

Labda utuelezee uchumi unakuaje at negative percent?
 
Back
Top Bottom