Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Mkuu nadhani umetetea jambo ambalo pengine hukusikia, raisi amesema tuliondolewa ikiwa na namna tumeshatolewa lakini kiuhalisia bado.WD uwa wanachelewa kutoa updates, unaposoma data angalia tarehe ya mwisho.
Sometimes it can take up to one to three month for them to update things.
Mama anawandaa kisaikolojia tu yeye keshapata hizo habari siku za hivi karibuni.
Kwa status ya Sasa bado tupo, ikiwa tutatolewa huko baadae WB watatoa statement