Mkuu kwa sisi huku ndio hatuoni maana yake hasa...ila kwa wakubwa ina maana, kadiri unavyopanda rank za uchumi unaponguza nafasi ya kukopesheka! ukiwa mkopo inaopewa nchi ya higher middle income country ni mdogo kuliko nchi ya lower middle income country...na pia mkopo wa nchi ya lower income ni mkubwa kuliko wa lower middle incomecountry...labda "tumejishusha hadi lower income country" ili wadau wa maendeleo watupe zaidi!Kwani inasaidia nini!?!? Hata tujali'
InasaidiaKwani inasaidia nini!?!? Hata tujali'
Tulushaambiwa Uraisi ni Taasisi. Hajakosea, hii ni breaking news.Siku ya Leo katika mkutano wa Wanachama wa TDC Rais Samia amesikika akisema Tanzania imepotenza Hadhi ya nchi ya Lower middle Income Country, akidai kuwa tulishushwa hii nafasi.
Je Wanaomuandalia Samia hizi taarifa wanafikiri Watanzania ni watu wajinga wasio weza kufatilia mambo? na ni kwa faida ya nani?
Taarifa ya Tanzania kuwa Lower middle Income country inatolewa na mashirika ya Kimataifa mojawapo ni benki ya Dunia
Hii kurasa ya Benki ya Dunia inayoensha nchi zilizopo lower middle Income Countries Lower middle income | Data
World Population Review Middle Income Countries 2022
Wikipedia List of countries by GNI (nominal) per capita - Wikipedia
Hivi ni vyanzo vichache vya kidunia ambavo vinaiweka Tanzania kwenye middle income countries, Je Samia hizi Taarifa zake anatoa wapi?
Samia uwe unachukua muda kujiridhisha na unayoandikiwa kwenye Hotuba zako
Basi tujishukiage tuh!!Inasaidia
Mama Samia mwenyewe amewahi kusema sisi kuwa uchumi wa Kati imesababisha misaada na mikopo kupungua. Na jua kuwa mama yeye anapenda pia kukopa
Hajui kinachoendelea maskini.Mimi pia nimeshangaa, bado hatujatolewa. Raisi ameteleza
Kama wamemwandikia hiyo ni hujuma...Mimi mwenyewe nilistuka sana kusikia nchi imeshuka maana kushuka kwa nchi si kazi nyepesi kama ilivyokupanda...Lakini niliwaza labda hizo percapita zilichanhiwa na miradi makubwa na pengine kwa sasa iliyopo si mikubwa hasa nikikumbuka sekta ya ujenzi inachamgia pakubwa kwenye GDP yetu jambo ambalo pia si jema sana kwa uchumi kuwa endelevuSiku ya Leo katika mkutano wa Wanachama wa TDC Rais Samia amesikika akisema Tanzania imepotenza Hadhi ya nchi ya Lower middle Income Country, akidai kuwa tulishushwa hii nafasi.
Je, Wanaomuandalia Samia hizi taarifa wanafikiri Watanzania ni watu wajinga wasio weza kufatilia mambo? na ni kwa faida ya nani?
Taarifa ya Tanzania kuwa Lower middle Income country inatolewa na mashirika ya Kimataifa mojawapo ni benki ya Dunia
Hii kurasa ya Benki ya Dunia inayoensha nchi zilizopo lower middle Income Countries Lower middle income | Data
World Population Review Middle Income Countries 2022
Wikipedia List of countries by GNI (nominal) per capita - Wikipedia
Hivi ni vyanzo vichache vya kidunia ambavo vinaiweka Tanzania kwenye middle income countries, Je Samia hizi Taarifa zake anatoa wapi?
Samia uwe unachukua muda kujiridhisha na unayoandikiwa kwenye Hotuba zako
Ukishuka si ndio hali itazidi kuwa mbaya zaidiBasi tujishukiage tuh!!
Kila baada ya miaka 2 wd huwa ina- update data zake so Maza keshazipata za jikoni mapema.Taarifa aliyotoa ni ya kidunia na si ya mtu mmoja, labda kama atadumaza maendeleo ya Nchi, ila mimi nimeshare taarifa ya muda huu ya Benki ya Dunia, inaonesha Tanzania Kundi ililokuwepo 2020 ndio ililopo sasa
Mwaka Jana mwezi wa 11 alisema kuwa nchi yetu itakosa misaada kwa sababu tupo uchumi wa katiData ya GNI per capita ni ya 2020 hata hata kama ukiingia leo. Raisi ametumia data ya sasa.
GNI huwa inabadilika.
Ni vizuri nawe uka ji update
So tutashuka ila si kuwa tulishuka... Na kama tumeshuka ni jambo lililoanza mwezi wa 12 mwaka Jana, maana mwezi wa 11 hakuwa na hii Taarifa na akasema kuwa tutakosa mikopo na misaada sababu tuko uchumi wa katiKila baada ya miaka 2 wd huwa ina- update data zake so Maza keshazipata za jikoni mapema.
Huna lolote acha watu waendelee kukoment mwehu niniHii nchi ngumu kuishi! [emoji16][emoji16][emoji16]
Sasa umesikitishwa na kufadhaishwa na nini!
Mkuu wa nchi anayesema kitu ambacho hana uhakika nacho. Mkuu wa nchi anayependa nchi ika kimaskini na kinyonge.Hii nchi ngumu kuishi! πππ
Sasa umesikitishwa na kufadhaishwa na nini!
Kushuka kwa uchumi si rahisi Kama unavyosema lakini kumbuka rank za wd sio constant miaka yote, huwa inabadilika mfano 2020 middle income inaanzia 1062-12399 so 2022 wanaweza raise may be middle income ikawa inaanzia 1092-12470 so unajikuta tz 2020 upo middle income by gni ya 1080 halafu 2022 ukawa lower income kwa gni ya 1090 so kwa kuangalia marks za rank za wd utakuwa umedrop ila kwa kuangalia namba za gni utakuwa umekuza gni kwa digit 10 kabisa.Kama wamemwandikia hiyo ni hujuma...Mimi mwenyewe nilistuka sana kusikia nchi imeshuka maana kushuka kwa nchi si kazi nyepesi kama ilivyokupanda...Lakini niliwaza labda hizo percapita zilichanhiwa na miradi makubwa na pengine kwa sasa iliyopo si mikubwa hasa nikikumbuka sekta ya ujenzi inachamgia pakubwa kwenye GDP yetu jambo ambalo pia si jema sana kwa uchumi kuwa endelevu