Ni nani huyu anayevujisha habari za Serikali yetu kule Canada?!

Serikali ijikite kwenye Simu na email na Simu za kwenda kwa Lisu na kwenda kwa diaspora toka nchini.TCRA chekini Email na Simu zote za Tanzania zilizokwenda kwa Lisu au nje ya nchi nchi yeyote miezi miwili kabla ndege kushikwa
Pumbavu
 
Sidhani kama kule South Africa tulishinda kesi. Hapa kuna mambo tunadanganywa ndiyo maana ya hiki kinachoendelea kutokea.
 
Unamuuliza nani sasa?
Pelekeni wale Mawakili Nguli
15 wairejeshe.
 
Loo Usalama wa taifa na jeshi muonyeni Magufuli Aache uropokaji .mkuu wa majeshi nenda kamwambie hiyo Ni kazi yako .Sio kila kitu Cha kuongea kwenye majukwaa.TISS mumlazimishe awe anasoma hotuba za kuandikwa ili asivuke mipaka huyo.
Hilo lilishashindikana.
 
Inawezekana ni Lissu na watu wa cdm
 
Hii ni
Loo Usalama wa taifa na jeshi muonyeni Magufuli Aache uropokaji .mkuu wa majeshi nenda kamwambie hiyo Ni kazi yako .Sio kila kitu Cha kuongea kwenye majukwaa.TISS mumlazimishe awe anasoma hotuba za kuandikwa ili asivuke mipaka huyo.
Hii ni wewe umeandika au mkeo asiekupenda maana wewe sio wa kuandika hivi
 
Kama in mwalimu wako ndo maana huna akili kama yeye. Mimi si mwanasheria lakini sheria zetu ni zetu tu na zao Jumuiya yote ni zao ingawa zinaweza zikafanana. Ile meli ya Lord Rajpar ilikamatiwa Somalia ikitoka Ulaya na kurudishwa Ulaya ikapotelea hukohuko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…